Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi
Katika kitu ambacho wasanii wanabug step ni kumshilikisha Diamond kwenye ngoma zao jamaa huwa anawafunika sana hadi wanaonekana kuwa wao ndo wameshilikishwa
Kwa mfano leo Jux kaachia album yake na kwenye album kuna ngoma kamshilisha Diamond inaitwa sugua
Jux kafunikwa utadhanI yeye ndo kashilikishwa
Wasanii muwe mnatizama sana wasanii wa kuwashilikisha
Ni hayo tu
Asanten
LONDON BOY
Katika kitu ambacho wasanii wanabug step ni kumshilikisha Diamond kwenye ngoma zao jamaa huwa anawafunika sana hadi wanaonekana kuwa wao ndo wameshilikishwa
Kwa mfano leo Jux kaachia album yake na kwenye album kuna ngoma kamshilisha Diamond inaitwa sugua
Jux kafunikwa utadhanI yeye ndo kashilikishwa
Wasanii muwe mnatizama sana wasanii wa kuwashilikisha
Ni hayo tu
Asanten
LONDON BOY