Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
PK.If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their mind...☹️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PK.If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their mind...☹️
Matatizo ya afya ya akili.Kwanini Uliamua kuzaa uzeeni mkuu
47 ndo ukapata first born??
Yote kwa yote sali sana,fanya mazoezi na utunze afya yako🙏🙏🙏
Mwanasheria wako yupo available?If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their mind...☹️
NAKAZIAKatika vitu hutakiwi kuvifanya ni kusamehe mwanamke msaliti,
Ndio tumeshajua sasa...Umemwaga mchele kidogo kwenye kuku wengi....Hamna binadamu Mwenye ubavu wa kusamehe usaliti, Kwa hofu ya kuanza upya wanawake tunajifanya tumesamehe huku tunalipa kisasi kimya kimya......hutojua mpaka unakufa.
Kupata ushahidi utasubiri sana.Ndio tumeshajua sasa...Umemwaga mchele kidogo kwenye kuku wengi....
Ndio mkuu, anaitwa Abuduli...🤣Mwanasheria wako yupo available?
MBONA mimi nimezaliwa baba yangu akiwa na umri huoKwanini Uliamua kuzaa uzeeni mkuu
47 ndo ukapata first born??
Yote kwa yote sali sana,fanya mazoezi na utunze afya yako🙏🙏🙏
Uwe makini 😂Ndio mkuu, anaitwa Abuduli...🤣
Sasa ukishindwa utaweza mvumilia.Unajua kuacha pia ni process. Mazoea yanaumiza sana. Kuacha expectations zako zisiwe reality inakuwaga ngumu sana.
Broo,Hata Mungu hataki huo ujinga na haupo kwenye Saba mara sabini 🤣🤣
Imeandikwa
"Msiachane isipokuwa Kwa habari ya uzinzi"
samehe saba mara sabiniKuna mwana, alizifuma text za mke wake zilizoonesha dhahiri shahiri ametoka kuliwa dodo siku za karibuni nyumba ya wageni, mwana kaomba kila mtu ushauri wengi walimpa ushauri kuwa asamehe walee watoto hayo mambo yapo blaa blaaa kibao.
Alipo fika kwangu sikua na maneno mengi nikamwambia piga chini vuta chuma kingine kama huwezi kukaa single, kama unaweza kaa mwenyewe tafuta pesa enjoy life.
Akaniona fala,
Akaenda wakasameheana life likaendelea.
Kumbe Dem Bado anapigwa miti tena sio na mchizi mmoja wapo karibu watatu tofauti 🤣🤣
Kaja kujua, mwana saizi yupo ICU ana kifafa 🤣🤣
Katika vitu hutakiwi kuvifanya ni kusamehe mwanamke msaliti, Bora ukatwe korodani but don't do that
Hata Mungu hataki huo ujinga na haupo kwenye Saba mara sabini 🤣🤣
Imeandikwa
"Msiachane isipokuwa Kwa habari ya uzinzi"