Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Kibongo bongo baadhi (sio wote) wamepitia njia haramu mpaka kupata utajiri wao, ni vile tu wanachagua njia zipi za kuwapa ila ukweli wanao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa upande wangu huwa sioni kama Kuna Siri ya utajiri zaidi ya Kupiga kazi kwa nguvu na moyo. Nikiwa mdogo niliishi na ndugu yangu ambaye kwa Sasa ni bilionea. Huyu alikuwa anaenda kazini "porini" anakaa wiki 2 au 3 bila kurudi home, ofisi anamwachia secretary. Ni mtu wa kujituma haswaa, muda wowote kazi. Lakini history yake ya utafutaji inaanzia kuajiriwa, akaacha kazi Sababu ya mazingira then akaingia kwenye uchuuzi "machinga" wa sigara, nguo .......mapichapicha, shida kila Tajiri anamapicha mapicha akianza kukuelezea ameupataje utajiri inakuwa kama report ya jeshi la polisi dhidi ya yule askari aliyejinyongea mahabusu...
Ok[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna watu tuna-relate! Hapo unajaribu kumhakikishia babe kwamba mzee baba unapambana, sema mafanikio sio rahisi kama anavyofikiria [emoji23][emoji23][emoji23].
Ni mpumbavu peke yake yake ambae hajui hisyoria ya manji anaweza kusema n decoy,manji baba yake amekuwa mjenga mabodi ya mabasi kwa miaka mingi sana,manji karithi tuKaribu Tanzania, nchi ambayo ukisikia mtu ametajirika basi wazo la kwanza linalokujia kichwani ni "michongo", au "unga", au "kafara", au "nyota", au "upigaji", au "sponsor" na maneno mengine ya dizaini hiyo.
Naomba mnisaidie, labda ni mimi peke yangu - lakini ni nadra sana kufikiria au kukubali kuwa ni BIDII ya mtu, au MAARIFA yake na kuzitumia fursa kihalali ndivyo vimemfanya atajirike. Swali ni kwanini?
Mimi nadhani yote hii ni kwasababu matajiri wengi Bongo ni wagumu kuelezea njia walizopita mpaka wanatajirika. Yes, huwa wanaongelea kidogo lakini wanaacha maswali mengi ambayo hayana majibu.
I mean, ukiambiwa Elon Musk ni muuza unga ndo maana ameweza kuwa tajiri namba moja duniani [emoji44] lazima ukatae: kwasababu njia alizopita mpaka alipo ziko wazi, in details. Ni rahisi kujua Jeff Bezos aliwezaje kuibadili biashara ya kuuza vitabu kuwa moja ya kampuni kubwa zaidi duniani. Ni rahisi kujua njia alizopita Dangote mpaka kuwa tajiri namba moja Africa. Ni rahisi kujua details za utajiri wa Strive Masiyiwa.
Hawa wa kwetu naona iko shida, ndio maana vijiweni kuna theory nyingi zinachekesha;
Kwamba Bakhresa alitajirika baada ya kuiona nyota ya Jaha. KwambaFred Vunjabei ni... Mkinga... you know [emoji6] na by default ni mchawi [emoji1745] hence utajiri wa ndere. Kwamba Mo Dewji amerithi tu utajiri wa babaake kwahiyo hakuna kikubwa alichofanya.
Kwamba Yusuph Manji ni decoy tu wa matajiri wa ughaibuni huko. Kwamba Joseph Kusaga amewanyonya sana wasanii kufika hapo alipo - kupitia jasiri muongoza njia. Kwamba huyo tajiri wa mtaani kwenu alimtoa kafara naniliu, mara paap akawa don. Kwamba yule mwingine alichukua nyota ya mwenzake ndiyo inamfanya aendelee kupiga mpunga mrefu, so mwenye nyota yake akiirudisha, mchizi chali![emoji6]
Na hizi theories zinasambaa na kuaminika kwasababu hakuna alternatives. Angalau Fred Vunjabei aliwahi kuongelea namna alivyofika alipofika na ika-make sense, vijiweni masela wakaelewa, wakaanza kuona kumbe mwana sio Mkinga Mchawi bali ni hustler [emoji1].
Madhara ya hii "mindset" ya kuamini huwezi kutajirika bila kuuza unga, au kupiga michongo, au kuwa mpigaji au kuwa na sponsor, au kuingia kwenye siasa na kula pesa za umma, au kutoa kafara n.k. ni makubwa sana. Yanafanya watu hawataki kujituma, bali wako standby kutafuta hizi shortcuts. Na huwezi kuwashauri vinginevyo, watakuuliza ni nani aliyetajirika bila shortcuts?[emoji848]
Hivi juzi juzi ndugu yetu wa damu kabisa, Benji, amefanikiwa kunasa kibunda cha Dola milioni 10! Utasikia tu mitaani theory za watu kuhusu namna alivyofanikiwa kuzipata hizo. Na I bet zitaanzia mtaa wa 'Silicon Dar'[emoji1787][emoji1787][emoji1787] (Am joking!)
BOTTOM LINE.
I wish wanaofanikiwa wangekuwa wako wazi zaidi juu ya njia walizopita mpaka kufika walipofika. Kutusimulia kwamba "Nilianza kuuza karanga, baadae nikafungua duka na saivi ninamiliki supermarket"... haitoshi. Simulizi za hivyo zinaacha maswali mengi mno! Matokeo yake, mitaani watu tunakosa real models, na hatuwezi kuwatumia real models wa ughaibuni kwasababu mazingira ni tofauti sana kwa kila namna.
I stand to be corrected. Naomba kuwasilisha.
Mkuu hiyo ndiyo point,uwaambie watu njia ulizofanikiwa kwa mantiki ipi? sana sana labda mwenye shida ya kujua umefanikiwa vip atakufuata yey mwenyew na wew utamuelekeza ila suala la kuamin au kutokuamin yale uliyopitia had ukafanikiwa ni juu yake..Akuelezee wewe nani? Ni lazima waeleze jinsi walivyopata utajiri wao? Hata wakieleza hamuwezi kuamini kwasababu mshajiaminisha kama ulivyoelezea. Kila mtu ashinde mechi zake.
Karibu Tanzania, nchi ambayo ukisikia mtu ametajirika basi wazo la kwanza linalokujia kichwani ni "michongo", au "unga", au "kafara", au "nyota", au "upigaji", au "sponsor" na maneno mengine ya dizaini hiyo.
Naomba mnisaidie, labda ni mimi peke yangu - lakini ni nadra sana kufikiria au kukubali kuwa ni BIDII ya mtu, au MAARIFA yake na kuzitumia fursa kihalali ndivyo vimemfanya atajirike. Swali ni kwanini?
Mimi nadhani yote hii ni kwasababu matajiri wengi Bongo ni wagumu kuelezea njia walizopita mpaka wanatajirika. Yes, huwa wanaongelea kidogo lakini wanaacha maswali mengi ambayo hayana majibu.
I mean, ukiambiwa Elon Musk ni muuza unga ndo maana ameweza kuwa tajiri namba moja duniani [emoji44] lazima ukatae: kwasababu njia alizopita mpaka alipo ziko wazi, in details. Ni rahisi kujua Jeff Bezos aliwezaje kuibadili biashara ya kuuza vitabu kuwa moja ya kampuni kubwa zaidi duniani. Ni rahisi kujua njia alizopita Dangote mpaka kuwa tajiri namba moja Africa. Ni rahisi kujua details za utajiri wa Strive Masiyiwa.
Hawa wa kwetu naona iko shida, ndio maana vijiweni kuna theory nyingi zinachekesha;
Kwamba Bakhresa alitajirika baada ya kuiona nyota ya Jaha. KwambaFred Vunjabei ni... Mkinga... you know [emoji6] na by default ni mchawi [emoji1745] hence utajiri wa ndere. Kwamba Mo Dewji amerithi tu utajiri wa babaake kwahiyo hakuna kikubwa alichofanya.
Kwamba Yusuph Manji ni decoy tu wa matajiri wa ughaibuni huko. Kwamba Joseph Kusaga amewanyonya sana wasanii kufika hapo alipo - kupitia jasiri muongoza njia. Kwamba huyo tajiri wa mtaani kwenu alimtoa kafara naniliu, mara paap akawa don. Kwamba yule mwingine alichukua nyota ya mwenzake ndiyo inamfanya aendelee kupiga mpunga mrefu, so mwenye nyota yake akiirudisha, mchizi chali![emoji6]
Na hizi theories zinasambaa na kuaminika kwasababu hakuna alternatives. Angalau Fred Vunjabei aliwahi kuongelea namna alivyofika alipofika na ika-make sense, vijiweni masela wakaelewa, wakaanza kuona kumbe mwana sio Mkinga Mchawi bali ni hustler [emoji1].
Madhara ya hii "mindset" ya kuamini huwezi kutajirika bila kuuza unga, au kupiga michongo, au kuwa mpigaji au kuwa na sponsor, au kuingia kwenye siasa na kula pesa za umma, au kutoa kafara n.k. ni makubwa sana. Yanafanya watu hawataki kujituma, bali wako standby kutafuta hizi shortcuts. Na huwezi kuwashauri vinginevyo, watakuuliza ni nani aliyetajirika bila shortcuts?[emoji848]
Hivi juzi juzi ndugu yetu wa damu kabisa, Benji, amefanikiwa kunasa kibunda cha Dola milioni 10! Utasikia tu mitaani theory za watu kuhusu namna alivyofanikiwa kuzipata hizo. Na I bet zitaanzia mtaa wa 'Silicon Dar'[emoji1787][emoji1787][emoji1787] (Am joking!)
BOTTOM LINE.
I wish wanaofanikiwa wangekuwa wako wazi zaidi juu ya njia walizopita mpaka kufika walipofika. Kutusimulia kwamba "Nilianza kuuza karanga, baadae nikafungua duka na saivi ninamiliki supermarket"... haitoshi. Simulizi za hivyo zinaacha maswali mengi mno! Matokeo yake, mitaani watu tunakosa real models, na hatuwezi kuwatumia real models wa ughaibuni kwasababu mazingira ni tofauti sana kwa kila namna.
I stand to be corrected. Naomba kuwasilisha.
Enheee!! Hivi vitu wanavyoruka ndo kuvipata sasa... mtiti!Kuna siku nilikaa na jamaa mmoja mmiliki wa mabus ya kwenda Mikoani nikajaribu kumdadisi juu ya utajiri kwa ujumla, majibu yake yalikuwa kama ifuatavyo, "mdogo wangu mtu akiwa anakusimulia kuhusu njia alizopitia au mambo aliyofanya mpaka kuwa tajiri, kama una akili timamu utagundua kuna vitu/points anaruka(hakwambii) siku ukifanikiwa kujua ni vitu gani hajakwambia huo ndio utajiri halisi". Mwisho wa kunukuu.
Hatari sana mzee,Enheee!! Hivi vitu wanavyoruka ndo kuvipata sasa... mtiti!