Usitoe ahadi kuwa utamuoa au akuoe kabla hamjakubaliana. Kitakachokutokea utajuta

Usitoe ahadi kuwa utamuoa au akuoe kabla hamjakubaliana. Kitakachokutokea utajuta

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Mahusiano ni sehemu ya maisha yetu na kwa wale ambao wanaingia kwenye mahusiano ndio wanaongoza kuwa na ahadi kama kichwa cha habari.

Ahadi kuwa utamuoa au akuoe hii kitu usije kufanya kama hujatulia, bado ujapanga kufanya hivo.

Ahadi kuwa utamuoa au akuoe ina matatizo makubwa mpaka wengine kufikia kurogana au kufanyiana jambo baya sana.

Watu wengi hili neno la ahadi kuwa utamuoa au akuoe wanaliingiza kwenye kuwapata wenza wao kwa haraka. Ukiangalia hata fomula ya kutongoza uwezi kosa hilo neno kwenye maneno 30.

Ahadi upelekea watu kuwa maadui pale wasipo fanikisha.

IMG_2751.jpg
 
Dunia n uwanja wa fujo kila mtu ananjia anayoipenda kuitumia ambayo n Rahisi kwake yeye""
Mahusiano ni sehemu ya maisha yetu na kwa wale ambao wanaingia kwenye mahusiano ndio wanaongoza kuwa na ahadi kama kichwa cha habari.

Ahadi kuwa utamuoa au akuoe hii kitu usije kufanya kama hujatulia, bado ujapanga kufanya hivo.

Ahadi kuwa utamuoa au akuoe ina matatizo makubwa mpaka wengine kufikia kurogana au kufanyiana jambo baya sana.

Watu wengi hili neno la ahadi kuwa utamuoa au akuoe wanaliingiza kwenye kuwapata wenza wao kwa haraka. Ukiangalia hata fomula ya kutongoza uwezi kosa hilo neno kwenye maneno 30.

Ahadi upelekea watu kuwa maadui pale wasipo fanikisha.

 
Kuna mtu kapigwa tukio hapa ila naona anazunguka mbuyu..

......Yaani kapigwa na kitu kizito kwenye FUVU.
 
Back
Top Bottom