Usiruhusu mwanaume kuhamia kwenye nyumba yako uliyojenga kwa jasho lako

Usiruhusu mwanaume kuhamia kwenye nyumba yako uliyojenga kwa jasho lako

Ni hivi, wala hauhitaji akili, papuchi imekua overrated, na pengine nyege zina tu overpower.

Kuna mdau alishahoji, ni kitu gani zaidi ya papuchi ambacho wanawake wana offer kwenye mahusiano?

Sisi capitalist hatutaki set-up za kijinga kama hizo, yaani mtu akae tu, au kwasababu anatoa papuchi basi awe parasite?

Lazima wanawake watoe mchango kwenye ujenzi wa familia
Wakibeba mimba ni mchango pia bwashee
 
Ni hivi, modern trends zime change dynamics za ndoa, hakuna tena communal ownership to properties, hence kila mtu ana mtegea mwenzake.

Now, wanawake wana play mind games, wanataka kuleta bargaining isiyo ya haki kwenye ndoa kwa visingizio vya imani potofu na hadithi za zamani zilizo tungwa kwa muktadha wa kuangalia uduni wao wakati ule.

Wanawake siyo watu duni tena sasa, na hawawezi kuendelea ku behave as such. Ndiyo maana watu conscious hawataki ndoa.

Mazingira ya ndoa za sasa yako katika misingi ya kale, ndiyo maana ndoa inaonekana ni utapeli
Nakazia
 
pia mwanaume usilogwe kuwekeza chochote kwenye ardhi ya mwanamke namanisha hata tuta la mboga usisubutu kulima
Ipo siku utalainishwa hadi uwekeze apartment kwenye ardhi ya mkeo, mipango huanza asubuhi then jioni ni kufunga mahesabu
 
Mwanamke Usiruhusu Mwanaume Kuhamia Nyumbani Kwako...

Ukiamua kuolewa usimruhusu ahamie kwako, hata kama unamiliki jumba la kifahari katika soko la juu halafu huyo jamaa anaishi katika nyumba ndogo ya kupanga, ni heri ujishushe daraja na utoke kwa jumba lako la kifahari na uhamie katika kijumba chake hicho muishi hapo hadi mnunue au mjenge nyumba yenu pamoja.

Kuna sababu tatu za kutomruhusu ahamie kwako …

1. Mwanamume anayehamia kwenye nyumba ya mwanamke hukimbia wajibu.

Kwa kawaida mwanaume anayejua wajibu wake huchukua hatua kabla ya kuoa.

Hutayarisha makao ya bibi-arusi wake kabla ya kumpata huyo bibi-arusi.

2. Ikiwa unaweza kumudu kumiliki nyumba halafu mwanaume unayeishi naye hawezi kumudu kumiliki nyumba basi yeye sio saizi yako.

Akihamia kwenye nyumba yako ipo siku mtaingia katika ligi ya kupigana juu ya nani anayedhibiti nyumba.

Hivyo achana naye mwache aende akapate mwanamke wa saizi yake.

3. Ikiwa mwanamume atahamia nyumbani kwako, matarajio yake makuu ni kulelewa na wewe, atakufanya uwe mtoaji wake kwa kila kitu. Muda si muda, hutamheshimu tena, yeye pia hata kupenda tena.

Katika dunia ya sasa wanawake hawawezi kujisalimisha kwa wanaume ambao hawatoi.

NB: ujumbe huu ni kwa wanawake wote ambao hawajaingia ktk ndoa, ila kwa wale waliopo ktk ndoa na wanaishi na hao wanaume majumbani kwao huu ujumbe hauwahusu, wakomae tu waume zao wazembe.
Tuliambiwa jana kuwa mali anayochuma Mke aliye katika ndoa ni yake binafsi. Lakini Ile anayochuma Mume ni ya wote yaani ni ya familia nzima. Halafu tena wewe unaendekea kutonesha kidonda ambacho hakijapona. Ama kweli wanaume tumeumbwa kuhangaika hapa duniani, na hao tunaowahangaikia wala hawatuthamini.
 
Basi wafundishe wanao ninaamin umewaachia misingi mizuri,
Ila Hawa vijana wanaoangaika mijini hata Kodi za chumba zinawashinda waache tu!
Hawa vijana wanao hangaika mjini tutaendelea kuwakumbusha kuwa ni dhambi kuhamia kwa mwanamke
 
Back
Top Bottom