Usiteseke na joto

Usiteseke na joto

Mo electro ceiling fan size 56 sh 85,000/=
 

Attachments

  • 35A53945-FF57-432D-B151-9ECEEAB3DB44.jpeg
    35A53945-FF57-432D-B151-9ECEEAB3DB44.jpeg
    138.7 KB · Views: 14
Samsung AC Inverter
Samsung Ac AR12TVH (btu 12)........1,350,000/=
Samsung Ac AR18TVH (btu 18) .........1,800,000/=
Samsung AC AR24TVH (btu 24) - 2,100,000/=*
02FF649E-FD5C-4534-837D-7DDE9002F8DA.jpeg
 
Katika kitu mnafeli wauza AC ni pamoja na kushindwa kuelezea utumiaji umeme wa AC yaani unauza kitu ambacho mteja anahitaji ila mashaka yake yapo kwenye consumption ya umeme.

Kwann msitest AC zenu zote halafu mje na clear report ya kila AC kwa matumizi maximum inatumia umeme kiwango gani ili mtu akifunga anajua anatumiaje.

Watz wengi tunajua AC zinakula umeme sana yaani kwa siku ikiwashwa full inakula unit 30 hicho ndicho tunahisi. Hebu fanyeni kutoa elimu.
 
Katika kitu mnafeli wauza AC ni pamoja na kushindwa kuelezea utumiaji umeme wa AC yaani unauza kitu ambacho mteja anahitaji ila mashaka yake yapo kwenye consumption ya umeme.

Kwann msitest AC zenu zote halafu mje na clear report ya kila AC kwa matumizi maximum inatumia umeme kiwango gani ili mtu akifunga anajua anatumiaje.

Watz wengi tunajua AC zinakula umeme sana yaani kwa siku ikiwashwa full inakula unit 30 hicho ndicho tunahisi. Hebu fanyeni kutoa elimu.
Kama unataka kufungiwa ac utapewa maelekezo zaidi baada ya fundi kutembelea eneo lako na kujua unataka ac yenye ukubwa gani

Swala la ac inatumia unit ngapi linategemea na mambo mengi huwezi toa jibu la moja kwa moja
 
Duh..!!! Unauza kitu hukijui..!!

CC Zemanda
Kuna muuzaji na mtu anayehusika na mambo ya technical
Mimi nauza vitu vingi sasa ufanye kila kitu na watu wengine wafanye nini
Jifunze specialization na division of labour

Mfano muuza fridge au tv hawezi jua technical aspect za hivyo vitu au muuza magari ukitakujua mambo ya technical aspect atakuunganisha na fundi

Na mwisho wa siku wewe sio mteja ndo maana unafanya dhihaka usiishie kumuota huyo mmoja ita na wengine wengi
 
Kuna muuzaji na mtu anayehusika na mambo ya technical
Mimi nauza vitu vingi sasa ufanye kila kitu na watu wengine wafanye nini
Jifunze specialization na division of labour

Mfano muuza fridge au tv hawezi jua technical aspect za hivyo vitu au muuza magari ukitakujua mambo ya technical aspect atakuunganisha na fundi

Na mwisho wa siku wewe sio mteja ndo maana unafanya dhihaka usiishie kumuota huyo mmoja ita na wengine wengi
Asante. Ila mtu wa sales kutojua vitu vidogo kama hivyo hapana aisee..!!

CC salmon appliances
 
MIDEA AIR CONDITIONER

MIDEA NON INVERTER
Btu 9000 =900,000/=
Btu 12000 =960,000/=
Btu 18000 =1,250,000/=
Btu 24000 =1,620,000/=

MIDEA INVERTER
Btu 12000 =1,100,000/=
Btu 18000 =1,450,000/=
Btu 24000 =1,800
29F59FE7-0103-423B-ADC6-A97FF7AECEB2.jpeg
,000/=
 
*Solstar Air Conditioner gharama zimejumuisha ufundi -
🔥🔥
Inverter
9000 BTU: 980,000/=
12000 BTU: 1,050,000/=
18000 BTU: 1,400,000/=
24000 BTU :1,670,000
4658F637-FD07-4CC1-A179-0E254BEBAA8A.jpeg
🔹Limited stock available 🔹

🔻2 years warranty on Product
10 years on Compressor🔺
 
Back
Top Bottom