Usitengeneze kawaida dari la nyumba yako, karibu tukupendezeshee

Usitengeneze kawaida dari la nyumba yako, karibu tukupendezeshee

e962a3a073b12a705a17ab44d8a29d99.jpg
 
kazi inavutia sana Troublemaker ungejaribu kuanisha gharama za material kwa moja ya picha ulizotuma. Sidhani ile uliyotaja itakuwa ni ufundi na material.
Pia unaweza kufanya kazi sehemu yoyote tz?
 
kazi inavutia sana Troublemaker ungejaribu kuanisha gharama za material kwa moja ya picha ulizotuma. Sidhani ile uliyotaja itakuwa ni ufundi na material.
Pia unaweza kufanya kazi sehemu yoyote tz?
Ni ngumu mpaka ufanye tathmini. Ya aina ya urembo na unakotakiwa kukaa.


Ila ukiwa tayari ni mtu kunipa ukubwa sehemu na aina ya urembo autakao then nampa hesabu.
 
Wakuu Karibuni,

Tunatengeneza na kudesign ceiling ya nyumba yako kwa mitindo mbali mbali utayoipenda ww. Kokote ndani ya Tanzania utafikiwa.

"Kazi tunapata kutokana na kazi, so hakuna kitu nazingatia kama ubora wa kazi. Ni bora nikaiacha kazi kuliko kuona hailipi halafu ukaifanya, mwishowe ikafanyika kwa kulipua."

bei inaathiriwa na vitu vingi.

1. ukubwa sehemu unakofungwa(nyumba/chumba)
2.design ya decoration husika (zinatofautiana bei)

ila kwa tips ndogo kama unahitaji nyumba yako yote iwe na urembo kila sehemu bei inaanzia million 1.2. kwa nyumba ya vyumba vitatu vya kulala, sebule, dining, korido jiko na sebule. (zingatia bei pia inaathiriwa na aina ya urembo utazochagua)

whatsapp, calls & normal text 0656735270

View attachment 2414118
Picha za kazi zangu ziko nyingi sana. Nitakuwa naendelea kuziongeza taratibu kwenye reply [emoji116][emoji116]na ambazo zitafanyika nitaendelea kuweka pia.

Hii bei ni kupiga mbao na board na kiskim mkuu?
 
Back
Top Bottom