Infinite_Kiumeni
JF-Expert Member
- Jan 23, 2023
- 382
- 687
Kama hujamfata kuongea naye.
Kama hupeleki mahusiano mbele.
Kama hufanyi chochote kumuonesha unamtaka.
Basi ujue hana haja ya kukukataa. Sababu umeshajitoa mwenyewe bila hata kutolewa.
Zile sababu kama “atakua bize”/ “atakua na mtu wake”/ “mi sitokagi na wanawake aina yake”/ “sina mstari mzuri bado”/ “hatonikubali” vyote ivyo ni visingizio tu ili ujifelishe mwenyewe.
Au unajikuta unamsubiri mwanamke akufate mwenyewe.
Au unasubiri muujiza mwanamke akufate mwenyewe, achana na muvi.
Kuhusu hayo, sahau.
Hata kama atakufata mwenyewe anakutegemea wewe kuwa kiongozi.
La sivyo hayo mahusiano hayatodumu.
Ukweli ni kuwa mwanamke hawezi kukufata kirahisi.
Kwake ni muhimu zaidi kutunza hadhi yake na heshima.
Ili asionekane rahisi mbele ya jamii. Mana utawahadithia tu marafiki zako.
Naye atajitoa kwako na kusema “ah itakua hajanipenda” sababu anaona huongozi kitu. Kisha ataenda kwa mwengine ambaye ataweza kumuongoza.
.
Na hata ukimfata usijitoe mapema.
Usijikatie tamaa mapema. Mwanzoni hatojiachia kwako haraka. Ili ailinde hadhi. Asionekane wa kirahisi rahisi.
Ni muhimu uendelee kumuongoza na kumfanya ajisikie amani kwako.
Na ukimzoesha kumuongoza inakua rahisi mnapoingia kwenye mahusiano kumuongoza.
Ila kwenye mchakato wote akijisikia ye ndo kiongozi au anajishobokesha sanaa ataanza kujitoa/ kupunguza kasi.
Hivyo ni muhimu usikate tamaa mapema kumuongoza wakati unamtongoza.
Naye atapata sababu ya kujitetea kwanini kajiachia kwako “mambo yalienda tu…”/ “tulikua tunaendana tu…”
Japo mwanamke anaweza kujiachia kwako hata kabla hujamtongoza, lakini mara nyingi ni yule ambaye humtaki.
Pia ikitokea kwa unayemtaka ni mara chache, au kwenye mahusiano ye ndo atakua kiongozi.
Ila sio ndo uombe ombe penzi bila mwisho kisa tu usikate tamaa.
Bali umtongoze kwa njia itakayomfanya awe na hisia nawe.
Jiwekee kwamba bora uende ujue amekukataa kuliko kujikatalia mwenyewe hiyo nafasi.
Kama hupeleki mahusiano mbele.
Kama hufanyi chochote kumuonesha unamtaka.
Basi ujue hana haja ya kukukataa. Sababu umeshajitoa mwenyewe bila hata kutolewa.
Zile sababu kama “atakua bize”/ “atakua na mtu wake”/ “mi sitokagi na wanawake aina yake”/ “sina mstari mzuri bado”/ “hatonikubali” vyote ivyo ni visingizio tu ili ujifelishe mwenyewe.
Au unajikuta unamsubiri mwanamke akufate mwenyewe.
Au unasubiri muujiza mwanamke akufate mwenyewe, achana na muvi.
Kuhusu hayo, sahau.
Hata kama atakufata mwenyewe anakutegemea wewe kuwa kiongozi.
La sivyo hayo mahusiano hayatodumu.
Ukweli ni kuwa mwanamke hawezi kukufata kirahisi.
Kwake ni muhimu zaidi kutunza hadhi yake na heshima.
Ili asionekane rahisi mbele ya jamii. Mana utawahadithia tu marafiki zako.
Naye atajitoa kwako na kusema “ah itakua hajanipenda” sababu anaona huongozi kitu. Kisha ataenda kwa mwengine ambaye ataweza kumuongoza.
.
Na hata ukimfata usijitoe mapema.
Usijikatie tamaa mapema. Mwanzoni hatojiachia kwako haraka. Ili ailinde hadhi. Asionekane wa kirahisi rahisi.
Ni muhimu uendelee kumuongoza na kumfanya ajisikie amani kwako.
Na ukimzoesha kumuongoza inakua rahisi mnapoingia kwenye mahusiano kumuongoza.
Ila kwenye mchakato wote akijisikia ye ndo kiongozi au anajishobokesha sanaa ataanza kujitoa/ kupunguza kasi.
Hivyo ni muhimu usikate tamaa mapema kumuongoza wakati unamtongoza.
Naye atapata sababu ya kujitetea kwanini kajiachia kwako “mambo yalienda tu…”/ “tulikua tunaendana tu…”
Japo mwanamke anaweza kujiachia kwako hata kabla hujamtongoza, lakini mara nyingi ni yule ambaye humtaki.
Pia ikitokea kwa unayemtaka ni mara chache, au kwenye mahusiano ye ndo atakua kiongozi.
Ila sio ndo uombe ombe penzi bila mwisho kisa tu usikate tamaa.
Bali umtongoze kwa njia itakayomfanya awe na hisia nawe.
Jiwekee kwamba bora uende ujue amekukataa kuliko kujikatalia mwenyewe hiyo nafasi.