Mshahara wa laki tano , upo kazini mwaka mmoja tu hiyo million 28 umeipataje??
Inategemea una-define vipi loss..once u get t ryt,then ul take ma wordKuna biashara/kazi ambayo haina loss?
Asante sn mkuu tabash kwa ushauri wako nitaufanyia kaziPesa huwa zinakasumba fulan hivi!!, kama ni mara yako ya kwanza? Pesa huwa zinawasha bila wewe kujua kwamba zina kuwasha, mgano wake nikama ambavyo umuonavyo mto mwenye chawa nyingi, nikujikuna hovyo!!* Sasa bwana mdogo kuwa makini sana, nijuavyo mimi pesa huwa inakama akili vile!" Pesa ina vishawishi sana' pesa ina jenga maadui wengi, na kujikuta umebaki na wale wenye kujua namna ya kutafuna pesa, cha kufanya!!, na huu ndio ushauri mwena kwako,, Nikweli naamini bado una umri mdogo,, cc kikwetu huwa tunaambiwa na wazee wetu pindi tu upatapo pessa!!: Ziache pesa zipoee!! Na akili ituliee!!" Baada ya muda fulani nawe utajuwa umetulia kiakili,, na litakuwa sio jambo gene kwako, KUNA MTU AMEKUSHAURI VYEMA SANA, KAKWAMBIA TAFUTA BANK YENYE RIBA NZURI, NA UIWEKE PESA YAKO HUKO KAMA MWAKA 1 hivi!" anania nzuri sanA kwko,
Nashukuru sn mkuu kwa ushauri wako nitauzingatiaaKaweke fixed account hiyo 28 mil ...usikope hiyo 15. Mwaka huu miezi iliyobaki fanya utafiti kitu gani unaweza fanya na unachoweza simamia mwenyewe kwa ukaribu sio kumwachia mtu....be patient!... kipindi hiki cha magu watu wengi wanauza asset zao .....anaweza tokea mtu anauza nyumba mil 18-23 inayofaa kupangisha!
swali la msingi sana hilo...kazipata wapi?....siku hizi hata bank zinabanwa.....Mshahara wa laki tano , upo kazini mwaka mmoja tu hiyo million 28 umeipataje??
Moderator mkiendelea kuchekea hawa wazushi mtajitia aibu , angalieni uzi alioanzisha leo huyu dogoMimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 nina kazi nzuri kwa mwezi sikosi kama laki tano na kidogo na nina mwaka tu kazin na nimepata pesa kama milion 28 hivi na sina dira nzuri ya mafanikio endelevu na nina uwez wa kukop pesa bank sio chini ya milion 15 na bado sijajenga nyumba au kuwa na kitu cha samani zaidi ya hivyo.
Naomba ushauri wenu ndugu kaka na dada zangu na wote JF najua wapo watu makini na wenye uwelewa mzuri wa kimaisha zaid yangu kweli nipo njia panda sijui nifanye nini na ni mara ya kwanza kushika pesa ndefu kama hiyo naomba msinizarau na kunichukilia tofauti kwa kuniambia maneno ya kunivunjaa moyo kama wazalendo na wakubwa zangu naheshimu mawazo yn na ht walio chini yangu naomba ushauri wenu wa hali na malii naogopa kuja kujituia kwa fursa hii niseme niliyobahatika kwa sasa asanteni wote.
Hana hata senti moja ni masikini wa kutupwa ! ameanzisha uzi mwingine anaomba nauli ya kurudi kwao .Mkuu weka bank siku ukipata wazo lenye hesabu za kueleweka zitoe ulisukume
mkuu umenichekesha sana hapa mpk watu wananisema hizi simu zitatupeleka pabaya yaan nipo kwenye meeting mpaka nimeona nomaHana hata senti moja ni masikini wa kutupwa ! ameanzisha uzi mwingine anaomba nauli ya kurudi kwao .
pole mkuu humu jf mnapaswa kuwa makini sana , sidhani hata kama umri wake ndio huo anaounadi kinaweza kuwa kizee kabisa !mkuu umenichekesha sana hapa mpk watu wananisema hizi simu zitatupeleka pabaya yaan nipo kwenye meeting mpaka nimeona noma
ila dogo kazingua sana yaan nimejipinda huko nimetoa bonge la ushauri halafu kuja kuona hii sasa sijui imekuaje leo hata nauri ya kurudi kwao hana analialia itakuwa kaweka heshima bar
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
ingekua vizuri tujue upo mkoa gani coz fursa zinatofautiana kila mkoa,kwa mbeya ungeweza ata kununua kiwanja na hela ikabaki nyingi tuu kwa shuguli zingine ila kwa Dar aiwezekani.Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 nina kazi nzuri kwa mwezi sikosi kama laki tano na kidogo na nina mwaka tu kazin na nimepata pesa kama milion 28 hivi na sina dira nzuri ya mafanikio endelevu na nina uwez wa kukop pesa bank sio chini ya milion 15 na bado sijajenga nyumba au kuwa na kitu cha samani zaidi ya hivyo.
Naomba ushauri wenu ndugu kaka na dada zangu na wote JF najua wapo watu makini na wenye uwelewa mzuri wa kimaisha zaid yangu kweli nipo njia panda sijui nifanye nini na ni mara ya kwanza kushika pesa ndefu kama hiyo naomba msinizarau na kunichukilia tofauti kwa kuniambia maneno ya kunivunjaa moyo kama wazalendo na wakubwa zangu naheshimu mawazo yn na ht walio chini yangu naomba ushauri wenu wa hali na malii naogopa kuja kujituia kwa fursa hii niseme niliyobahatika kwa sasa asanteni wote.
mmh io hivi sii ni lazima uwe professional yani pharmacist auFungua pharmacy inalipa sana na kama hutojali mm n professional nitasaidia kuoperate iyo pharmacy 0658047048
Acha uongo ww! Sio ww bendui sijui bandidu umeweka uzi kwenye jukwaa la habar na hoja mchanganyiko unalia lia eti umepoteza dira ya maisha ? uzii wenyewe huu apa chini kwenye picha! Mara una 23 yrs mara 26 years we mtu gan una miaka miwili tfoaut, ss kabla sijakusaidia eleza kivipi una miaka 26 na 23 kwa wakat mmoja na hizo m28 ulivyozipata!ππππMimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 nina kazi nzuri kwa mwezi sikosi kama laki tano na kidogo na nina mwaka tu kazin na nimepata pesa kama milion 28 hivi na sina dira nzuri ya mafanikio endelevu na nina uwez wa kukop pesa bank sio chini ya milion 15 na bado sijajenga nyumba au kuwa na kitu cha samani zaidi ya hivyo.
Naomba ushauri wenu ndugu kaka na dada zangu na wote JF najua wapo watu makini na wenye uwelewa mzuri wa kimaisha zaid yangu kweli nipo njia panda sijui nifanye nini na ni mara ya kwanza kushika pesa ndefu kama hiyo naomba msinizarau na kunichukilia tofauti kwa kuniambia maneno ya kunivunjaa moyo kama wazalendo na wakubwa zangu naheshimu mawazo yn na ht walio chini yangu naomba ushauri wenu wa hali na malii naogopa kuja kujituia kwa fursa hii niseme niliyobahatika kwa sasa asanteni wote.
Huoo uzii niliandikaa mudaa mrefu kdg hlf kuhusu maisha kunakupanda na kushukaa mkuu nilishabahatika kushika hz pesaa tn mkono na nikaja hk hk jf kuomba ushauri wengi wakanibezaa so nimejifunzaa vingi mkuu km unataka kufaham nilizipataje nirusu niku pm hlf urudishee majibu hk mkuu ila mistake kubwa niliyoifanya sikulata mshauri mzuriAcha uongo ww! Sio ww bendui sijui bandidu umeweka uzi kwenye jukwaa la habar na hoja mchanganyiko unalia lia eti umepoteza dira ya maisha ? uzii wenyewe huu apa chini kwenye picha! Mara una 23 yrs mara 26 years we mtu gan una miaka miwili tfoaut, ss kabla sijakusaidia eleza kivipi una miaka 26 na 23 kwa wakat mmoja na hizo m28 ulivyozipata!ππππView attachment 860608View attachment 860608View attachment 860608
Hana hata senti moja ni masikini wa kutupwa ! ameanzisha uzi mwingine anaomba nauli ya kurudi kwao .
asante kwa kumstukia mkuuAcha uongo ww! Sio ww bendui sijui bandidu umeweka uzi kwenye jukwaa la habar na hoja mchanganyiko unalia lia eti umepoteza dira ya maisha ? uzii wenyewe huu apa chini kwenye picha! Mara una 23 yrs mara 26 years we mtu gan una miaka miwili tfoaut, ss kabla sijakusaidia eleza kivipi una miaka 26 na 23 kwa wakat mmoja na hizo m28 ulivyozipata!ππππView attachment 860608View attachment 860608View attachment 860608