Zillion
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 1,378
- 1,866
Mtu akwambie siri ya utajiri wake ili iweje?
Kwanini? Unamlipa?
Kitu pekee unachoweza kudokezwa au kushuhudia kwa macho yako ni
"hakuna tajiri asiye mchapa kazi"
Hayo mengine amini ulichochagua kuamini.
After all Mmeshaamua kuamini utajiri ni ushirikina
Yani mtu atafute utajiri halafu bado ahangaike kujieleza kwa masikini? Nonsense!
Swali sahihi masikini wote wanapaswa kujiuliza ni
"Kwanini mimi ni masikini" na sio
"Kwanini yule ni tajiri"
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Kwanini? Unamlipa?
Kitu pekee unachoweza kudokezwa au kushuhudia kwa macho yako ni
"hakuna tajiri asiye mchapa kazi"
Hayo mengine amini ulichochagua kuamini.
After all Mmeshaamua kuamini utajiri ni ushirikina
Yani mtu atafute utajiri halafu bado ahangaike kujieleza kwa masikini? Nonsense!
Swali sahihi masikini wote wanapaswa kujiuliza ni
"Kwanini mimi ni masikini" na sio
"Kwanini yule ni tajiri"
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app