Usisome kozi ya clinical medicine (clinical officer) kabla ya kusoma thread hii

Usisome kozi ya clinical medicine (clinical officer) kabla ya kusoma thread hii

Sijui kama kuna course yoyote ya afya unaweza kusoma bila pass za Phy,Chem, maths na Biol?
Na maaninish kupata udahili wa degree ikiwa mtu kutokea diploma ana GPA ya 4.8 from CO kwenda Kusoma MD huwa wanazingatia vigezo vya form four?
 
Na maaninish kupata udahili wa degree ikiwa mtu kutokea diploma ana GPA ya 4.8 from CO kwenda Kusoma MD huwa wanazingatia vigezo vya form four?
Waombaji wakiwa wengi zaidi ya nafasi, Ufaulu wa Kidato cha nne huwa moja ya kigezo.
Nafikiri kwa mazingira ya kawaida, mwanafunzi aliyefaulu Phy, Chem, Biol na Maths lazima atapata angalau Div 3 ambayo sio pass mbaya
 
Waombaji wakiwa wengi zaidi ya nafasi, Ufaulu wa Kidato cha nne huwa moja ya kigezo.
Nafikizi kwa mazingira ya kawaida, mwanafunzi aliyefaulu Phy, Chem, Biol na Maths lazima atapata angalau Div 3 ambayo sio pass mbaya
Hivo inawezakna mtu kupata admission ya kusoma MD kwenye vyuo vya priavate kwa kigezo cha GPA huku akiwa na shida ya math at o-level
 
Hivo inawezakna mtu kupata admission ya kusoma MD kwenye vyuo vya priavate kwa kigezo cha GPA huku akiwa na shida ya math at o-level
Nijuavyo ili usome MD ni lazima uwe na sifa moja kati ya hizi mbili;
1. uwe umefaulu PCB - A level (PCB kwa kawaida huwa inahitaji pass ya Hesabu ili uweze kusoma)
2. Uwe umefaulu Diploma ya clinical medicine ambayo pia inahitaji pass ya hesabu (wakati wa kujiunga)
Sasa sijui unaongelea GPA ya Course gani ambayo haina hesabu
Haijalishi unasoma serikalini au private Ili mradi unasoma Tanzania hivyo ndio vigezo....

Kama wewe ni mwanafunzi google prospectus ya chuo chochote kinachotoa MD, soma huko utaona kila kinachotakiwa.
 
Nijuavyo ili usome MD ni lazima uwe na sifa moja kati ya hizi mbili;
1. uwe umefaulu PCB - A level (PCB kwa kawaida huwa inahitaji pass ya Hesabu ili uweze kusoma)
2. Uwe umefaulu Diploma ya clinical medicine ambayo pia inahitaji pass ya hesabu (wakati wa kujiunga)
Sasa sijui unaongelea GPA ya Course gani ambayo haina hesabu
Haijalishi unasoma serikalini au private Ili mradi unasoma Tanzania hivyo ndio vigezo....

Kama wewe ni mwanafunzi google prospectus ya chuo chochote kinachotoa MD, soma huko utaona kila kinachotakiwa.
Kuna baadhi ya vyuo huwa wanadahili kwa kigezo cha phy, chem, bios huku math na english ikiwa ni sifa za nyongeza ishu inakuja unapotaka kujiendeleza kielimu tcu huwa wanataka kigezo cha diploma kuanzia tatu na nyongeza mtu anabidu awe na sifa za ufaulu wa masomo yote hayo kwa kigezo cha D
 
Kuna baadhi ya vyuo huwa wanadahili kwa kigezo cha phy, chem, bios huku math na english ikiwa ni sifa za nyongeza ishu inakuja unapotaka kujiendeleza kielimu tcu huwa wanataka kigezo cha diploma kuanzia tatu na nyongeza mtu anabidu awe na sifa za ufaulu wa masomo yote hayo kwa kigezo cha D
Yaani kuna chuo kina dahili Clinical medicine bila ufaulu wa hesabu? hicho kitakuwa ni chuo feki
 
Naomba kujua,hivi CO ni kozi yakujiandaa kusomea udaktari?,na je anayesomea udaktari lazima asome kozi hiyo?,asanti
 
Back
Top Bottom