msafi WCB
Member
- Jan 2, 2020
- 48
- 138
- Thread starter
- #81
Au kama addo bado inatolewa tunaomba utujuze chuo ambacho kinatoa kwa sasa maana hata mm nataka kusoma addo. Na huwa nna regret kwann sikusoma.
Na sababu kubwa sio addo kukosa ubora ila ni wingi wa pharmacy technician ana dispenser (level 4) wanaohitim kwa sasa hakuna upunguf.
Na kwenye upnde wa pharmacy hata mtu anaishia level 4 & 5 anaweza kudispense dawa ndo mana addo ikafutwa
Na sababu kubwa sio addo kukosa ubora ila ni wingi wa pharmacy technician ana dispenser (level 4) wanaohitim kwa sasa hakuna upunguf.
Na kwenye upnde wa pharmacy hata mtu anaishia level 4 & 5 anaweza kudispense dawa ndo mana addo ikafutwa