Sawa nimekuelewa Mkuu,ni sawa tu vyovyote tukichukuliwa,ila mahari inawapasa mtoeNdio maana nikasema kuwa kuna tofauti ya mtu na mnyama, mtu hamilikiwi ila mnyama anamilikiwa.
Faiza anasema huko shuleni mnaenda kusomea ujinga.
Kisheria hata mahakamani hakuna statement ya kumiliki mtu.
Ila kizamani kwa vile Mwanamke hakuwa mtu bali alikuwa sawa na mnyama ndio maana alinunuliwa na ndio kuna kauli kama hizo za kumilikiwa.
Nimekufuatilia sana, nimegundua hauko sawa kisaikolojia na una imani potofu
Hii ni hatari sanaMahali ni shukrani
We utamchukua binti wa mtu akuzalie watoto wa u bin wako bure
Akupikie bure
Akufulie bure
Utelezi bure kadri unavojisikia
Mwanaume lijali unalipa mahali kwa shukrani kwa familia ya mkeo
Hivi huko Dar wanaume wameisha?
Yaani mwanaume lijali unaona ushujaa kutolipa mahali ya mkeo
Basi olewa wewe utolewe mahali
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama umenisoma ukanielewa,umri wako leo mwenye mawazo haya kama umeokota binti wa watu huko ukakokotana nae kwenu bure ukasema ni mkeo kuna umri unakuja utajiona mjinga kwa ulichokifanya.Kwa upande wa mahari ni hapana.
Hapa Tanzania na nchi zingine wapo mamilioni ya Watu wanaishi kama mke na mume na hawajatoa mahari.
Hapa umepuyanga leo MAHALI siyo kuuza Bali ni mpango dhabiti ili mwanaume ajue kuwa huyo mkewe hakutokea tu from no where Kuna watu walipigana mpaka kufikia hapo alipo .
Kumlea mtoto wa kike na kufikia hatua akaonwa na kufaa kuwa mke siyo jambo la lelemama na dogo
Mahali ilipwe hii pia inadhihirisha kama wazazi hawamtaki mwanaume wanaweka mahali ya juu ashindwe ili aolewe na mwingine basi
Vijana lipeni mahali mke asiyelipiwa mahali ni mwepesi sana na hata ukweni mume asiyelipa mahali ni mwepesi mno
Lipa mahali jipe daraja la juu
Mke siyo bidhaa kama bidhaa zingine ila ni bidhaa Bora Kwa matumizi
Hii ni hatari sana
Mwanaume lipa mahali upate heshima kote kote lingana na uwezo wako
Kama umenisoma ukanielewa,umri wako leo mwenye mawazo haya kama umeokota binti wa watu huko ukakokotana nae kwenu ukasema ni mkeo kuna umri unakuja utajiona mjinga kwa ulichokifanya.
Au kamuulize baba yako kama dada zako hakuwaoza kwa mahari?yeye kwanini hakuwagawa bure dada zako utajua namaanisha nini.
Sawa nimekuelewa Mkuu,ni sawa tu vyovyote tukichukuliwa,ila mahari inawapasa mtoe
Sawa MkuuKwa Watu waliogizani ni sawa kabisa kama ulivyosema. Ila kwa walionuruni huko tumetoka.
Hata zamani Wanawake wenzako walijivunia kufanyiwa tohara (kukeketwa) waliokuwa na mawazo tofauti kama sisi walionekana wajinga lakini mpaka muda huu ukweli umebainika kuwa nani alikuwa mjinga.
Sasa miaka 100 ijayo itafahamika kutoa mahari ni upuuzi au ni haki.
Huwezi mnunua mtu kwa visingizio vya kijinga, ati sijui heshima ya mwanaume, sijui kujua mwanaume anauwezo wa kuhudumia au kaa. Yaani sababu za bara la giza ni za kitoto sana
Huyu dogo ni mgonjwa wa akili asiyejielewaKama umenisoma ukanielewa,umri wako leo mwenye mawazo haya kama umeokota binti wa watu huko ukakokotana nae kwenu ukasema ni mkeo kuna umri unakuja utajiona mjinga kwa ulichokifanya.
Au kamuulize baba yako kama dada zako hakuwaoza kwa mahari?yeye kwanini hakuwagawa bure dada zako utajua namaanisha nini.
Sawa Mkuu
Huyu dogo ni mgonjwa wa akili asiyejielewa
Ndivyo nitakavyofanya Mkuu,asante kwa ushauriNawe kauze binti zako ili uwape thamani.
As long as hatufahamiani kwamba utaweza kunithibitishia hilo na sizijui mila za kwenu tuhitimishe kwa kusema ninyi ni jamii ya kipekee.Kwetu hatutoi mahari wala kupokea.
Zipo jamii nyingi hazitoi mahari hasa jamii za ulimwengu wa kwanza. Kwa hiyo hizo jamii nazo zikifika umri wa utu uzima zinajiona wajinga?
Embu kuweni serious Wakuu
Hili jambo inabidi liishe. Mila za kijinga inabidi zikomeshwe.Kwa Watu waliogizani ni sawa kabisa kama ulivyosema. Ila kwa walionuruni huko tumetoka.
Hata zamani Wanawake wenzako walijivunia kufanyiwa tohara (kukeketwa) waliokuwa na mawazo tofauti kama sisi walionekana wajinga lakini mpaka muda huu ukweli umebainika kuwa nani alikuwa mjinga.
Sasa miaka 100 ijayo itafahamika kutoa mahari ni upuuzi au ni haki.
Huwezi mnunua mtu kwa visingizio vya kijinga, ati sijui heshima ya mwanaume, sijui kujua mwanaume anauwezo wa kuhudumia au kaa. Yaani sababu za bara la giza ni za kitoto sana
Ndivyo nitakavyofanya Mkuu,asante kwa ushauri
Sawa mkuuKila la Kheri.
Ila kwa kizazi kinachokuja ninauhakika hiyo mahari utaisikia kwenye hadithi zenu za kijadi kama mambo ya ukeketaji tuu
As long as hatufahamiani kwamba utaweza kunithibitishia hilo na sizijui mila za kwenu tuhitimishe kwa kusema ninyi ni jamii ya kipekee.
Na kila jamii ina taratibu zake huwezi kuhamisha taratibu zenu kwa wasiohusika acha wale wenye tamaduni hizo wafanye ninyi bakini na tamaduni zenu.
Hili jambo inabidi liishe. Mila za kijinga inabidi zikomeshwe.