Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
Ni simple kwako ila kudanganya huwa sio poa, siku akigundua kuwa ulimdanganya majuto yatachukua nafasiNa kwanini umweleze kuwa una nyumba?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]acha kiherehere ,we mwambie hapo umepanga,na Kodi ni kiasi kadhaa,mkubaliane kama mtamudu kuilipia pamoja,ikishindikana muhame hapo,mkapange nyumba mtakayoimudu kutokana na vipato vyenu,simple as that.
Halafu ukisoma uzi unaoongelea wanawake unakuwa fala nambari moja[emoji16]Halafu wanawake ukiwaongelea wanakuona fala
Kwani mtu akiwa uchi anayedharirika ni anyeaangalia au yule mwenyewe aliye uchi.Halafu ukisoma uzi unaoongelea wanawake unakuwa fala nambari moja[emoji16]
Ni hivi, modern trends zime change dynamics za ndoa, hakuna tena communal ownership to properties, hence kila mtu ana mtegea mwenzake.Siyo hivyo mkuu, nia ya uzi huu ni kuweka sawa uwajibikaji ktk ndoa, mwanamume akiwa kama kichwa lazima apambane kiume awe na nyumba au ashirikiane na mkewe wajinyime wapate hela ya Kujenga wakiwa ktk ndoa.
Kinachopingwa ktk huu uzi ni "mwanaume kuhamia kwenye nyumba ya mwanamke" hii haifai kabisa.
Ingekuwa hivyo basi ndoa zisingelikuwepoNDOA ni aina fulan ya utumwa kwa mwanaume!
Mjinga mwenyewe
Halafu wanawake ukiwaongelea wanakuona fala
[emoji23][emoji23][emoji23]Mtu anaitwa kambi ya fisi anaanzaje? Kuwa sio fala
Uzi huu nia yake ni kuwaongezea wanawake confidence ya kuwa wachoyo na wabinafsi zaidi.
[URL
Tafuta mke kwanza ndiyo utajua wewe ni mtumwa wake!Ingekuwa hivyo basi ndoa zisingelikuwepo
Maneno kama haya "ishi na mwanamke kwa akili" yanapaswa kuzingatiwa na kila mwanaume, ni kweli imefikia wakati wanaume tunazidiwa akili na wanawake hadi wengine wanaamua kujiua kisa mwanamke, unadhani hao wanaume wana akili?Ni hivi, modern trends zime change dynamics za ndoa, hakuna tena community of ownership to properties, hence kila mtu ana mtegea mwenzake.
Now, wanawake wana play mind games, wanataka kuleta bargaining isiyo ya haki kwenye ndoa kwa visingizio vya imani potofu na hadithi za zamani zilizo tungwa kwa muktadha wa kuangalia uduni wao wakati ule.
Wanawake siyo watu duni tena sasa, na hawawezi kuendelea ku behave as such. Ndiyo maana watu conscious hawataki ndoa.
Mazingira ya ndoa za sasa yako katika misingi ya kale, ndiyo maana ndoa inaonekana ni utapeli
Majuto gani sasa?manake si mali kakukuta nayo na inajina lako,mkianza pamoja ulivyomkuta navyo mwenzio havipo kwenye umoja wenu🙏mnastart afresh kutafuta vyenu.Ni simple kwako ila kudanganya huwa sio poa, siku akigundua kuwa ulimdanganya majuto yatachukua nafasi
Tatizo hapa ni umaskini tu.Mwanamke Usiruhusu Mwanaume Kuhamia Nyumbani Kwako...
Ukiamua kuolewa usimruhusu ahamie kwako, hata kama unamiliki jumba la kifahari katika soko la juu halafu huyo jamaa anaishi katika nyumba ndogo ya kupanga, ni heri ujishushe daraja na utoke kwa jumba lako la kifahari na uhamie katika kijumba chake hicho muishi hapo hadi mnunue au mjenge nyumba yenu pamoja.
Kuna sababu tatu za kutomruhusu ahamie kwako …
1. Mwanamume anayehamia kwenye nyumba ya mwanamke hukimbia wajibu.
Kwa kawaida mwanaume anayejua wajibu wake huchukua hatua kabla ya kuoa.
Hutayarisha makao ya bibi-arusi wake kabla ya kumpata huyo bibi-arusi.
2. Ikiwa unaweza kumudu kumiliki nyumba halafu mwanaume unayeishi naye hawezi kumudu kumiliki nyumba basi yeye sio saizi yako.
Akihamia kwenye nyumba yako ipo siku mtaingia katika ligi ya kupigana juu ya nani anayedhibiti nyumba.
Hivyo achana naye mwache aende akapate mwanamke wa saizi yake.
3. Ikiwa mwanamume atahamia nyumbani kwako, matarajio yake makuu ni kulelewa na wewe, atakufanya uwe mtoaji wake kwa kila kitu. Muda si muda, hutamheshimu tena, yeye pia hata kupenda tena.
Katika dunia ya sasa wanawake hawawezi kujisalimisha kwa wanaume ambao hawatoi.
NB: ujumbe huu ni kwa wanawake wote ambao hawajaingia ktk ndoa, ila kwa wale waliopo ktk ndoa na wanaishi na hao wanaume majumbani kwao huu ujumbe hauwahusu, wakomae tu waume zao wazembe.
Unakiburi Sana! Duh yaani unaona wivu Mwaume akihamia kwa le babez wake ' inakukera nn kwani ? Au unaona atapata double double'Mwanamke Usiruhusu Mwanaume Kuhamia Nyumbani Kwako...
Ukiamua kuolewa usimruhusu ahamie kwako, hata kama unamiliki jumba la kifahari katika soko la juu halafu huyo jamaa anaishi katika nyumba ndogo ya kupanga, ni heri ujishushe daraja na utoke kwa jumba lako la kifahari na uhamie katika kijumba chake hicho muishi hapo hadi mnunue au mjenge nyumba yenu pamoja.
Kuna sababu tatu za kutomruhusu ahamie kwako …
1. Mwanamume anayehamia kwenye nyumba ya mwanamke hukimbia wajibu.
Kwa kawaida mwanaume anayejua wajibu wake huchukua hatua kabla ya kuoa.
Hutayarisha makao ya bibi-arusi wake kabla ya kumpata huyo bibi-arusi.
2. Ikiwa unaweza kumudu kumiliki nyumba halafu mwanaume unayeishi naye hawezi kumudu kumiliki nyumba basi yeye sio saizi yako.
Akihamia kwenye nyumba yako ipo siku mtaingia katika ligi ya kupigana juu ya nani anayedhibiti nyumba.
Hivyo achana naye mwache aende akapate mwanamke wa saizi yake.
3. Ikiwa mwanamume atahamia nyumbani kwako, matarajio yake makuu ni kulelewa na wewe, atakufanya uwe mtoaji wake kwa kila kitu. Muda si muda, hutamheshimu tena, yeye pia hata kupenda tena.
Katika dunia ya sasa wanawake hawawezi kujisalimisha kwa wanaume ambao hawatoi.
NB: ujumbe huu ni kwa wanawake wote ambao hawajaingia ktk ndoa, ila kwa wale waliopo ktk ndoa na wanaishi na hao wanaume majumbani kwao huu ujumbe hauwahusu, wakomae tu waume zao wazembe.
Acha kuudharirisha uanaume ndugu, mwanaume halisi mwenye akili timamu hawezi kutoa kauli kama hiyo yako.NAKAZIA
Mnafikiri sisi wa kampeni ya KATAA NDOA tulikosea hao viumbe ni wabinafsi sana