The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 6,108
- 21,140
Wewe hata sijui kama unajielewa!Hakuna cha mila wala nini.
Hizo mila zingekuwepo kusingekuwa na Ukristo na uislamu katika hizo jamii mnazoziita zinamila.
Mbona siku hizi hamkeketi na wakati ilikuwa mila?
Uwe na weekend njema mzee.