Nelson Mwombeki
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 2,933
- 3,397
Km nnazo natumia, sio kosa la jinaiHela ndogo? Kwako wewe kutumia 2.5m kwenye bar usiku mmoja ni ndogo? Hongera mkuu.
Hongera.
Swadakta...Hata niwe na billion 100 mi hizo sehemu sipendi kwenda kwakweli labda niwe na demu wangu amelilia najua akijitahidi kanywa Heineken 6 .. Mimi ni Mzee wa bar .. Muhudumu kumshika matakp na vituko vingine bia 1500 bei elekezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani dada nimeipenda avatar yako[emoji8]Mm huwa nasema "Mimi masikini" baaasi.
Mfyuuuu[emoji23][emoji57]
Avatar nzuri ingawa umeziba suraMm huwa nasema "Mimi masikini" baaasi.
Kumbe nawe umeona eeh ,halafu huu mtindo umeingia wa kuziba USO kuachia kwingine
Ni ugali kitimoto ila inakuwa kwenye umbo la ngalawa walaji mnakula mkiwa ndani.
[emoji13][emoji13][emoji13]sura hukuikariri bado??Avatar nzuri ingawa umeziba sura
[emoji767]101-03-821.M|T|C
Hahaha, bado ila umbo si mchezo,Mmmh haya bana[emoji13][emoji13][emoji13]sura hukuikariri bado??
Daah! Hiko kinywaji kimenikumbusha mbali sana
Ukishika hela utaanza tu kutafuta sehemu za bei mbaya kuzitumbua. Hii inakuja natural ukiwa na kibunda mfukoniHata niwe na billion 100 mi hizo sehemu sipendi kwenda kwakweli labda niwe na demu wangu amelilia najua akijitahidi kanywa Heineken 6 .. Mimi ni Mzee wa bar .. Muhudumu kumshika matakp na vituko vingine bia 1500 bei elekezi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwl jamii kuna mamboNi ugali kitimoto ila inakuwa kwenye umbo la ngalawa walaji mnakula mkiwa ndani.