Usisome kozi ya clinical medicine (clinical officer) kabla ya kusoma thread hii

Usisome kozi ya clinical medicine (clinical officer) kabla ya kusoma thread hii

Mimi ni clinical officer nmehitimu 2019 nashukuru mungu nmepata ajira serikalini mwaka 2023. Thread yangu haisemi watu wasisome clinical medicine bali imejikita kuelezea chungu na tamu za kada hiyo ili kila anekuja ajue kabisa ana malengo gani aidha kujiendeleza kielimu au kupata ajira na je njia anayotaka kupita kama itamfikisha? Mfano mm binafsi lengo langu la kwanza halikua ajira ilikua kuendelea na bachelor degree ya udaktari (MD) na nilipata GPA ya 4.5. na niliomba vyuo nikapata vya private lkn hata sikukanyanga kwa ajiri ya ukubwa wa adda zao, na kwa GPA hyo nmeshndwa kabisa kupata chuo cha serikali hvo nkasota mtaani, ajira kwenye private sector lkn mshahara kama nlivosema 200k (hii yote sababu tupo wengi mno) ni ushaur tu kwa vijana kila mtu ana hatma yake ... Nlkua nikiomba sana ajira za tamisemi since 2020 lkn hola Mwenyezi mungu akabariki nikapata kupitia utumishi ambapo unafanya interview kupata ajira na niliopata nao ajira wapo waliokua wamehitimu mwaka 2022 kwaio kila mtu na bahati yake na Lengo langu watu wawe na taarifa muhimu juu ya maswali wanajiuliza kuhusu kada hii kiujumla
Msaada maswali ya interview Huwa ni yapi Kwa oral na written ni short answers au essay?
 
Mimi ni clinical officer nmehitimu 2019 nashukuru mungu nmepata ajira serikalini mwaka 2023. Thread yangu haisemi watu wasisome clinical medicine bali imejikita kuelezea chungu na tamu za kada hiyo ili kila anekuja ajue kabisa ana malengo gani aidha kujiendeleza kielimu au kupata ajira na je njia anayotaka kupita kama itamfikisha? Mfano mm binafsi lengo langu la kwanza halikua ajira ilikua kuendelea na bachelor degree ya udaktari (MD) na nilipata GPA ya 4.5. na niliomba vyuo nikapata vya private lkn hata sikukanyanga kwa ajiri ya ukubwa wa adda zao, na kwa GPA hyo nmeshndwa kabisa kupata chuo cha serikali hvo nkasota mtaani, ajira kwenye private sector lkn mshahara kama nlivosema 200k (hii yote sababu tupo wengi mno) ni ushaur tu kwa vijana kila mtu ana hatma yake ... Nlkua nikiomba sana ajira za tamisemi since 2020 lkn hola Mwenyezi mungu akabariki nikapata kupitia utumishi ambapo unafanya interview kupata ajira na niliopata nao ajira wapo waliokua wamehitimu mwaka 2022 kwaio kila mtu na bahati yake na Lengo langu watu wawe na taarifa muhimu juu ya maswali wanajiuliza kuhusu kada hii kiujumla
Maswali ya interview Huwa ni yapi
 
Ka
Kijana uliemaliza kidato cha nne au cha sita.. kabla ya kufanya maamuzi ya kusoma Diploma in clinical medicine yajue haya.

Clinical medicine ni kozi ya diploma ya utabibu (udaktari) ukisoma hii kozi utaweza kutibu baadhi ya magonjwa na kufanya upasuaji mdogo mdogo, kozi hii ni ya miaka mi 3. Kozi hii kwasasa inatolewa na vyuo zaidi ya 82 nchini.

Malengo makubwa mawili huwa yanafanya watu kusoma clinical medicine aidha kupata ajira wakiamini kua afya ina ajira nyingi na pili kujiendeleza kusoma udaktari wa binadamu (kwa ukubwa) au kozi zingine.

Hivi vyuo 82 vimekua viki dahili wanafunzi zaid ya 50 vingine 100 mpk 150 kwa mwaka. Sasa tuchukulie katika kila chuo kati ya hvyo 82 wahitimu clinical officers 50 (wastani) ina maana ni zaidi ya clinical officers 4100 wanazalishwa kila mwaka.
Kwa malengo ya kupata ajira za serikalini, serikali haijawahi kuajiri zaid ya clinical officer 2500 kwa mwaka tangu 2020 na kila mwaka idadi ya kuwaajir clinical officer inazid kushuka.

Kwa lengo la kusoma udaktari kwa ngazi ya digrii .. kwanza watambue vyuo vinavyoa digrii ya udaktar hapa nchini vipo 11. Na kila chuo kina idadi maalumu ya watahiniwa kutoka clinical medicine watakao jiunga. Vyuo hivo vya serikali ni vi nne 1.Muhas 2.Udom 3.Udsm- mchas mbeya 4. Suza zanzibar hivi vya serikali ada ni nafuu 1.8 million mpk 3.1 million (kwa suza). Nafac kwenye hivi vyuo zina badirika kutokana na mwaka husika (TCU guide book huonesha number of sits) lakin hazi zidi nafasi 70 kwa vyuo vyote kwa ujumla. Kwa hiyo ww clinical officer ulihitim jua kua unagombania nafasi zisizo zidi 70 kupata nafasi ya kusoma udaktari kwenye chuo cha serikali ... Hapa lazima ume na GPA kuanzia 4.8 mpaka 5.0 na matokeo ya kidato cha nne yawe mazuri kupata nafasi.

Vyuo vya private na ada zake kwenye mabano 1.Sfuchas ifakara (4.5 million) 2.St joseph boko (6.1 million) 3. Mwanza university (6.7 million) 4.Bugando (5.4 million) 5. Kcmuco (5.4 million) 6.kampala (6.7 million) 7.habert kairuki(6.7 million) . Huku kwa ujumla nafasi hufika mpka 200 kutegemeana na mwaka (TCU guide book number of sits) kwaio kwa upande wa private jua unagombania nafasi 200 au pungufu na clinical officer wenzio kupata nafac ya kusoma udaktari lkn Ada huku ndo kikwazo kingine kwa watoto wa maskini. KWA UJUMLA KWA SASA NAFASI ZA CLINICAL OFFICER KUSOMA MD HAPA NCHINI HAZIFIKI 300.

Habar njema ni kua kuna kozi zingine kama 15 hutegemeana na guidebook ya mwaka husika 1. Clinical nutrition Udom 2. Health information sciences Udom 3. Bsc general nutrition open university 4. Bsc human nutrition SUA 5. Law moshi ushirika 6. Microbiology udsm 7. Biotechnology udsm 8.sociology 9.health management systems mzumbe 10. Family and consumer science SUA 11.physiotherapy 12.public health Zanzibar 13. Counseling and psychology 14. Dental surgery suza na n.k

Swala la kujiajiri .. cheti cha clinical officer hakiwezi kutumika kufungua chochote iwe zahanati, duka la dawa au maabara. Zahanati ni kuanzia ngazi ya AMO ndio unaweza fungua.

Fursa nyingine iliopo ni kuajiriwa private ambapo kwa sasa wamekua wanalipa watakavyo unakata CO analipwa 150k au 200k kama anafanya kazi za ndani. Inaudhi sana.


Sku hzi kwenye kila watu 100 hukosi clinical officer mmoja wamekua wengi sana. Wengine wamekua madaktari TIKTOK sasa ni mwendo wa live tu

TAFAKARI CHUKUA HATUA
kufungua maabara na phamacy inahitaji hue na elimu ngaz gani? Na iyi clinical certificate unawez tumia kwa kipi kama uruhusiwi kufungulia kitu
 
Tumeitwa interview may 25 dodoma utumishi wa uma Mimi ni co
Maswali ya kawaida ya medicine... Written ni short answer yanakua ma5 unatakiwa kujib ndan ya dakika 40 na oral pia ni short answer moja self introduction na manne ya medicine hapa kila swali lina dakika 5 ambazo kiuhalisia ni nyingi saka kwa swali 1


fika mapema zingatia muda na document original kabisa usiende na copy ...... Pia nenda kitambulisho chochote au barua ya utambulisho...ukikosa k1 kati ya hivo unarudishwa hawana huruma hata kidogo na kama hauna hvo usichome nauli hautaona hata chumba cha intaview kinafanana aje
 
Kijana uliemaliza kidato cha nne au cha sita.. kabla ya kufanya maamuzi ya kusoma Diploma in clinical medicine yajue haya.

Clinical medicine ni kozi ya diploma ya utabibu (udaktari) ukisoma hii kozi utaweza kutibu baadhi ya magonjwa na kufanya upasuaji mdogo mdogo, kozi hii ni ya miaka mi 3. Kozi hii kwasasa inatolewa na vyuo zaidi ya 82 nchini.

Malengo makubwa mawili huwa yanafanya watu kusoma clinical medicine aidha kupata ajira wakiamini kua afya ina ajira nyingi na pili kujiendeleza kusoma udaktari wa binadamu (kwa ukubwa) au kozi zingine.

Hivi vyuo 82 vimekua viki dahili wanafunzi zaid ya 50 vingine 100 mpk 150 kwa mwaka. Sasa tuchukulie katika kila chuo kati ya hvyo 82 wahitimu clinical officers 50 (wastani) ina maana ni zaidi ya clinical officers 4100 wanazalishwa kila mwaka.
Kwa malengo ya kupata ajira za serikalini, serikali haijawahi kuajiri zaid ya clinical officer 2500 kwa mwaka tangu 2020 na kila mwaka idadi ya kuwaajir clinical officer inazid kushuka.

Kwa lengo la kusoma udaktari kwa ngazi ya digrii .. kwanza watambue vyuo vinavyoa digrii ya udaktar hapa nchini vipo 11. Na kila chuo kina idadi maalumu ya watahiniwa kutoka clinical medicine watakao jiunga. Vyuo hivo vya serikali ni vi nne 1.Muhas 2.Udom 3.Udsm- mchas mbeya 4. Suza zanzibar hivi vya serikali ada ni nafuu 1.8 million mpk 3.1 million (kwa suza). Nafac kwenye hivi vyuo zina badirika kutokana na mwaka husika (TCU guide book huonesha number of sits) lakin hazi zidi nafasi 70 kwa vyuo vyote kwa ujumla. Kwa hiyo ww clinical officer ulihitim jua kua unagombania nafasi zisizo zidi 70 kupata nafasi ya kusoma udaktari kwenye chuo cha serikali ... Hapa lazima ume na GPA kuanzia 4.8 mpaka 5.0 na matokeo ya kidato cha nne yawe mazuri kupata nafasi.

Vyuo vya private na ada zake kwenye mabano 1.Sfuchas ifakara (4.5 million) 2.St joseph boko (6.1 million) 3. Mwanza university (6.7 million) 4.Bugando (5.4 million) 5. Kcmuco (5.4 million) 6.kampala (6.7 million) 7.habert kairuki(6.7 million) . Huku kwa ujumla nafasi hufika mpka 200 kutegemeana na mwaka (TCU guide book number of sits) kwaio kwa upande wa private jua unagombania nafasi 200 au pungufu na clinical officer wenzio kupata nafac ya kusoma udaktari lkn Ada huku ndo kikwazo kingine kwa watoto wa maskini. KWA UJUMLA KWA SASA NAFASI ZA CLINICAL OFFICER KUSOMA MD HAPA NCHINI HAZIFIKI 300.

Habar njema ni kua kuna kozi zingine kama 15 hutegemeana na guidebook ya mwaka husika 1. Clinical nutrition Udom 2. Health information sciences Udom 3. Bsc general nutrition open university 4. Bsc human nutrition SUA 5. Law moshi ushirika 6. Microbiology udsm 7. Biotechnology udsm 8.sociology 9.health management systems mzumbe 10. Family and consumer science SUA 11.physiotherapy 12.public health Zanzibar 13. Counseling and psychology 14. Dental surgery suza na n.k

Swala la kujiajiri .. cheti cha clinical officer hakiwezi kutumika kufungua chochote iwe zahanati, duka la dawa au maabara. Zahanati ni kuanzia ngazi ya AMO ndio unaweza fungua.

Fursa nyingine iliopo ni kuajiriwa private ambapo kwa sasa wamekua wanalipa watakavyo unakata CO analipwa 150k au 200k kama anafanya kazi za ndani. Inaudhi sana.


Sku hzi kwenye kila watu 100 hukosi clinical officer mmoja wamekua wengi sana. Wengine wamekua madaktari TIKTOK sasa ni mwendo wa live tu

TAFAKARI CHUKUA HATUA
Clinical Officers wanatakiwa kuhudumu ngazi ya Zahanati. Je, Tanzania tuna zahanati ngapi?
 
Clinical Officers wanatakiwa kuhudumu ngazi ya Zahanati. Je, Tanzania tuna zahanati ngapi?
Nyingi..

ukiisoma thread yangu kama m2 unaehc nakuharibia biashara yako huwez kuona kua thread yangu imezungumza pande zote mbili utamu na uzur wa hyo kozi na ubaya (kwa mtazamo wangu) na utajihisi kuteseka na la msingi zaid hii thread haiwez kufanya watu wasisome clinical medicine.

Ni kama waalimu tu shule zipo nyingi za kata na wahitimu ni wengi pia na ajira zinasemekana hakuna lkn watu hawata acha kusoma ualimu.

Uo ulkua mtazamo wang binafsi ..ukizingatia mm ni mnufaika wa kozi hii (clinical) nilioisoma sababu imenipa ajira serikalini

Kila m2 asome at his/her own risk.

MANENO YANGU SIO KATIBA
 
Nyingi..

ukiisoma thread yangu kama m2 unaehc nakuharibia biashara yako huwez kuona kua thread yangu imezungumza pande zote mbili utamu na uzur wa hyo kozi na ubaya (kwa mtazamo wangu) na utajihisi kuteseka na la msingi zaid hii thread haiwez kufanya watu wasisome clinical medicine.

Ni kama waalimu tu shule zipo nyingi za kata na wahitimu ni wengi pia na ajira zinasemekana hakuna lkn watu hawata acha kusoma ualimu.

Uo ulkua mtazamo wang binafsi ..ukizingatia mm ni mnufaika wa kozi hii (clinical) nilioisoma sababu imenipa ajira serikalini

Kila m2 asome at his/her own risk.

MANENO YANGU SIO KATIBA
Si amini katika kuharibiana biashara. Elimu haijawahi kuwa biashara na sisi hatukuanzisha chuo ili tufanye biashara. Msukumo wa kuanzisha Chuo ulikuwa ni kutaka kuonesha kuwa vyuo vya kati vya Private vinaweza kuwa bora zaidi kama ilivyo katika shule za msingi na sekondari.

Imani ya Nyaishozi College ni kuwa Elimu bora inatakiwa itolewe na vyuo binafsi si vya serikali. Hivyo maoni yako ni muhimu sana.

Kitu ambacho kwa kawaida chuo chetu huwa tunasisitiza hasa kwa wanataka kusoma hii kozi, ni kuwa makini na ufaulu hasa kama tu anataka kuchukua MD. Anatakiwa apate First Class.

Karibu Nyaishozi College kilichopo Mbweni Dar es Salaam ujionee kinavyoendeshwa.
 
N
Kama unahitaji kumpeleka mwanao Makerere University "As We Build For The Future" njoo pm nikupe namba za Madaktari niliosoma nao Makerere (wao walisomea MD),wapo kazini Muhimbili,Mlongazila nk,nadhani wao watakuunganisha na classmate wao waliopo Uganda kwa msaada zaid
Nasikia kipindi fulani KIU ukipeleka kichwa unapata percent au walikuwa waongo?
 
Sig
Si amini katika kuharibiana biashara. Elimu haijawahi kuwa biashara na sisi hatukuanzisha chuo ili tufanye biashara. Msukumo wa kuanzisha Chuo ulikuwa ni kutaka kuonesha kuwa vyuo vya kati vya Private vinaweza kuwa bora zaidi kama ilivyo katika shule za msingi na sekondari.

Imani ya Nyaishozi College ni kuwa Elimu bora inatakiwa itolewe na vyuo binafsi si vya serikali. Hivyo maoni yako ni muhimu sana.

Kitu ambacho kwa kawaida chuo chetu huwa tunasisitiza hasa kwa wanataka kusoma hii kozi, ni kuwa makini na ufaulu hasa kama tu anataka kuchukua MD. Anatakiwa apate First Class.

Karibu Nyaishozi College kilichopo Mbweni Dar es Salaam ujionee kinavyoendeshwa.
Sifa za kusoma hapo zikoje?
 
Kijana uliemaliza kidato cha nne au cha sita.. kabla ya kufanya maamuzi ya kusoma Diploma in clinical medicine yajue haya.

Clinical medicine ni kozi ya diploma ya utabibu (udaktari) ukisoma hii kozi utaweza kutibu baadhi ya magonjwa na kufanya upasuaji mdogo mdogo, kozi hii ni ya miaka mi 3. Kozi hii kwasasa inatolewa na vyuo zaidi ya 82 nchini.

Malengo makubwa mawili huwa yanafanya watu kusoma clinical medicine aidha kupata ajira wakiamini kua afya ina ajira nyingi na pili kujiendeleza kusoma udaktari wa binadamu (kwa ukubwa) au kozi zingine.

Hivi vyuo 82 vimekua viki dahili wanafunzi zaid ya 50 vingine 100 mpk 150 kwa mwaka. Sasa tuchukulie katika kila chuo kati ya hvyo 82 wahitimu clinical officers 50 (wastani) ina maana ni zaidi ya clinical officers 4100 wanazalishwa kila mwaka.
Kwa malengo ya kupata ajira za serikalini, serikali haijawahi kuajiri zaid ya clinical officer 2500 kwa mwaka tangu 2020 na kila mwaka idadi ya kuwaajir clinical officer inazid kushuka.

Kwa lengo la kusoma udaktari kwa ngazi ya digrii .. kwanza watambue vyuo vinavyoa digrii ya udaktar hapa nchini vipo 11. Na kila chuo kina idadi maalumu ya watahiniwa kutoka clinical medicine watakao jiunga. Vyuo hivo vya serikali ni vi nne 1.Muhas 2.Udom 3.Udsm- mchas mbeya 4. Suza zanzibar hivi vya serikali ada ni nafuu 1.8 million mpk 3.1 million (kwa suza). Nafac kwenye hivi vyuo zina badirika kutokana na mwaka husika (TCU guide book huonesha number of sits) lakin hazi zidi nafasi 70 kwa vyuo vyote kwa ujumla. Kwa hiyo ww clinical officer ulihitim jua kua unagombania nafasi zisizo zidi 70 kupata nafasi ya kusoma udaktari kwenye chuo cha serikali ... Hapa lazima ume na GPA kuanzia 4.8 mpaka 5.0 na matokeo ya kidato cha nne yawe mazuri kupata nafasi.

Vyuo vya private na ada zake kwenye mabano 1.Sfuchas ifakara (4.5 million) 2.St joseph boko (6.1 million) 3. Mwanza university (6.7 million) 4.Bugando (5.4 million) 5. Kcmuco (5.4 million) 6.kampala (6.7 million) 7.habert kairuki(6.7 million) . Huku kwa ujumla nafasi hufika mpka 200 kutegemeana na mwaka (TCU guide book number of sits) kwaio kwa upande wa private jua unagombania nafasi 200 au pungufu na clinical officer wenzio kupata nafac ya kusoma udaktari lkn Ada huku ndo kikwazo kingine kwa watoto wa maskini. KWA UJUMLA KWA SASA NAFASI ZA CLINICAL OFFICER KUSOMA MD HAPA NCHINI HAZIFIKI 300.

Habar njema ni kua kuna kozi zingine kama 15 hutegemeana na guidebook ya mwaka husika 1. Clinical nutrition Udom 2. Health information sciences Udom 3. Bsc general nutrition open university 4. Bsc human nutrition SUA 5. Law moshi ushirika 6. Microbiology udsm 7. Biotechnology udsm 8.sociology 9.health management systems mzumbe 10. Family and consumer science SUA 11.physiotherapy 12.public health Zanzibar 13. Counseling and psychology 14. Dental surgery suza na n.k

Swala la kujiajiri .. cheti cha clinical officer hakiwezi kutumika kufungua chochote iwe zahanati, duka la dawa au maabara. Zahanati ni kuanzia ngazi ya AMO ndio unaweza fungua.

Fursa nyingine iliopo ni kuajiriwa private ambapo kwa sasa wamekua wanalipa watakavyo unakata CO analipwa 150k au 200k kama anafanya kazi za ndani. Inaudhi sana.


Sku hzi kwenye kila watu 100 hukosi clinical officer mmoja wamekua wengi sana. Wengine wamekua madaktari TIKTOK sasa ni mwendo wa live tu

TAFAKARI CHUKUA HATUA
Asante
 
Sehemu watu wakishakuwa wengi kimbia escape huo mkumbo.

Ilikuwa kama kwenye ualimu vyuo vya walimu vilikuwa kibao kama utitiri hasa private vingi vikajifia
 
Wewe ukiwa na GPA ya 5.0 na mwenzako ana GPA ya 5.0 na kuna nafasi moja wanarudi nyuma kaungalia nani alifauru vizuri kidato cha nne.

Ila ww ukiwa na GPA ya 5.0 na una four ya 26 kidato cha nne .. na mwenzio ana GPA YA 4.6 na ana one ya 7 kidato cha nne .. ww mwenye GPA ya 5.0 utapata nafasi.

Niliiweka hyo kipengele kwa sababu saiz watu wanafanana sana GPA lkn pia hata guidebook inasema:

"Diploma in clinical medicine with GPA of 3.0 and above plus candidate must have a pass in the followings subjects mathematics physics chemistry biology and english"....... (kuna vyuo hata uwe na gpa ya 5 na ulkua na F ya mathematics hawakuchukui)

Au

"Diploma in clinical medicine with GPA of 3.0 and above plus candidate must have a pass in five non religious subjects"

kwahyo kidato cha nne "Diploma in clinical medicine with GPA of 3.0 and above plus candidate must have a pass in the followings subjects mathematics physics chemistry biology and english" good role kuchaguliwa
Vyuo gani hivyo hawachukui wenye F ya math
 
Back
Top Bottom