Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #21
Mkuu mi huwa nawaona watuπππ€£π€£π€£π€£π€£
Sauti na harufu wapi na wapi?!!!!!!!
π€£π€£π€£ kama vii tupite na hiyo ndinga yake anajitajirisha badala ya kutajirisha chamaOyaaa Mzee wa kupambania lazima tumshughulikie huyu dogoππ. Ana jitajirisha mwenyeweπ
Nani kasema wee πWe mdada usiye penda pesa, Mamboπ€
National Anthem sisi ni wageni wakoo leoπππ€£π€£π€£ kama vii tupite na hiyo ndinga yake anajitajirisha badala ya kutajirisha chama
Mbona umeshituka Kama umesikia una daiwa vikoba ππNani kasema wee π
Kiumbe kinachopumua Hela ni muhimuπππMbona umeshituka Kama umesikia una daiwa vikoba ππ
Atajisachi hadi mifukoni leo π€£National Anthem sisi ni wageni wakoo leoππ
Mada imemgusaMbona umekasirika mkuu?Bado 1-2.
na hii ya kila kituo cha mafuta ya motokaa kuita SHELI je!!!Karibu Tanzania ππ
-Kila dawa ya meno tunaiita COLGATE
hatujali
π ndio tupo hivyo!!
-Kila sabuni tunaiita OMO
ndio tulivyo ππ
-Tunahodisha kwa mkono na mdomo mda huo "koh koh koh" kuna mtu?
ee ndio utanzania
tutafanyaje? π
-Tanesco wakizima umeme tunatoka nje kuangalia kama ni kote au LA ππ
ndio hivi tulivyo ππ
-Dah tunatumia sabuni kuogea hadi inakua kama line ya simu πππ₯±π₯±π₯±
wala hatujali !!
-Tunanunua kitu, hatusomi maelekezo, tunauliza majirani unatumiaje?
ππ ee ndo sisi unakataa au
-Tunatoa pesa ATM kisha tunazihesabu kabla ya kuondoka ππ
-Hatumuamini mtu yeyote π hata mashine iliyotengenezwa na mtu πππππππ€£π€£
Ndo asili yetu
-Tuna lock gari kisha tunajaribu kuifungua mara mbili tuone kama inafunguka au LA π€£π€£π hapa tumezidi
-Tunapunguza sauti ili tu tusikilize kipi kinachonukia π€£π€£π€£π this is us π€£π€£π€£
Niambie umeguswa na ipi? π
πI mean no malice to nobody
View attachment 2638305
Jamaa ana hasiraa Kama deni la taiga ni lakeππMada imemgusa
Nishaiweka tayarina hii ya kila kituo cha mafuta ya motokaa kuita SHELI je!!!