a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 611
- 993
- Thread starter
-
- #21
pole sana ,hiyo ni miongoni mwa ndoto mbaya.Kuna roho inayofuatilia ya kurudisha nyuma hatua zako ustawi/maendeleo/kukua/kuongezeka kustawi kwako(kiroho na kimwili)Hakuna ndoto nimeiota mara nyingi kama ndoto ya kua madarasa ya nyuma tena hasa shule ya msingi. Mara chache kuota sekondari.
Hakuna kitu cha bure katika ulimwengu wa Roho,unaweza ukaokota ukapokea pesa au zawadi ,ambayo imeniuziwa ina maagano ukawa umefungua mlango wa kumilikiwa na nguvu za giza.Au unaweza wewe ukatoa au kupekeka pesa yako,zawadi au sadaka watu wakaitimia kukudhuru.Mfano mtu anakupa zawadi mfano mavazi,pesa au chakula na kukufanyia uchawi kupitia hicho alichokupa au wewe unampa mtu zawadi pesa au mavazi viatu ,chakula na vikatumika kama sadaka ya kukudhuru inawezekana.Dawa ili haya yasitupate ni kuomba msaada wa Mungu ,ulinzi wa Mungu,kuimarisha madhabahu zetu kwa sadaka,fungu la kumi,maombi ibada,matendo mema na Mungu wetu ili kubatilisha nguvu ya madhabahu za adui wanaotutegea mitego kupitia kuokota pesa ndotoni,kupewa zawadi n.k,na kuweka ulinzi kwetu na mali zetu.Bila ulinzi wa Mungu wote tupo prone kushambuliwa na adui.HITIMISHO kuota unaokota pesa sio ndoto nzuri.Na hata kuokota pesa njiani ukiwa unatembea katika ulimwengu huu wa mwili physically nyingine zinakuwa zimenuiziwa au waswahili wanasema zometegwa.Japo kama una imani na nguvu ya Mungu hata ukute pesa imetegwa njia panda imetupwa hapo ,wamevunja nazi,wamechinja ndege,na kuna hirizi.Kama nafsi yako ina amani inakwambia okota hiyo pesa okota itolee fungubla kumi sadaka,chukua nazi kula ,ombea,hautadhurika.Watakwambia ukiota umeokota hela maana yake kuna adui anakunyemelea, shetani yupo kazini zidisha maombi
roho ya mauti ni mapepo,majini,mizimu,wachawi,waganga wa kienyeji..(ufalme wa giza) umekusudiwa ufe,wakifanikiwa lazima watangulie kukuua ufe kwanza kwenye ulimwengu wa roho waue roho yako ndipo ifuatie kufa katika mwili.Infact shetani lucifer na washirika wake hao majini ,wachawi n.k hata shetani mwenyewe hawana uwezo wa kuua roho,ila wanachokifanya wanakuchukua msukule ,duniani tunaona kama umekufa ,ila inakuwa umechukuliwa msukule katika ulimwengu wa rohoElezea kwa kina hapo kwenye roho ya umauti
ndoto za kuota unapuu hadharani,unapakwa kinyesi,umechafuka kinyesi ni ndoto mbaya ni kuvikwa VAZI LA AIBU uaibike katika maisha yako kazi yako mambo ufuatwe na ROHO ya KUAIBISHWA kufedheheshwa.Kukataliwa unanuka mavi.Pia ni uchafu mana safishabMATENDO yako,tubu dhambi uwe msafi.Ila katika vyote fanya ufanyavyo, ukiota unakata gogo jitahidi uamke la sivyo utakuta mashonde kitandani.
View attachment 3121674
Amenpole sana ,hiyo ni miongoni mwa ndoto mbaya.Kuna roho inayofuatilia ya kurudisha nyuma hatua zako ustawi/maendeleo/kukua/kuongezeka kustawi kwako(kiroho na kimwili)
Ukiombea ndoto hiyo kemea na kataa roho za kurudishwa hatua zako nyuma na kuimarisha mahusiano yako na Mungu na maisha ya sala na toba,ibada,na kuziepuka dhambi.Mungu atakushindia atakustawisha .Ameni.
Kitu inanitesa hii acha tuundoto za kuota unapuu hadharani,unapakwa kinyesi,umechafuka kinyesi ni ndoto mbaya ni kuvikwa VAZI LA AIBU uaibike katika maisha yako kazi yako mambo ufuatwe na ROHO ya KUAIBISHWA kufedheheshwa.Kukataliwa unanuka mavi.Pia ni uchafu mana safishabMATENDO yako,tubu dhambi uwe msafi.
Ndoto nzuri opposite ya hiyo KUOTA unaoga bafuni au unafua nguo zako chafu ziwe safi.KINYUME CHA HIYO.
pole sana,Mungu akuepushie mbali roho hiyo ya kuvikwa vazi la aibu/fedheha,isikupate kwa jina la Yesu.amin.Kitu inanitesa hii acha tuu
Nisaidie hii.. Nimekuwa nikiota napigana sana na watu na mara nyingi nakuwa mshindi,, pia naota nikiwa napaa kama ndege na nakuwa na furaha sana,, hiyo ya kuota madarasa ya nyuma ni kweli hii ndoto imenisumbua kwa muda sana ila ni kama mwaka na nusu sijaota naota tuu nikiwa uwanjani na wenzangu tunacheza ila kuwepo darasani sioti tena π₯π₯ni kweli pia maisha yangu yamerudi nyuma sanaNdoto unazoota pindi unapokuwa umelala zote zina maana ,hakuna ndoto unayoota isiyokuwa na maana.Mambo yote yanayot
tokea liwe jambo jema au baya huanza kwanza kutokea katika ulimwengu wa roho siku chache kabla ya kutokea na kutimia katika ulimwengu huu wa mwili.
Mwili hupata taarifa ya yale yatakayotokea mbeleni kupitia a)ndoto unazoota unapokuwa umelala.
Njia nyingine ya kupata taarifa kuhusu yatakayotokea mda mchache ujao au siku chache zijazo mbeleni ni kupitia
b) kuhisi moyo kuwa either na furaha,amani,mwepesi,msukumo wa kufanya na kutimiza jambo au kinyume chake kuhisi moyo mzito,unasita,hofu,huzini,kukosa amani na msukumo wa kutekeleza jambo au kuwepo eneo fulani au kuendelea kikamilisha jambo.
njia nyingine ya tatu ni
c)kusikia sauti inakuambia kabisa moyoni au roho inakuambia au kitu kinakiambia moyoni usite kukamilisha kutekeleza jambo au usiwepo eneo fulani,kama unasikia kutahadhatishwa.
Wakati mwingine taarifa hizi katika ulimwengu wa roho unaweza ukazipata kwa njia mojawapo au njia zote tatu ili kusisitiza kutilia mkazo.
mfano NDOTO unaweza kuota ndoto aina moja iwe mbaya au nzuri zaidi ya mara moja hata mpaka mara tatu ndani ya usingizi mmoja /siku moja kila ukishtuka usingizini ukilala tena unaota tena ndoto ileile ,au inajirudia aina hiyohiyo ya ndoto siku tofauti.
Inaweza ikaambatana na kuhisi hisia za huzuni moyoni au furaha moyoni,na kusikia sauti ikikuonya moyoni./rohoni.
Na mfano unaota unapigana ukishtuka uzingizini unajikuta una michubuko ama alama vile vile na maeneo yale yale kama ulivyokuwa unaota ndotoni.
LENGO LA HIZO TAARIFA unazozipata katika ulimwengu wa roho kupitia ndoto ni nini?
Ili uchukue hatua ya either kuomba Mungu/Yesu Kristo akuepushe na hatari iliyoko mbeleni.Pia wakati mwingine ndoto inakupa picha ya maisha yako ya dhambi,maana dhambi ni mauti,fhambi inafungua mlango wa roho za mauti kukuingia.Ili uache ujirekebishe uache kuishi chini ya dhambi,utubu na uombe ulinzi wa Mungu akuepushe na mabaya yaliyokusudiwa kukupata mbeleni.
Baadhi ya aina za ndoto chache ambazo sio nzuri
1)kuota upo makaburini,kuona majeneza,umekufa,unazikwa(roho ya mauti inakuandama)
2)kuota unakimbizwa na watu wanaotaka kukudhuru,au wanayama(roho ya mauti)
3)kuota unapigwa,unapigana na ukapigwa ukapata majeraha(unashambuliwa na adui ulimwengu wa giza unakushambilia wachawi,mizimu,mapepo
4)kuota uko uchi huna nguo,umepaka kinyesi,umebeba mizigo mizito unaachwa na gari,ina mavazi machafu meusi,unaishi huna nyumba porini au nyumba kukuu,una anguka shimoni,kwenye giza,unaanguka chini,upo gizani,mavazi meusi,(utubu na kuacha dhambi)
5)Kuota UNAZINI ndotoni ,unafunga ndoa,unavalishwa pete,unazaa,unanyonyesha(Ndoa za majini mapepo ,umeolewa kuoa na maroho machafu)
6)kuota umebeba mizigo mizito unataka kupanda gari unashindwa umeachwa na gari kwa sababi ya mizigo mizito uliyobeba(acha dhambi tubu)
7)kuota umerudi kusoma madarasa ya nyuma ukiyokwisha yasoma na kuvuka hiyo level au unasoma level hiyo hoyo,unaanguka chini,unateleza,unakimbia lakini huogei,(roho ya kurudisha nyuma maendeleo yako)
8)kuota unapokonywa nguo,viatu,mavazi,pesa,(unaibiwa nafasi yako unafanyiwa ushirikina roho wachafu
9)kuota unalishwa unakuka kunywa chakula (unafanyiwa vitendo vya kishirikina vinavyokuingiza katika maagano mabaya na maroho machafu)
9)
10)
zipo nyingi hizi ni badhi tu.
baadhi ya ndoto nzuri
1)kuota una nyeshewa mvua ,mvua inanyesha(baraka ustawi kufanikisha jambo)
2)kuota unavuna shamba mavuno matunda,mazao,wanyama wako wamezaa(baraka kustawi kufanikisha jambo)
3)kuota umevaa mavazi meupe,(matendo yako toba umesamehewa dhambi)
4)kuota unafua nguo zako na kuoga mana yake (unasafisha matendo yako utapata neema ya kusamehewa dhambi zako)
5)unavalishwa nyota begani,kofia unapata cheo nk
6)umepigana vita ukamshinda adui ndotoni (umemshinda adui falme za giza Mungu amekusaidia
zipo nyingi mifano baadhi tu
NINI KIFANYIKE UNAPOPATA TAARIFA HASA NDOTO MBAYA.
1)SALI OMBA YESU akuokoe akusaidie,ni Yesu pekee anayeweza kutuokoa na kutuepusha na hatari zote.
2)kutubu na kuacha dhambi,mana dhambi zinafungua mlango wa nguvu za giza kupata uhalali wa kikushambulia.Bila kusali tunakosa ulinzi wa Mungu.
1)kuota unapigana mana upo katika vita/mapambano na adui ,ukishinda maana yake Mungu akupa neema kwa uwezo wa Mungu umeshinda hiyo vita.(nzuri)ila lazima uji imarishe ulinzi wa kiroho kwa kuongeza ,kusali/kuomba,sadaka,matendo mema, ibada,na kumcha Mungu na kuziepuka dhambi,mana ukiendelea kuishi katika dhambi ni kuruhusu /kifungulia adui mlango wa kukusahambulia.Nisaidie hii.. Nimekuwa nikiota napigana sana na watu na mara nyingi nakuwa mshindi,, pia naota nikiwa napaa kama ndege na nakuwa na furaha sana,, hiyo ya kuota madarasa ya nyuma ni kweli hii ndoto imenisumbua kwa muda sana ila ni kama mwaka na nusu sijaota naota tuu nikiwa uwanjani na wenzangu tunacheza ila kuwepo darasani sioti tena π₯π₯ni kweli pia maisha yangu yamerudi nyuma sana
Niliwahi kuota ninamfufua mtu ambaye watu walisema amekufa huku mimi nikimwangalia naona kama amelala tu. Hii tafsiri yake nini mtaalamu?Ndoto unazoota pindi unapokuwa umelala zote zina maana ,hakuna ndoto unayoota isiyokuwa na maana.Mambo yote yanayot
tokea liwe jambo jema au baya huanza kwanza kutokea katika ulimwengu wa roho siku chache kabla ya kutokea na kutimia katika ulimwengu huu wa mwili.
Mwili hupata taarifa ya yale yatakayotokea mbeleni kupitia a)ndoto unazoota unapokuwa umelala.
Njia nyingine ya kupata taarifa kuhusu yatakayotokea mda mchache ujao au siku chache zijazo mbeleni ni kupitia
b) kuhisi moyo kuwa either na furaha,amani,mwepesi,msukumo wa kufanya na kutimiza jambo au kinyume chake kuhisi moyo mzito,unasita,hofu,huzini,kukosa amani na msukumo wa kutekeleza jambo au kuwepo eneo fulani au kuendelea kikamilisha jambo.
njia nyingine ya tatu ni
c)kusikia sauti inakuambia kabisa moyoni au roho inakuambia au kitu kinakiambia moyoni usite kukamilisha kutekeleza jambo au usiwepo eneo fulani,kama unasikia kutahadhatishwa.
Wakati mwingine taarifa hizi katika ulimwengu wa roho unaweza ukazipata kwa njia mojawapo au njia zote tatu ili kusisitiza kutilia mkazo.
mfano NDOTO unaweza kuota ndoto aina moja iwe mbaya au nzuri zaidi ya mara moja hata mpaka mara tatu ndani ya usingizi mmoja /siku moja kila ukishtuka usingizini ukilala tena unaota tena ndoto ileile ,au inajirudia aina hiyohiyo ya ndoto siku tofauti.
Inaweza ikaambatana na kuhisi hisia za huzuni moyoni au furaha moyoni,na kusikia sauti ikikuonya moyoni./rohoni.
Na mfano unaota unapigana ukishtuka uzingizini unajikuta una michubuko ama alama vile vile na maeneo yale yale kama ulivyokuwa unaota ndotoni.
LENGO LA HIZO TAARIFA unazozipata katika ulimwengu wa roho kupitia ndoto ni nini?
Ili uchukue hatua ya either kuomba Mungu/Yesu Kristo akuepushe na hatari iliyoko mbeleni.Pia wakati mwingine ndoto inakupa picha ya maisha yako ya dhambi,maana dhambi ni mauti,fhambi inafungua mlango wa roho za mauti kukuingia.Ili uache ujirekebishe uache kuishi chini ya dhambi,utubu na uombe ulinzi wa Mungu akuepushe na mabaya yaliyokusudiwa kukupata mbeleni.
Baadhi ya aina za ndoto chache ambazo sio nzuri
1)kuota upo makaburini,kuona majeneza,umekufa,unazikwa(roho ya mauti inakuandama)
2)kuota unakimbizwa na watu wanaotaka kukudhuru,au wanayama(roho ya mauti)
3)kuota unapigwa,unapigana na ukapigwa ukapata majeraha(unashambuliwa na adui ulimwengu wa giza unakushambilia wachawi,mizimu,mapepo
4)kuota uko uchi huna nguo,umepaka kinyesi,umebeba mizigo mizito unaachwa na gari,ina mavazi machafu meusi,unaishi huna nyumba porini au nyumba kukuu,una anguka shimoni,kwenye giza,unaanguka chini,upo gizani,mavazi meusi,(utubu na kuacha dhambi)
5)Kuota UNAZINI ndotoni ,unafunga ndoa,unavalishwa pete,unazaa,unanyonyesha(Ndoa za majini mapepo ,umeolewa kuoa na maroho machafu)
6)kuota umebeba mizigo mizito unataka kupanda gari unashindwa umeachwa na gari kwa sababi ya mizigo mizito uliyobeba(acha dhambi tubu)
7)kuota umerudi kusoma madarasa ya nyuma ukiyokwisha yasoma na kuvuka hiyo level au unasoma level hiyo hoyo,unaanguka chini,unateleza,unakimbia lakini huogei,(roho ya kurudisha nyuma maendeleo yako)
8)kuota unapokonywa nguo,viatu,mavazi,pesa,(unaibiwa nafasi yako unafanyiwa ushirikina roho wachafu
9)kuota unalishwa unakuka kunywa chakula (unafanyiwa vitendo vya kishirikina vinavyokuingiza katika maagano mabaya na maroho machafu)
9)
10)
zipo nyingi hizi ni badhi tu.
baadhi ya ndoto nzuri
1)kuota una nyeshewa mvua ,mvua inanyesha(baraka ustawi kufanikisha jambo)
2)kuota unavuna shamba mavuno matunda,mazao,wanyama wako wamezaa(baraka kustawi kufanikisha jambo)
3)kuota umevaa mavazi meupe,(matendo yako toba umesamehewa dhambi)
4)kuota unafua nguo zako na kuoga mana yake (unasafisha matendo yako utapata neema ya kusamehewa dhambi zako)
5)unavalishwa nyota begani,kofia unapata cheo nk
6)umepigana vita ukamshinda adui ndotoni (umemshinda adui falme za giza Mungu amekusaidia
zipo nyingi mifano baadhi tu
NINI KIFANYIKE UNAPOPATA TAARIFA HASA NDOTO MBAYA.
1)SALI OMBA YESU akuokoe akusaidie,ni Yesu pekee anayeweza kutuokoa na kutuepusha na hatari zote.
2)kutubu na kuacha dhambi,mana dhambi zinafungua mlango wa nguvu za giza kupata uhalali wa kikushambulia.Bila kusali tunakosa ulinzi wa Mungu.
Kama watu walisema amekufa (mfu) na kama ni kweli hapa duniani haishi tena anahesabika mfu.Ina maana mbaya kukutana na wafu ndotoni,ni roho za wafu/mauti wengine wanaita mizimu ila ni mapepo,majini ,au roho za mauti.Niliwahi kuota ninamfufua mtu ambaye watu walisema amekufa huku mimi nikimwangalia naona kama amelala tu. Hii tafsiri yake nini mtaalamu?
zipo tofautiHizi tabiri na maana zake ni za mtu mmoja maana hazibadiliki?
hongera sana kwa kutambua umuhimu wa ndoto.Mimi huwa nafuatilia hata ndoto za watoto wangu wote lazima niwaulize wanisimulie walichoota.Mie huwa sipuuzi ndoto, na nikiamka tu kitu cha kwanza huwa ni kufatilia maana ya ndoto.....mara nyingi ndoto zangu ni za kweli.
Bwana weee mwaka huu niliota naokota coins.....πππ Ncheke kwanza ndoto ni ujumbe wa kweli.
Kwakweli huwa sipuuzii kabisa, ndo jambo la kwanza kufanya nikiamka natafuta maana ya kitu nlichoota.....zipo tofauti
hongera sana kwa kutambua umuhimu wa ndoto.Mimi huwa nafuatilia hata ndoto za watoto wangu wote lazima niwaulize wanisimulie walichoota.
Na kuna ndoto nikiota au watoto wakiota inabidi nifunge ,niongeze dozi ya maombi na sadaka nizotoa ,hata watoto nimewafundisha kusali kutoa sadaka,kusoma maandiko ya Mungu.Na wakati mwingine watoto wenyewe wananiambia leo nimeota ndoto nzuri,leo nimeota ndoto mbaya nilikuwa nakimbizwa nikaomba nikamshinda,nawaelekeza cha kufanya.