Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #21
Mkuu mi huwa nawaona watu😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
Sauti na harufu wapi na wapi?!!!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mi huwa nawaona watu😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
Sauti na harufu wapi na wapi?!!!!!!!
🤣🤣🤣 kama vii tupite na hiyo ndinga yake anajitajirisha badala ya kutajirisha chamaOyaaa Mzee wa kupambania lazima tumshughulikie huyu dogo😂😂. Ana jitajirisha mwenyewe😂
Nani kasema wee 😀We mdada usiye penda pesa, Mambo🤗
National Anthem sisi ni wageni wakoo leo😂😂🤣🤣🤣 kama vii tupite na hiyo ndinga yake anajitajirisha badala ya kutajirisha chama
Mbona umeshituka Kama umesikia una daiwa vikoba 😂😂Nani kasema wee 😀
Kiumbe kinachopumua Hela ni muhimu😂😂😂Mbona umeshituka Kama umesikia una daiwa vikoba 😂😂
Atajisachi hadi mifukoni leo 🤣National Anthem sisi ni wageni wakoo leo😂😂
Mada imemgusaMbona umekasirika mkuu?Bado 1-2.
na hii ya kila kituo cha mafuta ya motokaa kuita SHELI je!!!Karibu Tanzania 😂😂
-Kila dawa ya meno tunaiita COLGATE
hatujali
😂 ndio tupo hivyo!!
-Kila sabuni tunaiita OMO
ndio tulivyo 😂😂
-Tunahodisha kwa mkono na mdomo mda huo "koh koh koh" kuna mtu?
ee ndio utanzania
tutafanyaje? 😂
-Tanesco wakizima umeme tunatoka nje kuangalia kama ni kote au LA 😂😂
ndio hivi tulivyo 😂😂
-Dah tunatumia sabuni kuogea hadi inakua kama line ya simu 😂😂🥱🥱🥱
wala hatujali !!
-Tunanunua kitu, hatusomi maelekezo, tunauliza majirani unatumiaje?
😂😂 ee ndo sisi unakataa au
-Tunatoa pesa ATM kisha tunazihesabu kabla ya kuondoka 😂😂
-Hatumuamini mtu yeyote 😂 hata mashine iliyotengenezwa na mtu 😂😂😂😄😄😄🤣🤣
Ndo asili yetu
-Tuna lock gari kisha tunajaribu kuifungua mara mbili tuone kama inafunguka au LA 🤣🤣😂 hapa tumezidi
-Tunapunguza sauti ili tu tusikilize kipi kinachonukia 🤣🤣🤣😂 this is us 🤣🤣🤣
Niambie umeguswa na ipi? 😂
👉I mean no malice to nobody
View attachment 2638305
Jamaa ana hasiraa Kama deni la taiga ni lake😂😂Mada imemgusa
Nishaiweka tayarina hii ya kila kituo cha mafuta ya motokaa kuita SHELI je!!!