secretagent
JF-Expert Member
- Jul 30, 2022
- 204
- 317
Tunachangia san ila ni mapenz kila kona yaan ni wanawake mwanzo mwisho ndo maan mnauziwa mpaka kwenye ndoamada za maisha nje nje ya mapenzi hamtaki kuchangia! Sasa je
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunachangia san ila ni mapenz kila kona yaan ni wanawake mwanzo mwisho ndo maan mnauziwa mpaka kwenye ndoamada za maisha nje nje ya mapenzi hamtaki kuchangia! Sasa je
inaonekana watu wengi wanapata changamoto kwenye suala la mapenzi kuliko kazini na vitu vingne ndio maana mada za mapenzi ni nyingiTunachangia san ila ni mapenz kila kona yaan ni wanawake mwanzo mwisho ndo maan mnauziwa mpaka kwenye ndoa
Hapo ni rahisi unawaomba wazazi wake kuwa unataka kumuomba mtoto wao nambaMfano umwemwona binti mzuri aidha uko safarini, kwa bahati mbaya akawa labda yuko na wazazi!! Utatumia mbinu gani kuongea nae japo upate hata namba yake ya simu? Infinite_Kiumeni
[emoji3] ulishawahi kujaribu? Ila ni wazo zuri. hofu zetu tu[emoji3]Hapo ni rahisi unawaomba wazazi wake kuwa unataka kumuomba moto wao namba
Ko tukubaliane kwamba mapenzi ndo kila kitu?inaonekana watu wengi wanapata changamoto kwenye suala la mapenzi kuliko kazini na vitu vingne ndio maana mada za mapenzi ni nyingi
[emoji3]hukumu mwenyeweKo tukubaliane kwamba mapenzi ndo kila kitu?
Ali kiba alisema mapenz yan run dunia[emoji3]hukumu mwenyewe
Nimefanya hivyo mara kibao, ila mzazi awe Maza akiwepo mshua usifanye ufala huo,[emoji3] ulishawahi kujaribu? Ila ni wazo zuri. hofu zetu tu[emoji3]
[emoji38][emoji38]fala mwenyeweNimefanya hivyo mara kibao, ila mzazi awe Maza akiwepo mshua usifanye ufala huo,
Unamwambia mama yake Binti kwa nidhamu baada ya kuwasalimia wote, Samahani mama naomba niongee na binti yako hapa hapa, akikubali unamuomba namba Ili badae muwasiiane mtapanga siku mkutane muongee kwa marefu akiwa hayupo mama,
Halafu changanya na zako uacha ufala.