Usipuuze ndoto unazoota pindi unapokuwa umelala

Usipuuze ndoto unazoota pindi unapokuwa umelala

a sinner saved by Christ

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
611
Reaction score
993
Ndoto unazoota pindi unapokuwa umelala zote zina maana ,hakuna ndoto unayoota isiyokuwa na maana.

Mambo yote yanayotokea liwe jambo jema au baya huanza kwanza kutokea katika ulimwengu wa roho siku chache kabla ya kutokea na kutimia katika ulimwengu huu wa mwili.

Mwili hupata taarifa ya yale yatakayotokea mbeleni kupitia

a) Ndoto unazoota unapokuwa umelala.
Njia nyingine ya kupata taarifa kuhusu yatakayotokea mda mchache ujao au siku chache zijazo mbeleni ni kupitia

b) Kuhisi moyo kuwa either na furaha,amani,mwepesi,msukumo wa kufanya na kutimiza jambo au kinyume chake kuhisi moyo mzito,unasita,hofu,huzini,kukosa amani na msukumo wa kutekeleza jambo au kuwepo eneo fulani au kuendelea kikamilisha jambo.
njia nyingine ya tatu ni

c) Kusikia sauti inakuambia kabisa moyoni au roho inakuambia au kitu kinakiambia moyoni usite kukamilisha kutekeleza jambo au usiwepo eneo fulani,kama unasikia kutahadhatishwa.
Wakati mwingine taarifa hizi katika ulimwengu wa roho unaweza ukazipata kwa njia mojawapo au njia zote tatu ili kusisitiza kutilia mkazo.

Mfano ndoto unaweza kuota ndoto aina moja iwe mbaya au nzuri zaidi ya mara moja hata mpaka mara tatu ndani ya usingizi mmoja /siku moja kila ukishtuka usingizini ukilala tena unaota tena ndoto ileile ,au inajirudia aina hiyohiyo ya ndoto siku tofauti.

Inaweza ikaambatana na kuhisi hisia za huzuni moyoni au furaha moyoni,na kusikia sauti ikikuonya moyoni./rohoni.

Na mfano unaota unapigana ukishtuka uzingizini unajikuta una michubuko ama alama vile vile na maeneo yale yale kama ulivyokuwa unaota ndotoni.

LENGO LA HIZO TAARIFA unazozipata katika ulimwengu wa roho kupitia ndoto ni nini?

Ili uchukue hatua ya either kuomba Mungu/Yesu Kristo akuepushe na hatari iliyoko mbeleni.Pia wakati mwingine ndoto inakupa picha ya maisha yako ya dhambi,maana dhambi ni mauti,fhambi inafungua mlango wa roho za mauti kukuingia. Ili uache ujirekebishe uache kuishi chini ya dhambi,utubu na uombe ulinzi wa Mungu akuepushe na mabaya yaliyokusudiwa kukupata mbeleni.

Baadhi ya aina za ndoto chache ambazo sio nzuri

1) Kuota upo makaburini, kuona majeneza, umekufa, unazikwa(roho ya mauti inakuandama)

2) Kuota unakimbizwa na watu wanaotaka kukudhuru, au wanayama(roho ya mauti)

3) Kuota unapigwa, unapigana na ukapigwa ukapata majeraha(unashambuliwa na adui ulimwengu wa giza unakushambilia wachawi, mizimu, mapepo

4) Kuota uko uchi huna nguo, umepaka kinyesi, umebeba mizigo mizito unaachwa na gari, ina mavazi machafu meusi, unaishi una nyumba porini au nyumba kukuu, unaanguka shimoni, kwenye giza, unaanguka chini, upo gizani, mavazi meusi (utubu na kuacha dhambi)

5)Kuota UNAZINI ndotoni, unafunga ndoa, unavalishwa pete, unazaa, unanyonyesha(Ndoa za majini mapepo, umeolewa kuoa na maroho machafu)

6) Kuota umebeba mizigo mizito unataka kupanda gari unashindwa umeachwa na gari kwa sababu ya mizigo mizito uliyobeba(acha dhambi tubu)

7) Kuota umerudi kusoma madarasa ya nyuma ukiyokwisha yasoma na kuvuka hiyo level au unasoma level hiyo hoyo, unaanguka chini, unateleza, unakimbia lakini huogei (roho ya kurudisha nyuma maendeleo yako)

8)Kuota unapokonywa nguo, viatu, mavazi, pesa(unaibiwa nafasi yako unafanyiwa ushirikina roho wachafu

9)Kuota unalishwa unakuka kunywa chakula (unafanyiwa vitendo vya kishirikina vinavyokuingiza katika maagano mabaya na maroho machafu)

Zipo nyingi hizi ni badhi tu.

Baadhi ya ndoto nzuri

1) Kuota una nyeshewa mvua ,mvua inanyesha(baraka ustawi kufanikisha jambo)

2) Kuota unavuna shamba mavuno matunda,mazao,wanyama wako wamezaa(baraka kustawi kufanikisha jambo)

3) Kuota umevaa mavazi meupe,(matendo yako toba umesamehewa dhambi)

4) Kuota unafua nguo zako na kuoga mana yake (unasafisha matendo yako utapata neema ya kusamehewa dhambi zako)

5) Unavalishwa nyota begani,kofia unapata cheo nk

6) Umepigana vita ukamshinda adui ndotoni (umemshinda adui falme za giza Mungu amekusaidia
zipo nyingi mifano baadhi tu

NINI KIFANYIKE UNAPOPATA TAARIFA HASA NDOTO MBAYA.

1) SALI OMBA YESU akuokoe akusaidie,ni Yesu pekee anayeweza kutuokoa na kutuepusha na hatari zote.

2) Kutubu na kuacha dhambi, mana dhambi zinafungua mlango wa nguvu za giza kupata uhalali wa kikushambulia.Bila kusali tunakosa ulinzi wa Mungu.
 
Ndoto unazoota pindi unapokuwa umelala zote zina maana ,hakuna ndoto unayoota isiyokuwa na maana.Mambo yote yanayot
tokea liwe jambo jema au baya huanza kwanza kutokea katika ulimwengu wa roho siku chache kabla ya kutokea na kutimia katika ulimwengu huu wa mwili.
Mwili hupata taarifa ya yale yatakayotokea mbeleni kupitia a)ndoto unazoota unapokuwa umelala.
Njia nyingine ya kupata taarifa kuhusu yatakayotokea mda mchache ujao au siku chache zijazo mbeleni ni kupitia
b) kuhisi moyo kuwa either na furaha,amani,mwepesi,msukumo wa kufanya na kutimiza jambo au kinyume chake kuhisi moyo mzito,unasita,hofu,huzini,kukosa amani na msukumo wa kutekeleza jambo au kuwepo eneo fulani au kuendelea kikamilisha jambo.
njia nyingine ya tatu ni
c)kusikia sauti inakuambia kabisa moyoni au roho inakuambia au kitu kinakiambia moyoni usite kukamilisha kutekeleza jambo au usiwepo eneo fulani,kama unasikia kutahadhatishwa.
Wakati mwingine taarifa hizi katika ulimwengu wa roho unaweza ukazipata kwa njia mojawapo au njia zote tatu ili kusisitiza kutilia mkazo.
mfano NDOTO unaweza kuota ndoto aina moja iwe mbaya au nzuri zaidi ya mara moja hata mpaka mara tatu ndani ya usingizi mmoja /siku moja kila ukishtuka usingizini ukilala tena unaota tena ndoto ileile ,au inajirudia aina hiyohiyo ya ndoto siku tofauti.
Inaweza ikaambatana na kuhisi hisia za huzuni moyoni au furaha moyoni,na kusikia sauti ikikuonya moyoni./rohoni.
Na mfano unaota unapigana ukishtuka uzingizini unajikuta una michubuko ama alama vile vile na maeneo yale yale kama ulivyokuwa unaota ndotoni.
LENGO LA HIZO TAARIFA unazozipata katika ulimwengu wa roho kupitia ndoto ni nini?
Ili uchukue hatua ya either kuomba Mungu/Yesu Kristo akuepushe na hatari iliyoko mbeleni.Pia wakati mwingine ndoto inakupa picha ya maisha yako ya dhambi,maana dhambi ni mauti,fhambi inafungua mlango wa roho za mauti kukuingia.Ili uache ujirekebishe uache kuishi chini ya dhambi,utubu na uombe ulinzi wa Mungu akuepushe na mabaya yaliyokusudiwa kukupata mbeleni.

Baadhi ya aina za ndoto chache ambazo sio nzuri
1)kuota upo makaburini,kuona majeneza,umekufa,unazikwa(roho ya mauti inakuandama)
2)kuota unakimbizwa na watu wanaotaka kukudhuru,au wanayama(roho ya mauti)
3)kuota unapigwa,unapigana na ukapigwa ukapata majeraha(unashambuliwa na adui ulimwengu wa giza unakushambilia wachawi,mizimu,mapepo
4)kuota uko uchi huna nguo,umepaka kinyesi,umebeba mizigo mizito unaachwa na gari,ina mavazi machafu meusi,unaishi huna nyumba porini au nyumba kukuu,una anguka shimoni,kwenye giza,unaanguka chini,upo gizani,mavazi meusi,(utubu na kuacha dhambi)
5)Kuota UNAZINI ndotoni ,unafunga ndoa,unavalishwa pete,unazaa,unanyonyesha(Ndoa za majini mapepo ,umeolewa kuoa na maroho machafu)
6)kuota umebeba mizigo mizito unataka kupanda gari unashindwa umeachwa na gari kwa sababi ya mizigo mizito uliyobeba(acha dhambi tubu)
7)kuota umerudi kusoma madarasa ya nyuma ukiyokwisha yasoma na kuvuka hiyo level au unasoma level hiyo hoyo,unaanguka chini,unateleza,unakimbia lakini huogei,(roho ya kurudisha nyuma maendeleo yako)
8)kuota unapokonywa nguo,viatu,mavazi,pesa,(unaibiwa nafasi yako unafanyiwa ushirikina roho wachafu
9)kuota unalishwa unakuka kunywa chakula (unafanyiwa vitendo vya kishirikina vinavyokuingiza katika maagano mabaya na maroho machafu)
9)
10)
zipo nyingi hizi ni badhi tu.

baadhi ya ndoto nzuri
1)kuota una nyeshewa mvua ,mvua inanyesha(baraka ustawi kufanikisha jambo)
2)kuota unavuna shamba mavuno matunda,mazao,wanyama wako wamezaa(baraka kustawi kufanikisha jambo)
3)kuota umevaa mavazi meupe,(matendo yako toba umesamehewa dhambi)
4)kuota unafua nguo zako na kuoga mana yake (unasafisha matendo yako utapata neema ya kusamehewa dhambi zako)
5)unavalishwa nyota begani,kofia unapata cheo nk
6)umepigana vita ukamshinda adui ndotoni (umemshinda adui falme za giza Mungu amekusaidia
zipo nyingi mifano baadhi tu

NINI KIFANYIKE UNAPOPATA TAARIFA HASA NDOTO MBAYA.
1)SALI OMBA YESU akuokoe akusaidie,ni Yesu pekee anayeweza kutuokoa na kutuepusha na hatari zote.
2)kutubu na kuacha dhambi,mana dhambi zinafungua mlango wa nguvu za giza kupata uhalali wa kikushambulia.Bila kusali tunakosa ulinzi wa Mungu.
NICE!
 
Ila katika vyote fanya ufanyavyo, ukiota unakata gogo jitahidi uamke la sivyo utakuta mashonde kitandani.

1728638410166.png
 
Ndoto unazoota pindi unapokuwa umelala zote zina maana ,hakuna ndoto unayoota isiyokuwa na maana.Mambo yote yanayot
tokea liwe jambo jema au baya huanza kwanza kutokea katika ulimwengu wa roho siku chache kabla ya kutokea na kutimia katika ulimwengu huu wa mwili.
Mwili hupata taarifa ya yale yatakayotokea mbeleni kupitia a)ndoto unazoota unapokuwa umelala.
Njia nyingine ya kupata taarifa kuhusu yatakayotokea mda mchache ujao au siku chache zijazo mbeleni ni kupitia
b) kuhisi moyo kuwa either na furaha,amani,mwepesi,msukumo wa kufanya na kutimiza jambo au kinyume chake kuhisi moyo mzito,unasita,hofu,huzini,kukosa amani na msukumo wa kutekeleza jambo au kuwepo eneo fulani au kuendelea kikamilisha jambo.
njia nyingine ya tatu ni
c)kusikia sauti inakuambia kabisa moyoni au roho inakuambia au kitu kinakiambia moyoni usite kukamilisha kutekeleza jambo au usiwepo eneo fulani,kama unasikia kutahadhatishwa.
Wakati mwingine taarifa hizi katika ulimwengu wa roho unaweza ukazipata kwa njia mojawapo au njia zote tatu ili kusisitiza kutilia mkazo.
mfano NDOTO unaweza kuota ndoto aina moja iwe mbaya au nzuri zaidi ya mara moja hata mpaka mara tatu ndani ya usingizi mmoja /siku moja kila ukishtuka usingizini ukilala tena unaota tena ndoto ileile ,au inajirudia aina hiyohiyo ya ndoto siku tofauti.
Inaweza ikaambatana na kuhisi hisia za huzuni moyoni au furaha moyoni,na kusikia sauti ikikuonya moyoni./rohoni.
Na mfano unaota unapigana ukishtuka uzingizini unajikuta una michubuko ama alama vile vile na maeneo yale yale kama ulivyokuwa unaota ndotoni.
LENGO LA HIZO TAARIFA unazozipata katika ulimwengu wa roho kupitia ndoto ni nini?
Ili uchukue hatua ya either kuomba Mungu/Yesu Kristo akuepushe na hatari iliyoko mbeleni.Pia wakati mwingine ndoto inakupa picha ya maisha yako ya dhambi,maana dhambi ni mauti,fhambi inafungua mlango wa roho za mauti kukuingia.Ili uache ujirekebishe uache kuishi chini ya dhambi,utubu na uombe ulinzi wa Mungu akuepushe na mabaya yaliyokusudiwa kukupata mbeleni.

Baadhi ya aina za ndoto chache ambazo sio nzuri
1)kuota upo makaburini,kuona majeneza,umekufa,unazikwa(roho ya mauti inakuandama)
2)kuota unakimbizwa na watu wanaotaka kukudhuru,au wanayama(roho ya mauti)
3)kuota unapigwa,unapigana na ukapigwa ukapata majeraha(unashambuliwa na adui ulimwengu wa giza unakushambilia wachawi,mizimu,mapepo
4)kuota uko uchi huna nguo,umepaka kinyesi,umebeba mizigo mizito unaachwa na gari,ina mavazi machafu meusi,unaishi huna nyumba porini au nyumba kukuu,una anguka shimoni,kwenye giza,unaanguka chini,upo gizani,mavazi meusi,(utubu na kuacha dhambi)
5)Kuota UNAZINI ndotoni ,unafunga ndoa,unavalishwa pete,unazaa,unanyonyesha(Ndoa za majini mapepo ,umeolewa kuoa na maroho machafu)
6)kuota umebeba mizigo mizito unataka kupanda gari unashindwa umeachwa na gari kwa sababi ya mizigo mizito uliyobeba(acha dhambi tubu)
7)kuota umerudi kusoma madarasa ya nyuma ukiyokwisha yasoma na kuvuka hiyo level au unasoma level hiyo hoyo,unaanguka chini,unateleza,unakimbia lakini huogei,(roho ya kurudisha nyuma maendeleo yako)
8)kuota unapokonywa nguo,viatu,mavazi,pesa,(unaibiwa nafasi yako unafanyiwa ushirikina roho wachafu
9)kuota unalishwa unakuka kunywa chakula (unafanyiwa vitendo vya kishirikina vinavyokuingiza katika maagano mabaya na maroho machafu)
9)
10)
zipo nyingi hizi ni badhi tu.

baadhi ya ndoto nzuri
1)kuota una nyeshewa mvua ,mvua inanyesha(baraka ustawi kufanikisha jambo)
2)kuota unavuna shamba mavuno matunda,mazao,wanyama wako wamezaa(baraka kustawi kufanikisha jambo)
3)kuota umevaa mavazi meupe,(matendo yako toba umesamehewa dhambi)
4)kuota unafua nguo zako na kuoga mana yake (unasafisha matendo yako utapata neema ya kusamehewa dhambi zako)
5)unavalishwa nyota begani,kofia unapata cheo nk
6)umepigana vita ukamshinda adui ndotoni (umemshinda adui falme za giza Mungu amekusaidia
zipo nyingi mifano baadhi tu

NINI KIFANYIKE UNAPOPATA TAARIFA HASA NDOTO MBAYA.
1)SALI OMBA YESU akuokoe akusaidie,ni Yesu pekee anayeweza kutuokoa na kutuepusha na hatari zote.
2)kutubu na kuacha dhambi,mana dhambi zinafungua mlango wa nguvu za giza kupata uhalali wa kikushambulia.Bila kusali tunakosa ulinzi wa Mungu.
Shukran sana maelezo yamenyooka
 
Kuna watu ambao huota ndoto za kweli mara kwa mara..hapo unaweza fatilia. Sasa mwenzangu na mie ndoto hazina maana yoyote na wakati mwingine hata hukumbuki umeota nini ujichoshe kuzifatilia. Lazima uwe mwehu namkwambia.

Wanaoweza kufatilia ndoto ni wafuasi wa mwamposa/kiboko ya wachawi and the like.
 
Kuna watu ambao huota ndoto za kweli mara kwa mara..hapo unaweza fatilia. Sasa mwenzangu na mie ndoto hazina maana yoyote na wakati mwingine hata hukumbuki umeota nini ujichoshe kuzifatilia. Lazima uwe mwehu namkwambia.

Wanaoweza kufatilia ndoto ni wafuasi wa mwamposa/kiboko ya wachawi and the like.
ndoto zote ni za kweli.Watu wote huota ndoto za kweli isipokuwa tunatifautiana na stutus zetu za kiroho kuweza kuzikumbuka.Kuota ndoto halafu usi ikumbuke ni dalili mbaya,hasa kama ndoto ni mbaya mana ufalme wa giza unafanya kazi kwa siri,na wakatu mwingi huficha sura zao au huvaa sura za watu wako wa karibu hata wazazi.Ndio maana unaweza kuota unakimbizwa na sura na ndugu yako,wengine huota wanazini na wenzi wao au ndugu zao.Lakink wakati mwingine ni adui amejificha kwa kuvaa sura ya mtu unayemfahamu.Njia nyingine ya adui kujificha ni kuvuruga kushika ufahamu wako usikumbuke kabisa au ukumbuke nusu nusu sehemu ndogo ya ndoto na usiwaone sura za adui au na uone sura za wanyama,au ndugu zako.
Mimi ni mlutheri siamini manabii napinga injili ya manabii wa uongo na mafundisho yao potofu ya kutumia vitu vya upako ili watu wahamishie imani na tumaninlaonkutokankwa Yesu kwenda kutumaninia vitu vya upako na kupunguza nguvu za waumini kuomba wenyewe na kutegemea kuombewa tu.,na kuhubiri mafanikio badala kihubiri watu waache dhambi watubu na kurithi ufalme wa mbingu.
Mfano mkubwa ni ndoto ya Pharao ambapo aliota ndoto AMBAYO ALIPOAMKA alikuwa HAIKUMBUKI ???
Lakini nafsi yake ilikuwa na huzuni na hofu kubwa na alikosa amani ya moyo.Mpaka pale YUSUFU alipomkumbusha ndoto aliyoota na kumtafsiria maana yake na yale ambayo yangeikumba nchi katika miaka 14 ijayo
miaka saba ya neema itatangulia kisha itafuata miaka 7 ya njaa kali.
HITIMISHO
Hata kama unaota ndoto na haikumbuki haimaanishi kwamba ndotonuliyoota haina maana au haina umuhimu.NDOTO ZOTE ZINA MAANA,USIPUUZE NDOTO.Hakuna ndoto ambayo just ni trivial tu.
 
ndoto zote ni za kweli.Watu wote huota ndoto za kweli isipokuwa tunatifautiana na stutus zetu za kiroho kuweza kuzikumbuka.Kuota ndoto halafu usi ikumbuke ni dalili mbaya,hasa kama ndoto ni mbaya mana ufalme wa giza unafanya kazi kwa siri,na wakatu mwingi huficha sura zao au huvaa sura za watu wako wa karibu hata wazazi.Ndio maana unaweza kuota unakimbizwa na sura na ndugu yako,wengine huota wanazini na wenzi wao au ndugu zao.Lakink wakati mwingine ni adui amejificha kwa kuvaa sura ya mtu unayemfahamu.Njia nyingine ya adui kujificha ni kuvuruga kushika ufahamu wako usikumbuke kabisa au ukumbuke nusu nusu sehemu ndogo ya ndoto na usiwaone sura za adui au na uone sura za wanyama,au ndugu zako.
Mimi ni mlutheri siamini manabii napinga injili ya manabii wa uongo na mafundisho yao potofu ya kutumia vitu vya upako ili watu wahamishie imani na tumaninlaonkutokankwa Yesu kwenda kutumaninia vitu vya upako na kupunguza nguvu za waumini kuomba wenyewe na kutegemea kuombewa tu.,na kuhubiri mafanikio badala kihubiri watu waache dhambi watubu na kurithi ufalme wa mbingu.
Mfano mkubwa ni ndoto ya Pharao ambapo aliota ndoto AMBAYO ALIPOAMKA alikuwa HAIKUMBUKI ???
Lakini nafsi yake ilikuwa na huzuni na hofu kubwa na alikosa amani ya moyo.Mpaka pale YUSUFU alipomkumbusha ndoto aliyoota na kumtafsiria maana yake na yale ambayo yangeikumba nchi katika miaka 14 ijayo
miaka saba ya neema itatangulia kisha itafuata miaka 7 ya njaa kali.
HITIMISHO
Hata kama unaota ndoto na haikumbuki haimaanishi kwamba ndotonuliyoota haina maana au haina umuhimu.NDOTO ZOTE ZINA MAANA,USIPUUZE NDOTO.Hakuna ndoto ambayo just ni trivial tu.
Nyie wenye uwezo wa kufatilia zifatilieni. Binafsi naona nitajichosha bure
 
Tuanze kufatilia kila ndoto si tutakuwa machizi

Ndiyo shida ya wabongo. Badala ya kufuatilia mipanuo waliojiwekea. Wenyewe wanafuatilia ndoto. Badala ya kufuatilia madili, wanafuatilia ndoto ambazo kisayansi ni jambo ambalo linatrend akilini mwako.

Sasa kwa mfano, niote nimeokota hela sehemu fulani. Kwa hiyo ina maana niende eneo hilo na kuanza kutafuta pesa.
 
Ndoto unazoota pindi unapokuwa umelala zote zina maana ,hakuna ndoto unayoota isiyokuwa na maana.Mambo yote yanayot
tokea liwe jambo jema au baya huanza kwanza kutokea katika ulimwengu wa roho siku chache kabla ya kutokea na kutimia katika ulimwengu huu wa mwili.
Mwili hupata taarifa ya yale yatakayotokea mbeleni kupitia a)ndoto unazoota unapokuwa umelala.
Njia nyingine ya kupata taarifa kuhusu yatakayotokea mda mchache ujao au siku chache zijazo mbeleni ni kupitia
b) kuhisi moyo kuwa either na furaha,amani,mwepesi,msukumo wa kufanya na kutimiza jambo au kinyume chake kuhisi moyo mzito,unasita,hofu,huzini,kukosa amani na msukumo wa kutekeleza jambo au kuwepo eneo fulani au kuendelea kikamilisha jambo.
njia nyingine ya tatu ni
c)kusikia sauti inakuambia kabisa moyoni au roho inakuambia au kitu kinakiambia moyoni usite kukamilisha kutekeleza jambo au usiwepo eneo fulani,kama unasikia kutahadhatishwa.
Wakati mwingine taarifa hizi katika ulimwengu wa roho unaweza ukazipata kwa njia mojawapo au njia zote tatu ili kusisitiza kutilia mkazo.
mfano NDOTO unaweza kuota ndoto aina moja iwe mbaya au nzuri zaidi ya mara moja hata mpaka mara tatu ndani ya usingizi mmoja /siku moja kila ukishtuka usingizini ukilala tena unaota tena ndoto ileile ,au inajirudia aina hiyohiyo ya ndoto siku tofauti.
Inaweza ikaambatana na kuhisi hisia za huzuni moyoni au furaha moyoni,na kusikia sauti ikikuonya moyoni./rohoni.
Na mfano unaota unapigana ukishtuka uzingizini unajikuta una michubuko ama alama vile vile na maeneo yale yale kama ulivyokuwa unaota ndotoni.
LENGO LA HIZO TAARIFA unazozipata katika ulimwengu wa roho kupitia ndoto ni nini?
Ili uchukue hatua ya either kuomba Mungu/Yesu Kristo akuepushe na hatari iliyoko mbeleni.Pia wakati mwingine ndoto inakupa picha ya maisha yako ya dhambi,maana dhambi ni mauti,fhambi inafungua mlango wa roho za mauti kukuingia.Ili uache ujirekebishe uache kuishi chini ya dhambi,utubu na uombe ulinzi wa Mungu akuepushe na mabaya yaliyokusudiwa kukupata mbeleni.

Baadhi ya aina za ndoto chache ambazo sio nzuri
1)kuota upo makaburini,kuona majeneza,umekufa,unazikwa(roho ya mauti inakuandama)
2)kuota unakimbizwa na watu wanaotaka kukudhuru,au wanayama(roho ya mauti)
3)kuota unapigwa,unapigana na ukapigwa ukapata majeraha(unashambuliwa na adui ulimwengu wa giza unakushambilia wachawi,mizimu,mapepo
4)kuota uko uchi huna nguo,umepaka kinyesi,umebeba mizigo mizito unaachwa na gari,ina mavazi machafu meusi,unaishi huna nyumba porini au nyumba kukuu,una anguka shimoni,kwenye giza,unaanguka chini,upo gizani,mavazi meusi,(utubu na kuacha dhambi)
5)Kuota UNAZINI ndotoni ,unafunga ndoa,unavalishwa pete,unazaa,unanyonyesha(Ndoa za majini mapepo ,umeolewa kuoa na maroho machafu)
6)kuota umebeba mizigo mizito unataka kupanda gari unashindwa umeachwa na gari kwa sababi ya mizigo mizito uliyobeba(acha dhambi tubu)
7)kuota umerudi kusoma madarasa ya nyuma ukiyokwisha yasoma na kuvuka hiyo level au unasoma level hiyo hoyo,unaanguka chini,unateleza,unakimbia lakini huogei,(roho ya kurudisha nyuma maendeleo yako)
8)kuota unapokonywa nguo,viatu,mavazi,pesa,(unaibiwa nafasi yako unafanyiwa ushirikina roho wachafu
9)kuota unalishwa unakuka kunywa chakula (unafanyiwa vitendo vya kishirikina vinavyokuingiza katika maagano mabaya na maroho machafu)
9)
10)
zipo nyingi hizi ni badhi tu.

baadhi ya ndoto nzuri
1)kuota una nyeshewa mvua ,mvua inanyesha(baraka ustawi kufanikisha jambo)
2)kuota unavuna shamba mavuno matunda,mazao,wanyama wako wamezaa(baraka kustawi kufanikisha jambo)
3)kuota umevaa mavazi meupe,(matendo yako toba umesamehewa dhambi)
4)kuota unafua nguo zako na kuoga mana yake (unasafisha matendo yako utapata neema ya kusamehewa dhambi zako)
5)unavalishwa nyota begani,kofia unapata cheo nk
6)umepigana vita ukamshinda adui ndotoni (umemshinda adui falme za giza Mungu amekusaidia
zipo nyingi mifano baadhi tu

NINI KIFANYIKE UNAPOPATA TAARIFA HASA NDOTO MBAYA.
1)SALI OMBA YESU akuokoe akusaidie,ni Yesu pekee anayeweza kutuokoa na kutuepusha na hatari zote.
2)kutubu na kuacha dhambi,mana dhambi zinafungua mlango wa nguvu za giza kupata uhalali wa kikushambulia.Bila kusali tunakosa ulinzi wa Mungu.
Hakuna ndoto nimeiota mara nyingi kama ndoto ya kua madarasa ya nyuma tena hasa shule ya msingi. Mara chache kuota sekondari.
Si ajabu kabla october haijaisha nikaiota ata mara mbili
 
Ndiyo shida ya wabongo. Badala ya kufuatilia mipanuo waliojiwekea. Wenyewe wanafuatilia ndoto. Badala ya kufuatilia madili, wanafuatilia ndoto ambazo kisayansi ni jambo ambalo linatrend akilini mwako.

Sasa kwa mfano, niote nimeokota hela sehemu fulani. Kwa hiyo ina maana niende eneo hilo na kuanza kutafuta pesa.
Watakwambia ukiota umeokota hela maana yake kuna adui anakunyemelea, shetani yupo kazini zidisha maombi
 
Back
Top Bottom