Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina changamoto ya paa fupi mnafanyaje Ili kubaki na nafasi
Hii imekaa unyama.
Agree yaani sebule maurembo kibao mpaka inatisha, we weka gypsum yako flat white shushia taa ya milioni mbili zile za urembo! Ukutani kuwe flat piga rangi nyeupe madirisha makubwa tia pazia za bei mbaya! Sebuleni tia kochi isiyo na makorokoro na meza ya mbao kali! Sehemu ya tv usiweke makorokoro tia ukutani tv ya inch 60 chini show case isiyo na mambo mengi. Katikati ya sebule tia zulia la bei mbaya!!! Sio hayo mapicha picha hata usafi unakua shida.Aisee sijui mm ni ushamba kitu chochote kikishakuwa na makorokoro mengi huwa nakikinahi fasta...... so na prefer zaidi simple kwa kila kitu katika maisha yangu!!
😅 Tunatofautiana katika kupenda vitu. Ndio maana mwingine anajenga ghorofa. Mwingine ñyumba ya chini.Agree yaani sebule maurembo kibao mpaka inatisha, we weka gypsum yako flat white shushia taa ya milioni mbili zile za urembo! Ukutani kuwe flat piga rangi nyeupe madirisha makubwa tia pazia za bei mbaya! Sebuleni tia kochi isiyo na makorokoro na meza ya mbao kali! Sehemu ya tv usiweke makorokoro tia ukutani tv ya inch 60 chini show case isiyo na mambo mengi. Katikati ya sebule tia zulia la bei mbaya!!! Sio hayo mapicha picha hata usafi unakua shida.
Gypsum board = pc 20 @ 20000Hii imekaa unyama.
gharama ni sh? kwa sebule 4m x 5m na dining 4m x 4m