Usiruhusu mwanaume kuhamia kwenye nyumba yako uliyojenga kwa jasho lako

Usiruhusu mwanaume kuhamia kwenye nyumba yako uliyojenga kwa jasho lako

Mwanamke Usiruhusu Mwanaume Kuhamia Nyumbani Kwako...

Ukiamua kuolewa usimruhusu ahamie kwako, hata kama unamiliki jumba la kifahari katika soko la juu halafu huyo jamaa anaishi katika nyumba ndogo ya kupanga, ni heri ujishushe daraja na utoke kwa jumba lako la kifahari na uhamie katika kijumba chake hicho muishi hapo hadi mnunue au mjenge nyumba yenu pamoja.

Kuna sababu tatu za kutomruhusu ahamie kwako …

1. Mwanamume anayehamia kwenye nyumba ya mwanamke hukimbia wajibu.

Kwa kawaida mwanaume anayejua wajibu wake huchukua hatua kabla ya kuoa.

Hutayarisha makao ya bibi-arusi wake kabla ya kumpata huyo bibi-arusi.

2. Ikiwa unaweza kumudu kumiliki nyumba halafu mwanaume unayeishi naye hawezi kumudu kumiliki nyumba basi yeye sio saizi yako.

Akihamia kwenye nyumba yako ipo siku mtaingia katika ligi ya kupigana juu ya nani anayedhibiti nyumba.

Hivyo achana naye mwache aende akapate mwanamke wa saizi yake.

3. Ikiwa mwanamume atahamia nyumbani kwako, matarajio yake makuu ni kulelewa na wewe, atakufanya uwe mtoaji wake kwa kila kitu. Muda si muda, hutamheshimu tena, yeye pia hata kupenda tena.

Katika dunia ya sasa wanawake hawawezi kujisalimisha kwa wanaume ambao hawatoi.

NB: ujumbe huu ni kwa wanawake wote ambao hawajaingia ktk ndoa, ila kwa wale waliopo ktk ndoa na wanaishi na hao wanaume majumbani kwao huu ujumbe hauwahusu, wakomae tu waume zao wazembe.
Shida ni kudhani ndoa ni jambo la Kufa na Kuzikana. Tena wa kwanza Kufa ni mwanaume.

Ni hivi, ndoa yaweza kudumu dakika moja Hadi miaka 100 hadi lifetime. Maana yake maisha ya ndoa yaweza kuwa mafupi ama marefu.

Wana ndoa wachague wenyewe ustawi wa ndoa yao. Maana ndoa haina kocha, wala meneja, wala mwalimu.
 
Maneno kama haya "ishi na mwanamke kwa akili" yanapaswa kuzingatiwa na kila mwanaume, ni kweli imefikia wakati wanaume tunazidiwa akili na wanawake hadi wengine wanaamua kujiua kisa mwanamke, unadhani hao wanaume wana akili?

Mwanaume akipungukiwa akili hawezi kuishi na mwanamke, wanaume hao ndio wale wanaobweka hapa kila uchwao wakisema kataa ndoa [emoji23][emoji23]

Hivi sasa tunajidharirisha wenyewe kwa kukosa kutumia akili ya kumhandle mwanamke
Ni hivi, wala hauhitaji akili, papuchi imekua overrated, na pengine nyege zina tu overpower.

Kuna mdau alishahoji, ni kitu gani zaidi ya papuchi ambacho wanawake wana offer kwenye mahusiano?

Sisi capitalist hatutaki set-up za kijinga kama hizo, yaani mtu akae tu, au kwasababu anatoa papuchi basi awe parasite?

Lazima wanawake watoe mchango kwenye ujenzi wa familia
 
Majuto gani sasa?manake si mali kakukuta nayo na inajina lako,mkianza pamoja ulivyomkuta navyo mwenzio havipo kwenye umoja wenu[emoji120]mnastart afresh kutafuta vyenu.
Kule kustart pamoja kutakwenda pamoja ukiwa unaishi ktk nyumba hata kama ya kupanga ni poa tu then mtaendela kukusanya nguvu ili mjenge nyumba yenu mkiwa bwana na bibi.

Usithubutu kuleta ujanja wa kumlipisha kodi mwanaume kwenye nyumba yako, hapo ndipo niliposema majuto yatachukua nafasi iwapo utatumia ulaghai halafu mzee baba akastukia huo mchezo
 
Shida ni kudhani ndoa ni jambo la Kufa na Kuzikana. Tena wa kwanza Kufa ni mwanaume.

Ni hivi, ndoa yaweza kudumu dakika moja Hadi miaka 100 hadi lifetime. Maana yake maisha ya ndoa yaweza kuwa mafupi ama marefu.

Wana ndoa wachague wenyewe ustawi wa ndoa yao. Maana ndoa haina kocha, wala meneja, wala mwalimu.
Ahahaaa sawa bosi
 
Ila mwanaume akiwa na jumba kubwa mnashoboka na wala hatuwajaji kuwa umefuata jumba.KWELI NIMEAMINI WANAWAKE WEUSI NO WACHAWI
Ni wajibu umpeleke kwa jumba lako huyo mkeo maadam ni wewe uliyemtafuta na ukamlipia mahali na ukakabidhiwa mke.

Mali yako ni yake [emoji23]
 
Back
Top Bottom