Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,271
Akili zenyewe ndo hizo za akina Ndugai😂Mgogo unaanzaje kuoa mchaga kwa mfano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili zenyewe ndo hizo za akina Ndugai😂Mgogo unaanzaje kuoa mchaga kwa mfano
Hio mil 7 ulimpa bila kujua unachokifanya ,swala la kukopesha Ni njia tu ma'mkwe aliitumia ili apate mzigo ila alikua anaomba.
basi h![]()
Kwa hiyo mama mkwe katumia utapeli kupata hiyo pesa ?Hio mil 7 ulimpa bila kujua unachokifanya ,swala la kukopesha Ni njia tu ma'mkwe aliitumia ili apate mzigo ila alikua anaomba.
[emoji23][emoji23]
Sio uchagani, ni muarusha ila matata sana na ni mlokole. Nimeshamjulia hanisumbui. Napiga kimya kila kitu nimebakiza salamu na kupeana taarifa muhimu basi.hivu
Wanatambika kwenye makabuli ?Siyo Wapalestina lakini wanatambika sana.
BwagamoyoKerege wapi mkuu tujuzane machimbo
Wangu alichoma vyeti vyote vya kazi na shule,vyuo sina mapenzi tena toka paleCheza na mijinamizi ya talaka (wachagga) wewe? Huyo alijitakia mwenyewe hivyo hastahili kuonewa huruma.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]si tayari anao?Bora uhonge mchepuko TU...Akuzalie mapacha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] connection ndio habari ya mjiniTena michepuko ya kerege inatoa twins, acha nipate connection
PoleeNacheka ila naogopa
Ulimpiga pipe?Mkuu nilikuwa nmeelewa japo nilijikaza, bahati mbaya nilidindisha, kwa sasa sio mamamkwe hata salamu hamna
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Migombani ndo wap mzeeUliyeoa "Mgombani" usijidai kutaka point 3 ukweni eti unasaidia shemeji sijui wakwe, utaumbuka mapema asubuhi. Jiimarishe kwenu! Mgombani hawanaga shukrani.
NB: Yamemkuta rafiki yangu kaoa Palestina, kachangia ujenzi wa nyumba na Kuna kipindi Mama mkwe aliomba akopeshwe 7m eti akipata pensheni atamrudishia mpaka leo hamna kitu. Jamaa kwao Dodoma (Bahi) bado wazazi wake wanalala nyumba ya Tembe!
*Jamaa Ndoa imevunjika anadai Chake (Deni 7m) wamemtoa nduki.
**USISEME HUKUTAHADHARISHWA MAPEMA.
NOTE: Inasemekana ANTENNA adimu Sana huko.
Tengeneza uzi kbs story inaonekana inavutiaKuna siku nilimkuta mamamkwe bafuni anaoga kwa bahati mbaya, daaa asee vagi lililotokea pale duuu sitosahau
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app