Usisome kozi ya clinical medicine (clinical officer) kabla ya kusoma thread hii

Usisome kozi ya clinical medicine (clinical officer) kabla ya kusoma thread hii

Kijana uliemaliza kidato cha nne au cha sita.. kabla ya kufanya maamuzi ya kusoma Diploma in clinical medicine yajue haya.

Clinical medicine ni kozi ya diploma ya utabibu (udaktari) ukisoma hii kozi utaweza kutibu baadhi ya magonjwa na kufanya upasuaji mdogo mdogo, kozi hii ni ya miaka mi 3. Kozi hii kwasasa inatolewa na vyuo zaidi ya 82 nchini.

Malengo makubwa mawili huwa yanafanya watu kusoma clinical medicine aidha kupata ajira wakiamini kua afya ina ajira nyingi na pili kujiendeleza kusoma udaktari wa binadamu (kwa ukubwa) au kozi zingine.

Hivi vyuo 82 vimekua viki dahili wanafunzi zaid ya 50 vingine 100 mpk 150 kwa mwaka. Sasa tuchukulie katika kila chuo kati ya hvyo 82 wahitimu clinical officers 50 (wastani) ina maana ni zaidi ya clinical officers 4100 wanazalishwa kila mwaka.
Kwa malengo ya kupata ajira za serikalini, serikali haijawahi kuajiri zaid ya clinical officer 2500 kwa mwaka tangu 2020 na kila mwaka idadi ya kuwaajir clinical officer inazid kushuka.

Kwa lengo la kusoma udaktari kwa ngazi ya digrii .. kwanza watambue vyuo vinavyoa digrii ya udaktar hapa nchini vipo 11. Na kila chuo kina idadi maalumu ya watahiniwa kutoka clinical medicine watakao jiunga. Vyuo hivo vya serikali ni vi nne 1.Muhas 2.Udom 3.Udsm- mchas mbeya 4. Suza zanzibar hivi vya serikali ada ni nafuu 1.8 million mpk 3.1 million (kwa suza). Nafac kwenye hivi vyuo zina badirika kutokana na mwaka husika (TCU guide book huonesha number of sits) lakin hazi zidi nafasi 70 kwa vyuo vyote kwa ujumla. Kwa hiyo ww clinical officer ulihitim jua kua unagombania nafasi zisizo zidi 70 kupata nafasi ya kusoma udaktari kwenye chuo cha serikali ... Hapa lazima ume na GPA kuanzia 4.8 mpaka 5.0 na matokeo ya kidato cha nne yawe mazuri kupata nafasi.

Vyuo vya private na ada zake kwenye mabano 1.Sfuchas ifakara (4.5 million) 2.St joseph boko (6.1 million) 3. Mwanza university (6.7 million) 4.Bugando (5.4 million) 5. Kcmuco (5.4 million) 6.kampala (6.7 million) 7.habert kairuki(6.7 million) . Huku kwa ujumla nafasi hufika mpka 200 kutegemeana na mwaka (TCU guide book number of sits) kwaio kwa upande wa private jua unagombania nafasi 200 au pungufu na clinical officer wenzio kupata nafac ya kusoma udaktari lkn Ada huku ndo kikwazo kingine kwa watoto wa maskini. KWA UJUMLA KWA SASA NAFASI ZA CLINICAL OFFICER KUSOMA MD HAPA NCHINI HAZIFIKI 300.

Habar njema ni kua kuna kozi zingine kama 15 hutegemeana na guidebook ya mwaka husika 1. Clinical nutrition Udom 2. Health information sciences Udom 3. Bsc general nutrition open university 4. Bsc human nutrition SUA 5. Law moshi ushirika 6. Microbiology udsm 7. Biotechnology udsm 8.sociology 9.health management systems mzumbe 10. Family and consumer science SUA 11.physiotherapy 12.public health Zanzibar 13. Counseling and psychology 14. Dental surgery suza na n.k

Swala la kujiajiri .. cheti cha clinical officer hakiwezi kutumika kufungua chochote iwe zahanati, duka la dawa au maabara. Zahanati ni kuanzia ngazi ya AMO ndio unaweza fungua.

Fursa nyingine iliopo ni kuajiriwa private ambapo kwa sasa wamekua wanalipa watakavyo unakata CO analipwa 150k au 200k kama anafanya kazi za ndani. Inaudhi sana.


Sku hzi kwenye kila watu 100 hukosi clinical officer mmoja wamekua wengi sana. Wengine wamekua madaktari TIKTOK sasa ni mwendo wa live tu

TAFAKARI CHUKUA HATUA
Asante sana,japo sikio la kufa halisikii dawa.
Wapo wanaobeza uzi huu,ila ki ukweli mleta taarifa ameeleza anachokifahamu au kukipitia.

Sasa wewe mzazi au kijana unayejipanga kusoma ilimradi umesoma
ni heri ukaanza umachinga mapema bila kuhusisha bodi ya mikopo au mzazi kuingia mikopo kukusomesha
mwisho urudi nyumbani kuomba mtaji wa kufanya umachinga au kufuga kuku.
 
Kijana uliemaliza kidato cha nne au cha sita.. kabla ya kufanya maamuzi ya kusoma Diploma in clinical medicine yajue haya.

Clinical medicine ni kozi ya diploma ya utabibu (udaktari) ukisoma hii kozi utaweza kutibu baadhi ya magonjwa na kufanya upasuaji mdogo mdogo, kozi hii ni ya miaka mi 3. Kozi hii kwasasa inatolewa na vyuo zaidi ya 82 nchini.

Malengo makubwa mawili huwa yanafanya watu kusoma clinical medicine aidha kupata ajira wakiamini kua afya ina ajira nyingi na pili kujiendeleza kusoma udaktari wa binadamu (kwa ukubwa) au kozi zingine.

Hivi vyuo 82 vimekua viki dahili wanafunzi zaid ya 50 vingine 100 mpk 150 kwa mwaka. Sasa tuchukulie katika kila chuo kati ya hvyo 82 wahitimu clinical officers 50 (wastani) ina maana ni zaidi ya clinical officers 4100 wanazalishwa kila mwaka.
Kwa malengo ya kupata ajira za serikalini, serikali haijawahi kuajiri zaid ya clinical officer 2500 kwa mwaka tangu 2020 na kila mwaka idadi ya kuwaajir clinical officer inazid kushuka.

Kwa lengo la kusoma udaktari kwa ngazi ya digrii .. kwanza watambue vyuo vinavyoa digrii ya udaktar hapa nchini vipo 11. Na kila chuo kina idadi maalumu ya watahiniwa kutoka clinical medicine watakao jiunga. Vyuo hivo vya serikali ni vi nne 1.Muhas 2.Udom 3.Udsm- mchas mbeya 4. Suza zanzibar hivi vya serikali ada ni nafuu 1.8 million mpk 3.1 million (kwa suza). Nafac kwenye hivi vyuo zina badirika kutokana na mwaka husika (TCU guide book huonesha number of sits) lakin hazi zidi nafasi 70 kwa vyuo vyote kwa ujumla. Kwa hiyo ww clinical officer ulihitim jua kua unagombania nafasi zisizo zidi 70 kupata nafasi ya kusoma udaktari kwenye chuo cha serikali ... Hapa lazima ume na GPA kuanzia 4.8 mpaka 5.0 na matokeo ya kidato cha nne yawe mazuri kupata nafasi.

Vyuo vya private na ada zake kwenye mabano 1.Sfuchas ifakara (4.5 million) 2.St joseph boko (6.1 million) 3. Mwanza university (6.7 million) 4.Bugando (5.4 million) 5. Kcmuco (5.4 million) 6.kampala (6.7 million) 7.habert kairuki(6.7 million) . Huku kwa ujumla nafasi hufika mpka 200 kutegemeana na mwaka (TCU guide book number of sits) kwaio kwa upande wa private jua unagombania nafasi 200 au pungufu na clinical officer wenzio kupata nafac ya kusoma udaktari lkn Ada huku ndo kikwazo kingine kwa watoto wa maskini. KWA UJUMLA KWA SASA NAFASI ZA CLINICAL OFFICER KUSOMA MD HAPA NCHINI HAZIFIKI 300.

Habar njema ni kua kuna kozi zingine kama 15 hutegemeana na guidebook ya mwaka husika 1. Clinical nutrition Udom 2. Health information sciences Udom 3. Bsc general nutrition open university 4. Bsc human nutrition SUA 5. Law moshi ushirika 6. Microbiology udsm 7. Biotechnology udsm 8.sociology 9.health management systems mzumbe 10. Family and consumer science SUA 11.physiotherapy 12.public health Zanzibar 13. Counseling and psychology 14. Dental surgery suza na n.k

Swala la kujiajiri .. cheti cha clinical officer hakiwezi kutumika kufungua chochote iwe zahanati, duka la dawa au maabara. Zahanati ni kuanzia ngazi ya AMO ndio unaweza fungua.

Fursa nyingine iliopo ni kuajiriwa private ambapo kwa sasa wamekua wanalipa watakavyo unakata CO analipwa 150k au 200k kama anafanya kazi za ndani. Inaudhi sana.


Sku hzi kwenye kila watu 100 hukosi clinical officer mmoja wamekua wengi sana. Wengine wamekua madaktari TIKTOK sasa ni mwendo wa live tu

TAFAKARI CHUKUA HATUA
Ni hivi, hata wewe ni matunda ya sperm zaidi ya mil 100 zilizoshindana kuingia yai la mama yako ukazaliwa. Yani angetokea mhuni mmoja akaanza kuziambia mbegu ndani ya shaha.. za dingi yako kuwa ushindani hauna mfano na ni bora wasijisumbue, ni wazi usinhezaliwa ✌️😄
 
ADDO imefutwa?
Kama MD anaruhusiwa kuuza duka la dawa why not CO?
Hii imekaaje?
Hapana mkuu hata MD haruhusiwi kwa mujibu wa Pharmacy Act 2011, biashara ya pharmacy ni ya wafamasia(Assistant, technician na Pharmacist mwenyewe).
Mtu ambaye sio mfamasia kwa maana ya registered pharmacist(mwenye degree ya kwanza) akitaka kufanya biashara ya famasi lazima awe na mfamasia kama mwangalizi.
 
Kijana uliemaliza kidato cha nne au cha sita.. kabla ya kufanya maamuzi ya kusoma Diploma in clinical medicine yajue haya.

Clinical medicine ni kozi ya diploma ya utabibu (udaktari) ukisoma hii kozi utaweza kutibu baadhi ya magonjwa na kufanya upasuaji mdogo mdogo, kozi hii ni ya miaka mi 3. Kozi hii kwasasa inatolewa na vyuo zaidi ya 82 nchini.

Malengo makubwa mawili huwa yanafanya watu kusoma clinical medicine aidha kupata ajira wakiamini kua afya ina ajira nyingi na pili kujiendeleza kusoma udaktari wa binadamu (kwa ukubwa) au kozi zingine.

Hivi vyuo 82 vimekua viki dahili wanafunzi zaid ya 50 vingine 100 mpk 150 kwa mwaka. Sasa tuchukulie katika kila chuo kati ya hvyo 82 wahitimu clinical officers 50 (wastani) ina maana ni zaidi ya clinical officers 4100 wanazalishwa kila mwaka.
Kwa malengo ya kupata ajira za serikalini, serikali haijawahi kuajiri zaid ya clinical officer 2500 kwa mwaka tangu 2020 na kila mwaka idadi ya kuwaajir clinical officer inazid kushuka.

Kwa lengo la kusoma udaktari kwa ngazi ya digrii .. kwanza watambue vyuo vinavyoa digrii ya udaktar hapa nchini vipo 11. Na kila chuo kina idadi maalumu ya watahiniwa kutoka clinical medicine watakao jiunga. Vyuo hivo vya serikali ni vi nne 1.Muhas 2.Udom 3.Udsm- mchas mbeya 4. Suza zanzibar hivi vya serikali ada ni nafuu 1.8 million mpk 3.1 million (kwa suza). Nafac kwenye hivi vyuo zina badirika kutokana na mwaka husika (TCU guide book huonesha number of sits) lakin hazi zidi nafasi 70 kwa vyuo vyote kwa ujumla. Kwa hiyo ww clinical officer ulihitim jua kua unagombania nafasi zisizo zidi 70 kupata nafasi ya kusoma udaktari kwenye chuo cha serikali ... Hapa lazima ume na GPA kuanzia 4.8 mpaka 5.0 na matokeo ya kidato cha nne yawe mazuri kupata nafasi.

Vyuo vya private na ada zake kwenye mabano 1.Sfuchas ifakara (4.5 million) 2.St joseph boko (6.1 million) 3. Mwanza university (6.7 million) 4.Bugando (5.4 million) 5. Kcmuco (5.4 million) 6.kampala (6.7 million) 7.habert kairuki(6.7 million) . Huku kwa ujumla nafasi hufika mpka 200 kutegemeana na mwaka (TCU guide book number of sits) kwaio kwa upande wa private jua unagombania nafasi 200 au pungufu na clinical officer wenzio kupata nafac ya kusoma udaktari lkn Ada huku ndo kikwazo kingine kwa watoto wa maskini. KWA UJUMLA KWA SASA NAFASI ZA CLINICAL OFFICER KUSOMA MD HAPA NCHINI HAZIFIKI 300.

Habar njema ni kua kuna kozi zingine kama 15 hutegemeana na guidebook ya mwaka husika 1. Clinical nutrition Udom 2. Health information sciences Udom 3. Bsc general nutrition open university 4. Bsc human nutrition SUA 5. Law moshi ushirika 6. Microbiology udsm 7. Biotechnology udsm 8.sociology 9.health management systems mzumbe 10. Family and consumer science SUA 11.physiotherapy 12.public health Zanzibar 13. Counseling and psychology 14. Dental surgery suza na n.k

Swala la kujiajiri .. cheti cha clinical officer hakiwezi kutumika kufungua chochote iwe zahanati, duka la dawa au maabara. Zahanati ni kuanzia ngazi ya AMO ndio unaweza fungua.

Fursa nyingine iliopo ni kuajiriwa private ambapo kwa sasa wamekua wanalipa watakavyo unakata CO analipwa 150k au 200k kama anafanya kazi za ndani. Inaudhi sana.


Sku hzi kwenye kila watu 100 hukosi clinical officer mmoja wamekua wengi sana. Wengine wamekua madaktari TIKTOK sasa ni mwendo wa live tu

TAFAKARI CHUKUA HATUA
Vipi business administration???kwa hizo tafiti zako ukizifanya kwa kozi zingine na nafasi za ajira,utabakiwa na manyoya tuuuu!!!
 
Ujaweka na watakaokufaa wakati wa kusoma na waliopo makazini.....bro hii dunia ipo balanced hizo nazaria zako utafikiri watu wanaishi milele
Mimi ni clinical officer nmehitimu 2019 nashukuru mungu nmepata ajira serikalini mwaka 2023. Thread yangu haisemi watu wasisome clinical medicine bali imejikita kuelezea chungu na tamu za kada hiyo ili kila anekuja ajue kabisa ana malengo gani aidha kujiendeleza kielimu au kupata ajira na je njia anayotaka kupita kama itamfikisha? Mfano mm binafsi lengo langu la kwanza halikua ajira ilikua kuendelea na bachelor degree ya udaktari (MD) na nilipata GPA ya 4.5. na niliomba vyuo nikapata vya private lkn hata sikukanyanga kwa ajiri ya ukubwa wa adda zao, na kwa GPA hyo nmeshndwa kabisa kupata chuo cha serikali hvo nkasota mtaani, ajira kwenye private sector lkn mshahara kama nlivosema 200k (hii yote sababu tupo wengi mno) ni ushaur tu kwa vijana kila mtu ana hatma yake ... Nlkua nikiomba sana ajira za tamisemi since 2020 lkn hola Mwenyezi mungu akabariki nikapata kupitia utumishi ambapo unafanya interview kupata ajira na niliopata nao ajira wapo waliokua wamehitimu mwaka 2022 kwaio kila mtu na bahati yake na Lengo langu watu wawe na taarifa muhimu juu ya maswali wanajiuliza kuhusu kada hii kiujumla
 
Naomba kujuzwa ada ya chuo Cha makerere uganda.shahada ya medical Doctor.Mwanangu nimpeleke huko.
Kama unahitaji kumpeleka mwanao Makerere University "As We Build For The Future" njoo pm nikupe namba za Madaktari niliosoma nao Makerere (wao walisomea MD),wapo kazini Muhimbili,Mlongazila nk,nadhani wao watakuunganisha na classmate wao waliopo Uganda kwa msaada zaidi
 
Ukiingia hawaoneshi sehemu ya ada
Kwenye website yao ipo ada ni 2,044,056 ugx kwa semister hii .. kwa mwaka zidisha mara mbili. Hii ni ada ya ugandan And eastafrican students
IMG_4957.png
IMG_4957.png
 
Mzee vp koz ya dental kwa diploma ina soko?? Nina dogo amepata dv 1 form four nataka akasome
Dental au Radiology ziko poa...mimi ni CO ila nikiambiwa nirudishe miaka nyuma kuchagua cha kusoma nisingethibutu kusoma hii kitu.
Mzee vp koz ya dental kwa diploma ina soko?? Nina dogo amepata dv 1 form four nataka akasome
 
Serikali imeharibu hzi kozi za CO kwa kuruhusu udahili wa uwe alama D ...yahn serious mtu anaenda kusomea utabibu kwa kupata alama D.Nina experiences ya kufundisha mtu anayepata D huwa na uwezo mdogo sana wa kureason mambo na wengi huwa wanapata divisions 3.ukimpata mtu anasoma CO kwa selection ya alama D halafu kapata division 1 nimekaa pale.

Vyuo vya serikali hata ukiwa na C kupata CO sio rahisi; wanaopata nafasi kusoma hizo Course ni walio na pass za A na B na wachache sana C. Nilifuatilia mdogo wangu alivyotaka kusoma na kuona waliopangwa hiyo course 85% walikuwa na DIV 1 tena kali
hiyo D uliyosema sijui ni ya somo gani ila Kimsingi kutokana na watu kufaulu sana miaka hii...wanachukua pass za juu.
 
Kijana uliemaliza kidato cha nne au cha sita.. kabla ya kufanya maamuzi ya kusoma Diploma in clinical medicine yajue haya.

Clinical medicine ni kozi ya diploma ya utabibu (udaktari) ukisoma hii kozi utaweza kutibu baadhi ya magonjwa na kufanya upasuaji mdogo mdogo, kozi hii ni ya miaka mi 3. Kozi hii kwasasa inatolewa na vyuo zaidi ya 82 nchini.

Malengo makubwa mawili huwa yanafanya watu kusoma clinical medicine aidha kupata ajira wakiamini kua afya ina ajira nyingi na pili kujiendeleza kusoma udaktari wa binadamu (kwa ukubwa) au kozi zingine.

Hivi vyuo 82 vimekua viki dahili wanafunzi zaid ya 50 vingine 100 mpk 150 kwa mwaka. Sasa tuchukulie katika kila chuo kati ya hvyo 82 wahitimu clinical officers 50 (wastani) ina maana ni zaidi ya clinical officers 4100 wanazalishwa kila mwaka.
Kwa malengo ya kupata ajira za serikalini, serikali haijawahi kuajiri zaid ya clinical officer 2500 kwa mwaka tangu 2020 na kila mwaka idadi ya kuwaajir clinical officer inazid kushuka.

Kwa lengo la kusoma udaktari kwa ngazi ya digrii .. kwanza watambue vyuo vinavyoa digrii ya udaktar hapa nchini vipo 11. Na kila chuo kina idadi maalumu ya watahiniwa kutoka clinical medicine watakao jiunga. Vyuo hivo vya serikali ni vi nne 1.Muhas 2.Udom 3.Udsm- mchas mbeya 4. Suza zanzibar hivi vya serikali ada ni nafuu 1.8 million mpk 3.1 million (kwa suza). Nafac kwenye hivi vyuo zina badirika kutokana na mwaka husika (TCU guide book huonesha number of sits) lakin hazi zidi nafasi 70 kwa vyuo vyote kwa ujumla. Kwa hiyo ww clinical officer ulihitim jua kua unagombania nafasi zisizo zidi 70 kupata nafasi ya kusoma udaktari kwenye chuo cha serikali ... Hapa lazima ume na GPA kuanzia 4.8 mpaka 5.0 na matokeo ya kidato cha nne yawe mazuri kupata nafasi.

Vyuo vya private na ada zake kwenye mabano 1.Sfuchas ifakara (4.5 million) 2.St joseph boko (6.1 million) 3. Mwanza university (6.7 million) 4.Bugando (5.4 million) 5. Kcmuco (5.4 million) 6.kampala (6.7 million) 7.habert kairuki(6.7 million) . Huku kwa ujumla nafasi hufika mpka 200 kutegemeana na mwaka (TCU guide book number of sits) kwaio kwa upande wa private jua unagombania nafasi 200 au pungufu na clinical officer wenzio kupata nafac ya kusoma udaktari lkn Ada huku ndo kikwazo kingine kwa watoto wa maskini. KWA UJUMLA KWA SASA NAFASI ZA CLINICAL OFFICER KUSOMA MD HAPA NCHINI HAZIFIKI 300.

Habar njema ni kua kuna kozi zingine kama 15 hutegemeana na guidebook ya mwaka husika 1. Clinical nutrition Udom 2. Health information sciences Udom 3. Bsc general nutrition open university 4. Bsc human nutrition SUA 5. Law moshi ushirika 6. Microbiology udsm 7. Biotechnology udsm 8.sociology 9.health management systems mzumbe 10. Family and consumer science SUA 11.physiotherapy 12.public health Zanzibar 13. Counseling and psychology 14. Dental surgery suza na n.k

Swala la kujiajiri .. cheti cha clinical officer hakiwezi kutumika kufungua chochote iwe zahanati, duka la dawa au maabara. Zahanati ni kuanzia ngazi ya AMO ndio unaweza fungua.

Fursa nyingine iliopo ni kuajiriwa private ambapo kwa sasa wamekua wanalipa watakavyo unakata CO analipwa 150k au 200k kama anafanya kazi za ndani. Inaudhi sana.


Sku hzi kwenye kila watu 100 hukosi clinical officer mmoja wamekua wengi sana. Wengine wamekua madaktari TIKTOK sasa ni mwendo wa live tu

TAFAKARI CHUKUA HATUA
Kwa aliyesoma akabahatika kutinga mamtoni .....kujiendeleza timamu mafanikio kwa kede.
 
Back
Top Bottom