Usitafute Sifa Ukweni. Wanakusanifu

Usitafute Sifa Ukweni. Wanakusanifu

1. Uliyeoa "Mgombani" usijidai kutaka point 3 ukweni eti unasaidia shemeji sijui wakwe, utaumbuka mapema asubuhi. Jiimarishe kwenu! Mgombani hawanaga shukrani.

NB: Yamemkuta rafiki yangu kaoa Palestina, kachangia ujenzi wa nyumba na Kuna kipindi Mama mkwe aliomba akopeshwe 7m eti akipata pensheni atamrudishia mpaka leo hamna kitu. Jamaa kwao Dodoma (Bahi) bado wazazi wake wanalala nyumba ya Tembe!
*Jamaa Ndoa imevunjika anadai Chake (Deni 7m) wamemtoa nduki

2. USISEME HUKUTAHADHARISHWA MAPEMA.

3. Inasemekana ANTENNA adimu Sana huko.
Nguvu ya mchagga ni UNAFIKI.

Atakuchewa vhekea, atajifanua mwema Kama Kuna kitu anataka kwako.

Akikipata hutaamini Kama ni yeye.
 
Nguvu ya mchagga ni UNAFIKI.

Atakuchewa vhekea, atajifanua mwema Kama Kuna kitu anataka kwako.

Akikipata hutaamini Kama ni yeye.
Yes, Kuna siku nimeenda Kenya eneo la Kajiado. Nilikuta wakikuyu wanabebesha punda mizigo mizigo, pumda anapigwa amejaa vidonda mwili mzima lakini hawajali.

Ndio nikagundua watu wana roho za namna gani
Kama wazungu tu [emoji3][emoji3]
 
Paundwe tume ya kitaifa. Kuchunguza na kutoa mapendekezo dhidi ya Wakwe
 
1. Uliyeoa "Mgombani" usijidai kutaka point 3 ukweni eti unasaidia shemeji sijui wakwe, utaumbuka mapema asubuhi. Jiimarishe kwenu! Mgombani hawanaga shukrani.

NB: Yamemkuta rafiki yangu kaoa Palestina, kachangia ujenzi wa nyumba na Kuna kipindi Mama mkwe aliomba akopeshwe 7m eti akipata pensheni atamrudishia mpaka leo hamna kitu. Jamaa kwao Dodoma (Bahi) bado wazazi wake wanalala nyumba ya Tembe!
*Jamaa Ndoa imevunjika anadai Chake (Deni 7m) wamemtoa nduki

2. USISEME HUKUTAHADHARISHWA MAPEMA.

3. Inasemekana ANTENNA adimu Sana huko.
Kutana na mwanamke kutoka machame ww hawanaga kitu inaitwa mapenzi sijui upendo wanachoangalia kwanza ni ulicho nacho wakukamue hadi ubaki na bukta lako la mtumba alafu ukifulia utimuliwe na makofi juu
 
Hivi unalalaje zaidi ya siku mbili ukweli.unachatije na mkwe?
 
Mkwe sio watu mie baba ake wife alikua ananizoea Sana mara kila baada ya siku mbili simu nyingi salamu mara ya kwanza nilikua napokea ila nilivyoana zimezidi nikawa sipokei alafu namuuliza wife Mzee amepiga alikua na shida gani baada ya hapo akaacha kupika kwangu na akiwa na shida anamwambia mwanae mie Wala siusiki kabisaa sitaki mazoea kabisaa
 
Back
Top Bottom