Usitoe mahari, epuka mila potofu

Usitoe mahari, epuka mila potofu

Ndio maana nikasema kuwa kuna tofauti ya mtu na mnyama, mtu hamilikiwi ila mnyama anamilikiwa.

Faiza anasema huko shuleni mnaenda kusomea ujinga.
Kisheria hata mahakamani hakuna statement ya kumiliki mtu.

Ila kizamani kwa vile Mwanamke hakuwa mtu bali alikuwa sawa na mnyama ndio maana alinunuliwa na ndio kuna kauli kama hizo za kumilikiwa.
Sawa nimekuelewa Mkuu,ni sawa tu vyovyote tukichukuliwa,ila mahari inawapasa mtoe
 
Mahali ni shukrani
We utamchukua binti wa mtu akuzalie watoto wa u bin wako bure
Akupikie bure
Akufulie bure
Utelezi bure kadri unavojisikia
Mwanaume lijali unalipa mahali kwa shukrani kwa familia ya mkeo
Hivi huko Dar wanaume wameisha?
Yaani mwanaume lijali unaona ushujaa kutolipa mahali ya mkeo
Basi olewa wewe utolewe mahali

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni hatari sana

Mwanaume lipa mahali upate heshima kote kote lingana na uwezo wako
 
Kwa upande wa mahari ni hapana.
Hapa Tanzania na nchi zingine wapo mamilioni ya Watu wanaishi kama mke na mume na hawajatoa mahari.
Kama umenisoma ukanielewa,umri wako leo mwenye mawazo haya kama umeokota binti wa watu huko ukakokotana nae kwenu bure ukasema ni mkeo kuna umri unakuja utajiona mjinga kwa ulichokifanya.

Au kamuulize baba yako kama dada zako hakuwaoza kwa mahari?yeye kwanini hakuwagawa bure dada zako utajua namaanisha nini.
 
Hapa umepuyanga leo MAHALI siyo kuuza Bali ni mpango dhabiti ili mwanaume ajue kuwa huyo mkewe hakutokea tu from no where Kuna watu walipigana mpaka kufikia hapo alipo .

Kumlea mtoto wa kike na kufikia hatua akaonwa na kufaa kuwa mke siyo jambo la lelemama na dogo

Mahali ilipwe hii pia inadhihirisha kama wazazi hawamtaki mwanaume wanaweka mahali ya juu ashindwe ili aolewe na mwingine basi


Vijana lipeni mahali mke asiyelipiwa mahali ni mwepesi sana na hata ukweni mume asiyelipa mahali ni mwepesi mno

Lipa mahali jipe daraja la juu

Mke siyo bidhaa kama bidhaa zingine ila ni bidhaa Bora Kwa matumizi

Kitu chochote kinachonunulika linafanana na bidhaa. Na thamani yake inapimika.
Mtu hanunuliwi.

Hapo mwisho nashukuru umesema wazi kuwa mke ni bidhaa bora kwa matumizi.
Lakini kwetu mke ni mtu na kamwe hanunuliwi wala kununulika.
 
Kama umenisoma ukanielewa,umri wako leo mwenye mawazo haya kama umeokota binti wa watu huko ukakokotana nae kwenu ukasema ni mkeo kuna umri unakuja utajiona mjinga kwa ulichokifanya.

Au kamuulize baba yako kama dada zako hakuwaoza kwa mahari?yeye kwanini hakuwagawa bure dada zako utajua namaanisha nini.

Kwetu hatutoi mahari wala kupokea.

Zipo jamii nyingi hazitoi mahari hasa jamii za ulimwengu wa kwanza. Kwa hiyo hizo jamii nazo zikifika umri wa utu uzima zinajiona wajinga?

Embu kuweni serious Wakuu
 
Sawa nimekuelewa Mkuu,ni sawa tu vyovyote tukichukuliwa,ila mahari inawapasa mtoe

Kwa Watu waliogizani ni sawa kabisa kama ulivyosema. Ila kwa walionuruni huko tumetoka.

Hata zamani Wanawake wenzako walijivunia kufanyiwa tohara (kukeketwa) waliokuwa na mawazo tofauti kama sisi walionekana wajinga lakini mpaka muda huu ukweli umebainika kuwa nani alikuwa mjinga.

Sasa miaka 100 ijayo itafahamika kutoa mahari ni upuuzi au ni haki.

Huwezi mnunua mtu kwa visingizio vya kijinga, ati sijui heshima ya mwanaume, sijui kujua mwanaume anauwezo wa kuhudumia au kaa. Yaani sababu za bara la giza ni za kitoto sana
 
Kwa Watu waliogizani ni sawa kabisa kama ulivyosema. Ila kwa walionuruni huko tumetoka.

Hata zamani Wanawake wenzako walijivunia kufanyiwa tohara (kukeketwa) waliokuwa na mawazo tofauti kama sisi walionekana wajinga lakini mpaka muda huu ukweli umebainika kuwa nani alikuwa mjinga.

Sasa miaka 100 ijayo itafahamika kutoa mahari ni upuuzi au ni haki.

Huwezi mnunua mtu kwa visingizio vya kijinga, ati sijui heshima ya mwanaume, sijui kujua mwanaume anauwezo wa kuhudumia au kaa. Yaani sababu za bara la giza ni za kitoto sana
Sawa Mkuu
 
Kama umenisoma ukanielewa,umri wako leo mwenye mawazo haya kama umeokota binti wa watu huko ukakokotana nae kwenu ukasema ni mkeo kuna umri unakuja utajiona mjinga kwa ulichokifanya.

Au kamuulize baba yako kama dada zako hakuwaoza kwa mahari?yeye kwanini hakuwagawa bure dada zako utajua namaanisha nini.
Huyu dogo ni mgonjwa wa akili asiyejielewa
 
Kwetu hatutoi mahari wala kupokea.

Zipo jamii nyingi hazitoi mahari hasa jamii za ulimwengu wa kwanza. Kwa hiyo hizo jamii nazo zikifika umri wa utu uzima zinajiona wajinga?

Embu kuweni serious Wakuu
As long as hatufahamiani kwamba utaweza kunithibitishia hilo na sizijui mila za kwenu tuhitimishe kwa kusema ninyi ni jamii ya kipekee.

Na kila jamii ina taratibu zake huwezi kuhamisha taratibu zenu kwa wasiohusika acha wale wenye tamaduni hizo wafanye ninyi bakini na tamaduni zenu.
 
Kwa Watu waliogizani ni sawa kabisa kama ulivyosema. Ila kwa walionuruni huko tumetoka.

Hata zamani Wanawake wenzako walijivunia kufanyiwa tohara (kukeketwa) waliokuwa na mawazo tofauti kama sisi walionekana wajinga lakini mpaka muda huu ukweli umebainika kuwa nani alikuwa mjinga.

Sasa miaka 100 ijayo itafahamika kutoa mahari ni upuuzi au ni haki.

Huwezi mnunua mtu kwa visingizio vya kijinga, ati sijui heshima ya mwanaume, sijui kujua mwanaume anauwezo wa kuhudumia au kaa. Yaani sababu za bara la giza ni za kitoto sana
Hili jambo inabidi liishe. Mila za kijinga inabidi zikomeshwe.
 
As long as hatufahamiani kwamba utaweza kunithibitishia hilo na sizijui mila za kwenu tuhitimishe kwa kusema ninyi ni jamii ya kipekee.

Na kila jamii ina taratibu zake huwezi kuhamisha taratibu zenu kwa wasiohusika acha wale wenye tamaduni hizo wafanye ninyi bakini na tamaduni zenu.

Hakuna cha mila wala nini.
Hizo mila zingekuwepo kusingekuwa na Ukristo na uislamu katika hizo jamii mnazoziita zinamila.

Mbona siku hizi hamkeketi na wakati ilikuwa mila?
 
Back
Top Bottom