Usisome kozi ya clinical medicine (clinical officer) kabla ya kusoma thread hii

Usisome kozi ya clinical medicine (clinical officer) kabla ya kusoma thread hii

Kijana uliemaliza kidato cha nne au cha sita.. kabla ya kufanya maamuzi ya kusoma Diploma in clinical medicine yajue haya.

Clinical medicine ni kozi ya diploma ya utabibu (udaktari) ukisoma hii kozi utaweza kutibu baadhi ya magonjwa na kufanya upasuaji mdogo mdogo, kozi hii ni ya miaka mi 3. Kozi hii kwasasa inatolewa na vyuo zaidi ya 82 nchini.

Malengo makubwa mawili huwa yanafanya watu kusoma clinical medicine aidha kupata ajira wakiamini kua afya ina ajira nyingi na pili kujiendeleza kusoma udaktari wa binadamu (kwa ukubwa) au kozi zingine.

Hivi vyuo 82 vimekua viki dahili wanafunzi zaid ya 50 vingine 100 mpk 150 kwa mwaka. Sasa tuchukulie katika kila chuo kati ya hvyo 82 wahitimu clinical officers 50 (wastani) ina maana ni zaidi ya clinical officers 4100 wanazalishwa kila mwaka.
Kwa malengo ya kupata ajira za serikalini, serikali haijawahi kuajiri zaid ya clinical officer 2500 kwa mwaka tangu 2020 na kila mwaka idadi ya kuwaajir clinical officer inazid kushuka.

Kwa lengo la kusoma udaktari kwa ngazi ya digrii .. kwanza watambue vyuo vinavyoa digrii ya udaktar hapa nchini vipo 11. Na kila chuo kina idadi maalumu ya watahiniwa kutoka clinical medicine watakao jiunga. Vyuo hivo vya serikali ni vi nne 1.Muhas 2.Udom 3.Udsm- mchas mbeya 4. Suza zanzibar hivi vya serikali ada ni nafuu 1.8 million mpk 3.1 million (kwa suza). Nafac kwenye hivi vyuo zina badirika kutokana na mwaka husika (TCU guide book huonesha number of sits) lakin hazi zidi nafasi 70 kwa vyuo vyote kwa ujumla. Kwa hiyo ww clinical officer ulihitim jua kua unagombania nafasi zisizo zidi 70 kupata nafasi ya kusoma udaktari kwenye chuo cha serikali ... Hapa lazima ume na GPA kuanzia 4.8 mpaka 5.0 na matokeo ya kidato cha nne yawe mazuri kupata nafasi.

Vyuo vya private na ada zake kwenye mabano 1.Sfuchas ifakara (4.5 million) 2.St joseph boko (6.1 million) 3. Mwanza university (6.7 million) 4.Bugando (5.4 million) 5. Kcmuco (5.4 million) 6.kampala (6.7 million) 7.habert kairuki(6.7 million) . Huku kwa ujumla nafasi hufika mpka 200 kutegemeana na mwaka (TCU guide book number of sits) kwaio kwa upande wa private jua unagombania nafasi 200 au pungufu na clinical officer wenzio kupata nafac ya kusoma udaktari lkn Ada huku ndo kikwazo kingine kwa watoto wa maskini. KWA UJUMLA KWA SASA NAFASI ZA CLINICAL OFFICER KUSOMA MD HAPA NCHINI HAZIFIKI 300.

Habar njema ni kua kuna kozi zingine kama 15 hutegemeana na guidebook ya mwaka husika 1. Clinical nutrition Udom 2. Health information sciences Udom 3. Bsc general nutrition open university 4. Bsc human nutrition SUA 5. Law moshi ushirika 6. Microbiology udsm 7. Biotechnology udsm 8.sociology 9.health management systems mzumbe 10. Family and consumer science SUA 11.physiotherapy 12.public health Zanzibar 13. Counseling and psychology 14. Dental surgery suza na n.k

Swala la kujiajiri .. cheti cha clinical officer hakiwezi kutumika kufungua chochote iwe zahanati, duka la dawa au maabara. Zahanati ni kuanzia ngazi ya AMO ndio unaweza fungua.

Fursa nyingine iliopo ni kuajiriwa private ambapo kwa sasa wamekua wanalipa watakavyo unakata CO analipwa 150k au 200k kama anafanya kazi za ndani. Inaudhi sana.


Sku hzi kwenye kila watu 100 hukosi clinical officer mmoja wamekua wengi sana. Wengine wamekua madaktari TIKTOK sasa ni mwendo wa live tu

TAFAKARI CHUKUA HATUA
nice thread
 
Mkuu huu uzi umekaa kukatisha tamaa sanaa
Hpn sio kukatisha watu tamaa huu uzi kuwajuza watu alaf wao wachague kupanga ni kuchagua . ...NAJUA WATU HAWAWEZI ACHA KUSOMA HIYO KOZI WATAENDELEA LKN MM NIMETAKA WAJUE WAELEWE WANAPOKUJA KUNA NINI ... Kila siku watu wanasema waliimu wa arts hawana ajira lkn watu bado wanasoma
 
Hpn sio kukatisha watu tamaa huu uzi kuwajuza watu alaf wao wachague kupanga ni kuchagua . ...NAJUA WATU HAWAWEZI ACHA KUSOMA HIYO KOZI WATAENDELEA LKN MM NIMETAKA WAJUE WAELEWE WANAPOKUJA KUNA NINI ... Kila siku watu wanasema waliimu wa arts hawana ajira lkn watu bado wanasoma
ni kweli lakini kwa yule ambaye bado anampango wa kusoma hiyo kozi akisoma huu uzi anapoteza mwelekeo...inawezekana wewe ni miongoni mwa watu kwenye kada ya Afya so unawashauri nini wale waliosoma may be wakaishia ngazi ya cheti(CA) au diploma na ambaye mazingira hayaruhusu kuendelea na masomo
 
Vyuo vya serikali hata ukiwa na C kupata CO sio rahisi; wanaopata nafasi kusoma hizo Course ni walio na pass za A na B na wachache sana C. Nilifuatilia mdogo wangu alivyotaka kusoma na kuona waliopangwa hiyo course 85% walikuwa na DIV 1 tena kali
hiyo D uliyosema sijui ni ya somo gani ila Kimsingi kutokana na watu kufaulu sana miaka hii...wanachukua pass za juu.
Nadhani hujamuelewa mtoa mada, nacte guidebook inaruhusu hizo D, sasa vyuo vya private viko vingi, na vingine ni cheap kwahiyo wanapata nafasi ya kusoma huko.
 
Nadhani hujamuelewa mtoa mada, nacte guidebook inaruhusu hizo D, sasa vyuo vya private viko vingi, na vingine ni cheap kwahiyo wanapata nafasi ya kusoma huko.
Vyuo vya private vinadahili vzuri tu ata ukiwa na D kwasababu vinadahili wanafunzi wengi sana
 
Serikali imeharibu hzi kozi za CO kwa kuruhusu udahili wa uwe alama D ...yahn serious mtu anaenda kusomea utabibu kwa kupata alama D.Nina experiences ya kufundisha mtu anayepata D huwa na uwezo mdogo sana wa kureason mambo na wengi huwa wanapata divisions 3.ukimpata mtu anasoma CO kwa selection ya alama D halafu kapata division 1 nimekaa pale.
Ndio maana kipindi kile madaktari wa Kenya walivyogoma (sikumbuki mwaka) Magufuli akamwambia Uhuru atampa madaktari kutoka Tanzania, WaKenya wakachekaa kwa dharau wakasema kama kuna madaktari Tanzania basi ni Waganga wakienyeji. Basically, kusema kiwango cha elimu yetu kikochini sana. Very poor quality of education kwamba kwenye soko la ajira duniani hatuwezi kucompete na mfumo huu. Ni waambie tu, CCM hawatakaa waboreshe kiwango cha elimu Tanzania kwasababu wao ndio wanafaidika kwa kuwa na wananchi wasio na elimu bora. Ni rahisi sana kumtawala mtu asiye na elimu.
 
Kijana uliemaliza kidato cha nne au cha sita.. kabla ya kufanya maamuzi ya kusoma Diploma in clinical medicine yajue haya.

Clinical medicine ni kozi ya diploma ya utabibu (udaktari) ukisoma hii kozi utaweza kutibu baadhi ya magonjwa na kufanya upasuaji mdogo mdogo, kozi hii ni ya miaka mi 3. Kozi hii kwasasa inatolewa na vyuo zaidi ya 82 nchini.

Malengo makubwa mawili huwa yanafanya watu kusoma clinical medicine aidha kupata ajira wakiamini kua afya ina ajira nyingi na pili kujiendeleza kusoma udaktari wa binadamu (kwa ukubwa) au kozi zingine.

Hivi vyuo 82 vimekua viki dahili wanafunzi zaid ya 50 vingine 100 mpk 150 kwa mwaka. Sasa tuchukulie katika kila chuo kati ya hvyo 82 wahitimu clinical officers 50 (wastani) ina maana ni zaidi ya clinical officers 4100 wanazalishwa kila mwaka.
Kwa malengo ya kupata ajira za serikalini, serikali haijawahi kuajiri zaid ya clinical officer 2500 kwa mwaka tangu 2020 na kila mwaka idadi ya kuwaajir clinical officer inazid kushuka.

Kwa lengo la kusoma udaktari kwa ngazi ya digrii .. kwanza watambue vyuo vinavyoa digrii ya udaktar hapa nchini vipo 11. Na kila chuo kina idadi maalumu ya watahiniwa kutoka clinical medicine watakao jiunga. Vyuo hivo vya serikali ni vi nne 1.Muhas 2.Udom 3.Udsm- mchas mbeya 4. Suza zanzibar hivi vya serikali ada ni nafuu 1.8 million mpk 3.1 million (kwa suza). Nafac kwenye hivi vyuo zina badirika kutokana na mwaka husika (TCU guide book huonesha number of sits) lakin hazi zidi nafasi 70 kwa vyuo vyote kwa ujumla. Kwa hiyo ww clinical officer ulihitim jua kua unagombania nafasi zisizo zidi 70 kupata nafasi ya kusoma udaktari kwenye chuo cha serikali ... Hapa lazima ume na GPA kuanzia 4.8 mpaka 5.0 na matokeo ya kidato cha nne yawe mazuri kupata nafasi.

Vyuo vya private na ada zake kwenye mabano 1.Sfuchas ifakara (4.5 million) 2.St joseph boko (6.1 million) 3. Mwanza university (6.7 million) 4.Bugando (5.4 million) 5. Kcmuco (5.4 million) 6.kampala (6.7 million) 7.habert kairuki(6.7 million) . Huku kwa ujumla nafasi hufika mpka 200 kutegemeana na mwaka (TCU guide book number of sits) kwaio kwa upande wa private jua unagombania nafasi 200 au pungufu na clinical officer wenzio kupata nafac ya kusoma udaktari lkn Ada huku ndo kikwazo kingine kwa watoto wa maskini. KWA UJUMLA KWA SASA NAFASI ZA CLINICAL OFFICER KUSOMA MD HAPA NCHINI HAZIFIKI 300.

Habar njema ni kua kuna kozi zingine kama 15 hutegemeana na guidebook ya mwaka husika 1. Clinical nutrition Udom 2. Health information sciences Udom 3. Bsc general nutrition open university 4. Bsc human nutrition SUA 5. Law moshi ushirika 6. Microbiology udsm 7. Biotechnology udsm 8.sociology 9.health management systems mzumbe 10. Family and consumer science SUA 11.physiotherapy 12.public health Zanzibar 13. Counseling and psychology 14. Dental surgery suza na n.k

Swala la kujiajiri .. cheti cha clinical officer hakiwezi kutumika kufungua chochote iwe zahanati, duka la dawa au maabara. Zahanati ni kuanzia ngazi ya AMO ndio unaweza fungua.

Fursa nyingine iliopo ni kuajiriwa private ambapo kwa sasa wamekua wanalipa watakavyo unakata CO analipwa 150k au 200k kama anafanya kazi za ndani. Inaudhi sana.


Sku hzi kwenye kila watu 100 hukosi clinical officer mmoja wamekua wengi sana. Wengine wamekua madaktari TIKTOK sasa ni mwendo wa live tu

TAFAKARI CHUKUA HATUA
Maelezo mengi ila hujatoa maoni yako kwamba unashauri asome kozi gani ngazi ya diploma tofauti na hiyo?
 
Kufeli Nako kupo wanadahiliwa 100 wanahitimu 35/ pia Kuna vifo.Kila mtu na ridhika yake🤣🤣🤣🤣🤣🪑🪑🪑💺💺💺🎶🎶🎶📌
 
Kijana uliemaliza kidato cha nne au cha sita.. kabla ya kufanya maamuzi ya kusoma Diploma in clinical medicine yajue haya.

Clinical medicine ni kozi ya diploma ya utabibu (udaktari) ukisoma hii kozi utaweza kutibu baadhi ya magonjwa na kufanya upasuaji mdogo mdogo, kozi hii ni ya miaka mi 3. Kozi hii kwasasa inatolewa na vyuo zaidi ya 82 nchini.

Malengo makubwa mawili huwa yanafanya watu kusoma clinical medicine aidha kupata ajira wakiamini kua afya ina ajira nyingi na pili kujiendeleza kusoma udaktari wa binadamu (kwa ukubwa) au kozi zingine.

Hivi vyuo 82 vimekua viki dahili wanafunzi zaid ya 50 vingine 100 mpk 150 kwa mwaka. Sasa tuchukulie katika kila chuo kati ya hvyo 82 wahitimu clinical officers 50 (wastani) ina maana ni zaidi ya clinical officers 4100 wanazalishwa kila mwaka.
Kwa malengo ya kupata ajira za serikalini, serikali haijawahi kuajiri zaid ya clinical officer 2500 kwa mwaka tangu 2020 na kila mwaka idadi ya kuwaajir clinical officer inazid kushuka.

Kwa lengo la kusoma udaktari kwa ngazi ya digrii .. kwanza watambue vyuo vinavyoa digrii ya udaktar hapa nchini vipo 11. Na kila chuo kina idadi maalumu ya watahiniwa kutoka clinical medicine watakao jiunga. Vyuo hivo vya serikali ni vi nne 1.Muhas 2.Udom 3.Udsm- mchas mbeya 4. Suza zanzibar hivi vya serikali ada ni nafuu 1.8 million mpk 3.1 million (kwa suza). Nafac kwenye hivi vyuo zina badirika kutokana na mwaka husika (TCU guide book huonesha number of sits) lakin hazi zidi nafasi 70 kwa vyuo vyote kwa ujumla. Kwa hiyo ww clinical officer ulihitim jua kua unagombania nafasi zisizo zidi 70 kupata nafasi ya kusoma udaktari kwenye chuo cha serikali ... Hapa lazima ume na GPA kuanzia 4.8 mpaka 5.0 na matokeo ya kidato cha nne yawe mazuri kupata nafasi.

Vyuo vya private na ada zake kwenye mabano 1.Sfuchas ifakara (4.5 million) 2.St joseph boko (6.1 million) 3. Mwanza university (6.7 million) 4.Bugando (5.4 million) 5. Kcmuco (5.4 million) 6.kampala (6.7 million) 7.habert kairuki(6.7 million) . Huku kwa ujumla nafasi hufika mpka 200 kutegemeana na mwaka (TCU guide book number of sits) kwaio kwa upande wa private jua unagombania nafasi 200 au pungufu na clinical officer wenzio kupata nafac ya kusoma udaktari lkn Ada huku ndo kikwazo kingine kwa watoto wa maskini. KWA UJUMLA KWA SASA NAFASI ZA CLINICAL OFFICER KUSOMA MD HAPA NCHINI HAZIFIKI 300.

Habar njema ni kua kuna kozi zingine kama 15 hutegemeana na guidebook ya mwaka husika 1. Clinical nutrition Udom 2. Health information sciences Udom 3. Bsc general nutrition open university 4. Bsc human nutrition SUA 5. Law moshi ushirika 6. Microbiology udsm 7. Biotechnology udsm 8.sociology 9.health management systems mzumbe 10. Family and consumer science SUA 11.physiotherapy 12.public health Zanzibar 13. Counseling and psychology 14. Dental surgery suza na n.k

Swala la kujiajiri .. cheti cha clinical officer hakiwezi kutumika kufungua chochote iwe zahanati, duka la dawa au maabara. Zahanati ni kuanzia ngazi ya AMO ndio unaweza fungua.

Fursa nyingine iliopo ni kuajiriwa private ambapo kwa sasa wamekua wanalipa watakavyo unakata CO analipwa 150k au 200k kama anafanya kazi za ndani. Inaudhi sana.


Sku hzi kwenye kila watu 100 hukosi clinical officer mmoja wamekua wengi sana. Wengine wamekua madaktari TIKTOK sasa ni mwendo wa live tu

TAFAKARI CHUKUA HATUA
Kila kitu ulichosema ni kwel umepita mulemule...ushauri bora kusoma diploma ya dental, radiology au orthopaedic
 
Kijana uliemaliza kidato cha nne au cha sita.. kabla ya kufanya maamuzi ya kusoma Diploma in clinical medicine yajue haya.

Clinical medicine ni kozi ya diploma ya utabibu (udaktari) ukisoma hii kozi utaweza kutibu baadhi ya magonjwa na kufanya upasuaji mdogo mdogo, kozi hii ni ya miaka mi 3. Kozi hii kwasasa inatolewa na vyuo zaidi ya 82 nchini.

Malengo makubwa mawili huwa yanafanya watu kusoma clinical medicine aidha kupata ajira wakiamini kua afya ina ajira nyingi na pili kujiendeleza kusoma udaktari wa binadamu (kwa ukubwa) au kozi zingine.

Hivi vyuo 82 vimekua viki dahili wanafunzi zaid ya 50 vingine 100 mpk 150 kwa mwaka. Sasa tuchukulie katika kila chuo kati ya hvyo 82 wahitimu clinical officers 50 (wastani) ina maana ni zaidi ya clinical officers 4100 wanazalishwa kila mwaka.
Kwa malengo ya kupata ajira za serikalini, serikali haijawahi kuajiri zaid ya clinical officer 2500 kwa mwaka tangu 2020 na kila mwaka idadi ya kuwaajir clinical officer inazid kushuka.

Kwa lengo la kusoma udaktari kwa ngazi ya digrii .. kwanza watambue vyuo vinavyoa digrii ya udaktar hapa nchini vipo 11. Na kila chuo kina idadi maalumu ya watahiniwa kutoka clinical medicine watakao jiunga. Vyuo hivo vya serikali ni vi nne 1.Muhas 2.Udom 3.Udsm- mchas mbeya 4. Suza zanzibar hivi vya serikali ada ni nafuu 1.8 million mpk 3.1 million (kwa suza). Nafac kwenye hivi vyuo zina badirika kutokana na mwaka husika (TCU guide book huonesha number of sits) lakin hazi zidi nafasi 70 kwa vyuo vyote kwa ujumla. Kwa hiyo ww clinical officer ulihitim jua kua unagombania nafasi zisizo zidi 70 kupata nafasi ya kusoma udaktari kwenye chuo cha serikali ... Hapa lazima ume na GPA kuanzia 4.8 mpaka 5.0 na matokeo ya kidato cha nne yawe mazuri kupata nafasi.

Vyuo vya private na ada zake kwenye mabano 1.Sfuchas ifakara (4.5 million) 2.St joseph boko (6.1 million) 3. Mwanza university (6.7 million) 4.Bugando (5.4 million) 5. Kcmuco (5.4 million) 6.kampala (6.7 million) 7.habert kairuki(6.7 million) . Huku kwa ujumla nafasi hufika mpka 200 kutegemeana na mwaka (TCU guide book number of sits) kwaio kwa upande wa private jua unagombania nafasi 200 au pungufu na clinical officer wenzio kupata nafac ya kusoma udaktari lkn Ada huku ndo kikwazo kingine kwa watoto wa maskini. KWA UJUMLA KWA SASA NAFASI ZA CLINICAL OFFICER KUSOMA MD HAPA NCHINI HAZIFIKI 300.

Habar njema ni kua kuna kozi zingine kama 15 hutegemeana na guidebook ya mwaka husika 1. Clinical nutrition Udom 2. Health information sciences Udom 3. Bsc general nutrition open university 4. Bsc human nutrition SUA 5. Law moshi ushirika 6. Microbiology udsm 7. Biotechnology udsm 8.sociology 9.health management systems mzumbe 10. Family and consumer science SUA 11.physiotherapy 12.public health Zanzibar 13. Counseling and psychology 14. Dental surgery suza na n.k

Swala la kujiajiri .. cheti cha clinical officer hakiwezi kutumika kufungua chochote iwe zahanati, duka la dawa au maabara. Zahanati ni kuanzia ngazi ya AMO ndio unaweza fungua.

Fursa nyingine iliopo ni kuajiriwa private ambapo kwa sasa wamekua wanalipa watakavyo unakata CO analipwa 150k au 200k kama anafanya kazi za ndani. Inaudhi sana.


Sku hzi kwenye kila watu 100 hukosi clinical officer mmoja wamekua wengi sana. Wengine wamekua madaktari TIKTOK sasa ni mwendo wa live tu

TAFAKARI CHUKUA HATUA
Umeongea ukweli ila hizo program ulizoweka hauwezi kufananisha na clinical medicine
 
Serikali imeharibu hzi kozi za CO kwa kuruhusu udahili wa uwe alama D ...yahn serious mtu anaenda kusomea utabibu kwa kupata alama D.Nina experiences ya kufundisha mtu anayepata D huwa na uwezo mdogo sana wa kureason mambo na wengi huwa wanapata divisions 3.ukimpata mtu anasoma CO kwa selection ya alama D halafu kapata division 1 nimekaa pale.
Kwenye sekta ya afya wamezingua sana


Maana qualifications ni ndogo mno


Yaani wanazidiwa hata na walimu
 
Mkuu quality ya D ya 2015 kushuka chini......ni tofauti na quality ya D hzi za miaka hii....miaka hii ya one za saba kama njugu ukipata D sawa na hamna kitu
Sahihi, japo hata D ya miaka ya 2010 ilikuwa tough ziaidi
Inshort serikali inaharibu sana mfumo wa elimu Kwa kuingiza siasa
 
Kijana uliemaliza kidato cha nne au cha sita.. kabla ya kufanya maamuzi ya kusoma Diploma in clinical medicine yajue haya.

Clinical medicine ni kozi ya diploma ya utabibu (udaktari) ukisoma hii kozi utaweza kutibu baadhi ya magonjwa na kufanya upasuaji mdogo mdogo, kozi hii ni ya miaka mi 3. Kozi hii kwasasa inatolewa na vyuo zaidi ya 82 nchini.

Malengo makubwa mawili huwa yanafanya watu kusoma clinical medicine aidha kupata ajira wakiamini kua afya ina ajira nyingi na pili kujiendeleza kusoma udaktari wa binadamu (kwa ukubwa) au kozi zingine.

Hivi vyuo 82 vimekua viki dahili wanafunzi zaid ya 50 vingine 100 mpk 150 kwa mwaka. Sasa tuchukulie katika kila chuo kati ya hvyo 82 wahitimu clinical officers 50 (wastani) ina maana ni zaidi ya clinical officers 4100 wanazalishwa kila mwaka.
Kwa malengo ya kupata ajira za serikalini, serikali haijawahi kuajiri zaid ya clinical officer 2500 kwa mwaka tangu 2020 na kila mwaka idadi ya kuwaajir clinical officer inazid kushuka.

Kwa lengo la kusoma udaktari kwa ngazi ya digrii .. kwanza watambue vyuo vinavyoa digrii ya udaktar hapa nchini vipo 11. Na kila chuo kina idadi maalumu ya watahiniwa kutoka clinical medicine watakao jiunga. Vyuo hivo vya serikali ni vi nne 1.Muhas 2.Udom 3.Udsm- mchas mbeya 4. Suza zanzibar hivi vya serikali ada ni nafuu 1.8 million mpk 3.1 million (kwa suza). Nafac kwenye hivi vyuo zina badirika kutokana na mwaka husika (TCU guide book huonesha number of sits) lakin hazi zidi nafasi 70 kwa vyuo vyote kwa ujumla. Kwa hiyo ww clinical officer ulihitim jua kua unagombania nafasi zisizo zidi 70 kupata nafasi ya kusoma udaktari kwenye chuo cha serikali ... Hapa lazima ume na GPA kuanzia 4.8 mpaka 5.0 na matokeo ya kidato cha nne yawe mazuri kupata nafasi.

Vyuo vya private na ada zake kwenye mabano 1.Sfuchas ifakara (4.5 million) 2.St joseph boko (6.1 million) 3. Mwanza university (6.7 million) 4.Bugando (5.4 million) 5. Kcmuco (5.4 million) 6.kampala (6.7 million) 7.habert kairuki(6.7 million) . Huku kwa ujumla nafasi hufika mpka 200 kutegemeana na mwaka (TCU guide book number of sits) kwaio kwa upande wa private jua unagombania nafasi 200 au pungufu na clinical officer wenzio kupata nafac ya kusoma udaktari lkn Ada huku ndo kikwazo kingine kwa watoto wa maskini. KWA UJUMLA KWA SASA NAFASI ZA CLINICAL OFFICER KUSOMA MD HAPA NCHINI HAZIFIKI 300.

Habar njema ni kua kuna kozi zingine kama 15 hutegemeana na guidebook ya mwaka husika 1. Clinical nutrition Udom 2. Health information sciences Udom 3. Bsc general nutrition open university 4. Bsc human nutrition SUA 5. Law moshi ushirika 6. Microbiology udsm 7. Biotechnology udsm 8.sociology 9.health management systems mzumbe 10. Family and consumer science SUA 11.physiotherapy 12.public health Zanzibar 13. Counseling and psychology 14. Dental surgery suza na n.k

Swala la kujiajiri .. cheti cha clinical officer hakiwezi kutumika kufungua chochote iwe zahanati, duka la dawa au maabara. Zahanati ni kuanzia ngazi ya AMO ndio unaweza fungua.

Fursa nyingine iliopo ni kuajiriwa private ambapo kwa sasa wamekua wanalipa watakavyo unakata CO analipwa 150k au 200k kama anafanya kazi za ndani. Inaudhi sana.


Sku hzi kwenye kila watu 100 hukosi clinical officer mmoja wamekua wengi sana. Wengine wamekua madaktari TIKTOK sasa ni mwendo wa live tu

TAFAKARI CHUKUA HATUA
Unavyosema bro kama vile hao wanafunzi 4100 wanahitimu kweli.
Katika wanafunzi wanaodahiliwa nusu ya wanafunzi hufeli kuendelea kimasomo kwasababu kuu mbili eidha ada ama kufeli.
Asikudanganye mtu kuwa eti kisa umeenda jiandikisha CMT basi shwaa miaka mitatu umemaliza.
Na hiyo kujiunga bachelor ya MD lazima ufikie GPA ya 3.5.
Usidhani ni rahisi mwaka wa tatu ufikishe GPA ya 3.5,wengi huishia 2.5-3.0.
Wanaofikisha 3.5 kwenda juu huwa wachache sana.
Ndio maana hata serikali sababu moja wapo iliofanya kozi ya CMT kutokuwepo kwenye orodha ya kozi za kupewa mikopo ya vyuo vya kati kwasababu wanafunzi wa CMT wanaongoza kufeli kuliko kozi yeyote ile.
 
Back
Top Bottom