Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
- Thread starter
- #41
Ninaye mke, huu ni mwaka wa 26 sasa nipo naye ktk ndoa na sijauona utumwa wowote.Tafuta mke kwanza ndiyo utajua wewe ni mtumwa wake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninaye mke, huu ni mwaka wa 26 sasa nipo naye ktk ndoa na sijauona utumwa wowote.Tafuta mke kwanza ndiyo utajua wewe ni mtumwa wake!
Shida ni kudhani ndoa ni jambo la Kufa na Kuzikana. Tena wa kwanza Kufa ni mwanaume.Mwanamke Usiruhusu Mwanaume Kuhamia Nyumbani Kwako...
Ukiamua kuolewa usimruhusu ahamie kwako, hata kama unamiliki jumba la kifahari katika soko la juu halafu huyo jamaa anaishi katika nyumba ndogo ya kupanga, ni heri ujishushe daraja na utoke kwa jumba lako la kifahari na uhamie katika kijumba chake hicho muishi hapo hadi mnunue au mjenge nyumba yenu pamoja.
Kuna sababu tatu za kutomruhusu ahamie kwako …
1. Mwanamume anayehamia kwenye nyumba ya mwanamke hukimbia wajibu.
Kwa kawaida mwanaume anayejua wajibu wake huchukua hatua kabla ya kuoa.
Hutayarisha makao ya bibi-arusi wake kabla ya kumpata huyo bibi-arusi.
2. Ikiwa unaweza kumudu kumiliki nyumba halafu mwanaume unayeishi naye hawezi kumudu kumiliki nyumba basi yeye sio saizi yako.
Akihamia kwenye nyumba yako ipo siku mtaingia katika ligi ya kupigana juu ya nani anayedhibiti nyumba.
Hivyo achana naye mwache aende akapate mwanamke wa saizi yake.
3. Ikiwa mwanamume atahamia nyumbani kwako, matarajio yake makuu ni kulelewa na wewe, atakufanya uwe mtoaji wake kwa kila kitu. Muda si muda, hutamheshimu tena, yeye pia hata kupenda tena.
Katika dunia ya sasa wanawake hawawezi kujisalimisha kwa wanaume ambao hawatoi.
NB: ujumbe huu ni kwa wanawake wote ambao hawajaingia ktk ndoa, ila kwa wale waliopo ktk ndoa na wanaishi na hao wanaume majumbani kwao huu ujumbe hauwahusu, wakomae tu waume zao wazembe.
Na mwingine anaitwa aizn, hata yeye ni fala tu [emoji23][emoji23]Mtu anaitwa kambi ya fisi anaanzaje? Kuwa sio fala
Na mwingine anaitwa aizn, hata yeye ni fala tu [emoji23][emoji23]
Ni mwingi mpaka una mwagikaWakati uchoyo walio nao unawatosha kabisa
Tatizo lako umejaa uzuzu mwingi kichwani, ungeanza wewe kubadili jina ili uwe na akili timamu [emoji3][emoji3]Badili jina hilo acha uchangudoa
Nimeudharirishaje sasa uanaume?Acha kuudharirisha uanaume ndugu, mwanaume halisi mwenye akili timamu hawezi kutoa kauli kama hiyo yako.
Ni hivi, wala hauhitaji akili, papuchi imekua overrated, na pengine nyege zina tu overpower.Maneno kama haya "ishi na mwanamke kwa akili" yanapaswa kuzingatiwa na kila mwanaume, ni kweli imefikia wakati wanaume tunazidiwa akili na wanawake hadi wengine wanaamua kujiua kisa mwanamke, unadhani hao wanaume wana akili?
Mwanaume akipungukiwa akili hawezi kuishi na mwanamke, wanaume hao ndio wale wanaobweka hapa kila uchwao wakisema kataa ndoa [emoji23][emoji23]
Hivi sasa tunajidharirisha wenyewe kwa kukosa kutumia akili ya kumhandle mwanamke
Kule kustart pamoja kutakwenda pamoja ukiwa unaishi ktk nyumba hata kama ya kupanga ni poa tu then mtaendela kukusanya nguvu ili mjenge nyumba yenu mkiwa bwana na bibi.Majuto gani sasa?manake si mali kakukuta nayo na inajina lako,mkianza pamoja ulivyomkuta navyo mwenzio havipo kwenye umoja wenu[emoji120]mnastart afresh kutafuta vyenu.
Mario yeyote hawezi penda hii thread [emoji23][emoji23]Unakiburi Sana! Duh yaani unaona wivu Mwaume akihamia kwa le babez wake ' inakukera nn kwani ? Au unaona atapata double double'
Okay le babez Ni kauli za le mutuzz.
Tatizo lako umejaa uzuzu mwingi kichwani, ungeanza wewe kubadili jina ili uwe na akili timamu [emoji3][emoji3]
Hata idadi ya wakazi imeongezeka so ni muhimu kuongeza miongozo piaMiongozo ni mingi sana
Hii ni methali?Mwanaume tajiri anampenda na kumuoa mwanamke maskini....
Ila mwanamke tajiri humchukia mwanaume maskin
Ahahaaa sawa bosiShida ni kudhani ndoa ni jambo la Kufa na Kuzikana. Tena wa kwanza Kufa ni mwanaume.
Ni hivi, ndoa yaweza kudumu dakika moja Hadi miaka 100 hadi lifetime. Maana yake maisha ya ndoa yaweza kuwa mafupi ama marefu.
Wana ndoa wachague wenyewe ustawi wa ndoa yao. Maana ndoa haina kocha, wala meneja, wala mwalimu.
Ni wajibu umpeleke kwa jumba lako huyo mkeo maadam ni wewe uliyemtafuta na ukamlipia mahali na ukakabidhiwa mke.Ila mwanaume akiwa na jumba kubwa mnashoboka na wala hatuwajaji kuwa umefuata jumba.KWELI NIMEAMINI WANAWAKE WEUSI NO WACHAWI
Uzi wa kidada husomwa na akina dada aizin, karibu sana dada angu keti nikupatie kinywaji gani dada ake [emoji16]Uzi wa kidada huo au mdada wewe... jikaze wewe