Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
- Thread starter
- #61
Kwa kukataa ndoa umeudharirishaNimeudharirishaje sasa uanaume?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kukataa ndoa umeudharirishaNimeudharirishaje sasa uanaume?
Ongeza sauti mkuu [emoji3]Hata kaka zake watatamba ni nyumba ya dada. Nyumba ipangishwe au iuzwe ili mkaanze makao mapya baba ukiwa kichwa cha nyumba. Kuhamia kwa mwanamke ni "umarioo".
Basi wafundishe wanao ninaamin umewaachia misingi mizuri,Ninaye mke, huu ni mwaka wa 26 sasa nipo naye ktk ndoa na sijauona utumwa wowote.
Uzi wa kidada husomwa na akina dada aizin, karibu sana dada angu keti nikupatie kinywaji gani dada ake [emoji16]
Wakibeba mimba ni mchango pia bwasheeNi hivi, wala hauhitaji akili, papuchi imekua overrated, na pengine nyege zina tu overpower.
Kuna mdau alishahoji, ni kitu gani zaidi ya papuchi ambacho wanawake wana offer kwenye mahusiano?
Sisi capitalist hatutaki set-up za kijinga kama hizo, yaani mtu akae tu, au kwasababu anatoa papuchi basi awe parasite?
Lazima wanawake watoe mchango kwenye ujenzi wa familia
Mimba ata simba jike wanabeba na bado wanawinda, huu ujinga wa kuwalegeza wanawake na kuwa pet tumeutoa wapi, ata wanyama hawafanyi hivyoWakibeba mimba ni mchango pia bwashee
NakaziaNi hivi, modern trends zime change dynamics za ndoa, hakuna tena communal ownership to properties, hence kila mtu ana mtegea mwenzake.
Now, wanawake wana play mind games, wanataka kuleta bargaining isiyo ya haki kwenye ndoa kwa visingizio vya imani potofu na hadithi za zamani zilizo tungwa kwa muktadha wa kuangalia uduni wao wakati ule.
Wanawake siyo watu duni tena sasa, na hawawezi kuendelea ku behave as such. Ndiyo maana watu conscious hawataki ndoa.
Mazingira ya ndoa za sasa yako katika misingi ya kale, ndiyo maana ndoa inaonekana ni utapeli
Ipo siku utalainishwa hadi uwekeze apartment kwenye ardhi ya mkeo, mipango huanza asubuhi then jioni ni kufunga mahesabupia mwanaume usilogwe kuwekeza chochote kwenye ardhi ya mwanamke namanisha hata tuta la mboga usisubutu kulima
Tuliambiwa jana kuwa mali anayochuma Mke aliye katika ndoa ni yake binafsi. Lakini Ile anayochuma Mume ni ya wote yaani ni ya familia nzima. Halafu tena wewe unaendekea kutonesha kidonda ambacho hakijapona. Ama kweli wanaume tumeumbwa kuhangaika hapa duniani, na hao tunaowahangaikia wala hawatuthamini.Mwanamke Usiruhusu Mwanaume Kuhamia Nyumbani Kwako...
Ukiamua kuolewa usimruhusu ahamie kwako, hata kama unamiliki jumba la kifahari katika soko la juu halafu huyo jamaa anaishi katika nyumba ndogo ya kupanga, ni heri ujishushe daraja na utoke kwa jumba lako la kifahari na uhamie katika kijumba chake hicho muishi hapo hadi mnunue au mjenge nyumba yenu pamoja.
Kuna sababu tatu za kutomruhusu ahamie kwako …
1. Mwanamume anayehamia kwenye nyumba ya mwanamke hukimbia wajibu.
Kwa kawaida mwanaume anayejua wajibu wake huchukua hatua kabla ya kuoa.
Hutayarisha makao ya bibi-arusi wake kabla ya kumpata huyo bibi-arusi.
2. Ikiwa unaweza kumudu kumiliki nyumba halafu mwanaume unayeishi naye hawezi kumudu kumiliki nyumba basi yeye sio saizi yako.
Akihamia kwenye nyumba yako ipo siku mtaingia katika ligi ya kupigana juu ya nani anayedhibiti nyumba.
Hivyo achana naye mwache aende akapate mwanamke wa saizi yake.
3. Ikiwa mwanamume atahamia nyumbani kwako, matarajio yake makuu ni kulelewa na wewe, atakufanya uwe mtoaji wake kwa kila kitu. Muda si muda, hutamheshimu tena, yeye pia hata kupenda tena.
Katika dunia ya sasa wanawake hawawezi kujisalimisha kwa wanaume ambao hawatoi.
NB: ujumbe huu ni kwa wanawake wote ambao hawajaingia ktk ndoa, ila kwa wale waliopo ktk ndoa na wanaishi na hao wanaume majumbani kwao huu ujumbe hauwahusu, wakomae tu waume zao wazembe.
Hawa vijana wanao hangaika mjini tutaendelea kuwakumbusha kuwa ni dhambi kuhamia kwa mwanamkeBasi wafundishe wanao ninaamin umewaachia misingi mizuri,
Ila Hawa vijana wanaoangaika mijini hata Kodi za chumba zinawashinda waache tu!
Unaonekana upo na hamu kuwa ya kuolewa gay [emoji16]Unasapoti ushoga tunajua- kambi ya fisi acha udada au kidemu wewe sema tujue dp inatuchanganya hiyo
Mm Sio marioo Ebo!! Ila tu Mambo ya watu yanakutia wivu wa nn Sasa?Mario yeyote hawezi penda hii thread [emoji23][emoji23]
Hata wanawake wanaowinda wapo kibao, Nandy ni mfano tu wa hao wanawakeMimba ata simba jike wanabeba na bado wanawinda, huu ujinga wa kuwalegeza wanawake na kuwa pet tumeutoa wapi, ata wanyama hawafanyi hivyo
Niifute uzi au kinyeo chako gay ?Uzi wa kishoga huo ufute
Kamtongoze anko wako kama umekosa bwana hapa [emoji16]Tutakutongoza wewe kambi ya fisi- wewe tengeneza mazingira tu ya kujifanya wa kike