connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
Pesa Ndo kila kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini hakumpiga pipeTengeneza uzi kbs story inaonekana inavutia
Kakaako ni miongoni mwa maajabu 7 ya dunia 🤣🤣🤣!!!Huyu mbona Katoa M7 TU...Mimi Kaka yangu kajenga UKWENI nyumba nzuri kabisaa [emoji3][emoji3][emoji3]
Nilienda nikabaki nashangaa tu
Ni wale wale asikundanganye mtuIla nasikia wachaga wa Rombo sio Palestinian! Sijui ni kweli hili! Wao wana roho nzuri,sio mbaya sana
Nina Cousin (bamdo) wangu hapa Muarusha kaoa kanda ya ziwa. Jamaa bandidu kweli sijui guts anazitoa wapi.
Hataki ndugu yoyote wa mke aje kwake na akija akalale gesti sio kwake.
Anakuambia imeandikwa
"mke na mume watawaacha baba na mama na kuishi wenyewe" sasa hapo ndio anapojitetea[emoji38]
Daah. Hatari sanaMama Mkwe anataka pesa Shikamoo peleka kwenu huko Dodoma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu...nikopeshe 50K...mshahara ukitoka nakurudishia