Usitoe sadaka, umeshatoa

Yaani watu wa Jf sijui huwa wanaogopa kuonekana wanapinga. Mna kazi ya ku like na kusema tu kweli, ni sawa kabisa. Yaani Mtu Kaja
Na story tu hana hata kifungu alicho
Quote.

Mimi Nataka mtoa mada unirekebishe kwenye hili neno La biblia ambalo ni
malaki 3:8-12 inamaana wewe ndo unaakili Kuliko hilo neno? Na nyie wengine Mnaomtetea. Someni kwanza hilo neno.
 
Tunakubaliana sote kuwa yuko mtu ambae ametuumba sisi wote, viumbe vyote, vitu vyote vilivyoko angani na ardhini. Kwa kifupi ni kwamba Mungu ameumba vyote na ni vyake yeye mwenyewe, ametupa bure na ataendelea kutoa kwa amtakae yeye. Swali ni je, huyu Mungu mwenye vitu vyote hivi anahitaji sadaka? je. sadaka tunazozitoa zinakwenda kwake? je, yuko anaekula sadaka hizi kwa niaba ya Mungu?

Ndiyo maana tunasema sadaka hizi yafaa ziwasadie watu kama mchango wetu katika kuziba mapungufu madogomadogo tuliyonayo kama binadamu.

Kama kuna mtu anaumwa na hana namna ya kujitibu ni vema tumtolee sadaka zetu akatibiwe, maana mungu hatamletea machela ya kumbeba kwenda kwenye matibabu kama vile ambavyo Mungu hatakubeba kwenda chooni ukajisaidie ila sisi binadamu tunaweza kumbeba mwenzetu kwenda chooni, mungu hatamletea mtu chakula ila sisi tunaweza kumpa mwenzetu chakula, nk.

Usitoe pesa madhabahuni isiyokuwa na maelezo ya nani anahitaji sadaka zetu.
 
Sadaka unazopeleka kwa mizimu, je hiyo mizimu inatumia wapi sadaka? Unapoenda kuwasaidia yatima na wajane umetenda jambo jema kwa Mungu, unapowasaidia wazazi wako ni jambo jema mbele za Mungu na ndio anavyotaka lakini usijeacha kupeleka sadaka madhabahuni kwa kuhani ni agizo la Mungu kama unaamini katika Mungu, na kama uamini endelea na njia Yako, na ni kweli kuhani atakula lakini ukipatwa na shida ya kiroho mbona huwa hujiulizi ulizi, maswali ya sadaka yangu inaliwa??
 
KILA kitu kipo wazi kwa aliyemuumini apotoki, zaidi unaweza jifunza zaidi kuhusu sadaka.Mayatima,wajane,wagonjwa, wafungwa na wahitaji wengine awajaachwa hewani namna ya kuwasaidia. Labda utambue kuna sadaka za aina gani. Mungu apokei cash yeye ni toshelevu bali upokea nia ( utoaji )
 
Humu kuna watu ni wabishi mno,

Wana akili ila hawataki kujifikirisha,
Ukitumia hio akili kichwa kitauma?
Mungu akukupa akili iwe mzigo.

Dini ni biashara kama biashara zingine..

Hakuna cha padri,mchungaji ama nani,wote yatupasa kufanya kazi.

Ni upuuzi kuona kanisa linakandamiza,linawanyonya masikini mpaka tone la mwisho bila hata huruma..

Mungu wetu sio masikini kiasi hichi wala haihitaji hizo pesa...ni wapuuzi tu wachache.
 
Kuhani hata kwenye mazishi atazunguusha bakuli TU, hajali ni msiba au sherehe bakuli liko palepale, unapoumwa huhitaji maombi ya mtu mwingine, bali unatakiwa kumshukuru na kuamini kuwa Mungu anaujua mwisho wako na kupata msaada wa matibabu, chakula, na faraja kutoka kwa wenzio (sadaka).
 
Wanakuimbisha wimbo wa toa Ndugu toa Ndugu.... kipuuzi kabisa ili waokote hela yako.
 
Ibrahim alitoa sadaka kwa mungu. Wana wa Israel walitoa sadaka kwa mungu, daudi na Suleiman pia. Halafu unakuja hapa kutwambia tusitoe sadaka[emoji706][emoji706]
Kondoo aliyemtoa sadaka kala Mungu au watu waligawana nyama wakala wenyewe?
 
Naona kama vile mleta mada ndo haelewewi
Hebu nieleweshe, baada ya kuitumbukiza ile hela yako pale kwenye kihenge madhabahuni Mungu ataipataje, itapaa, Mungu atashuka kuichukua au itapotelea wapi? Tena wale mabaladhuli wala sadaka wanakutaka uitoe hata mkono wako wa kushoto usiione wala kujua ni bei gani, maana yake msijue mmetoa ngapi na hakuna audit wala record yoyote. mazuzu yanatoa na kuondoka zao. Mabaladhuli wanakwambia kuwa "Mungu atakuzidishia pale ulipotoa", Baada ya kuona kuna dalili ya maskini kuhoji kwanini wanakamuliwa, wanawajibu kuwa "aliyenacho ataongezwa" Hii yote ni mistari iliyochomekwa na wala sadaka.

Ukweli sadaka pekee itakayokuongezea muda mrefu wa kuishi na baraka ni ile unayowapa wazazi wako tu basi, kwakuwa kile walichokutendea huwezi kuwarudishia hata ungekuwa mwema au tajiri namna gani. Watu wengine wote unaweza kuwafanyia kama walivyokufanyia isipokuwa wazazi na Mungu tu.

Watu wengi huwa hawajui kuwa tendo la ndoa sio starehe hata kidogo, ni tendo la hatari sana na baya sana ingawaje watu wanalifurahia lakini wanaumia bila kujua. Yafuatayo ndiyo mabaya ya sex ambayo yanampa hadhi baba kuitwa baba na kustahili sadaka za watoto wake:

1. Kumtafuta na kumpata mwanamke wa kuoa ilikuwa na inapaswa kuwa ni shughuli nzito sana kwa wanaume. Atatabika sana hadi ifikie wakati anaweza kulala nae na kumpanda.

2. Tendo la ndoa (sex): Tendo hili ni la hatari mno kwa mwanaume kwakuwa linatumia nguvu nyingi sana za mwanaume, nguvu anayopoteza mwanaume kusex hadi kutoa mbegu mara moja tu ingeweza kutumika kwa kutembea umbali wa maili 11. takribani kilometa 16 hivi kwa miguu. baada ya tendo la ndoa baba atajisikia kuchoka sana, kiu, njaa na mwepesi. Baba ni lazima afike kileleni ili kutoa mbegu ili azae, lakini mama sio lazima afike kileleni ili kupata ujauzito, hivyo hatumii nguvu nyingi sana kama baba wakati wa tendo.

3. Mbegu (manii): Mbegu za kiume zinatengenezwa kwa protein ile grade I kabisa, yaani protein nzuri ya mwanaume baada ya balehe inakwenda kutengeneza mbegu za kiume, hivyo kusababisha mwili wake kuchakaa kama hatapata chakula kizuri na kupunzika, sababu hii inapunguza kinga ya mwili ya baba kiasi cha kumfanya ashindwe kuhimili misukosuko mingi kama hatapata chakula kingi na bora na matunzo yaliyokamilika. Wengi wanakonda wakati wa honey moon. Jambo hili linawapunguzia kinga ya mwili, kujenga mwili, akili, kuzeeka mapema na umri mfupi.

4. Magonjwa ya ngono: Ili kuzaa lazima baba ufanye tendo la ndoa pekupeku, kwenye huo mchakato wakina baba wengi huwa wanaambukizwa magonjwa mabaya.

5. Kutunza familia. Baba wengi lazima watoke wakatafute na kuleta riziki kwenye familia hata kama wanaumwa.
6. Ulinzi wa familia unamtegemea baba zaidi, ajenge mji na kuulinda.

Hii ndio maana atakuwa baba hata kama alikutelekeza.

Mama: Bila shaka kila mtu anafahamu namna mama alivyochangia hadi uwe ulivyo sasa. tendo la ndoa, mimba miezi 9, kuzaa kwa uchungu, kunyonyesha na kulea usife, usiungue, usitumbukie, usipasue jicho, nk.

mambo haya ndiyo maana Mungu mwenyewe alitoa agizo la kuwaheshimu watu hawa.
 
Wakati wa Yesu mjane alitoa sadaka senti mbili hekaluni Mbele ya Yesu. Na Bwana akasema huyu ametoa zaidi. Ilikuwa hekaluni ( kanisani) na walitoa fedha sio kuku
 
Wakati wa Yesu mjane alitoa sadaka senti mbili hekaluni Mbele ya Yesu. Na Bwana akasema huyu ametoa zaidi. Ilikuwa hekaluni ( kanisani) na walitoa fedha sio kuku
hiyo hela ndogo aliyotoa majene alikwenda wapi, umeliwa na nani, ilifanyia nini? utenzi huu umeandikwa na wanufaika wa sadaka, wanajua kuwa maskini kwenye jamii ndio wengi, hivyo waliwatengenezea ulimbo wa kunasia vijisenti vyao walivyovifundika kwenye pindo la nguo. Yaani hawaachi kitu, lete hata hiyo!!!! kwakuwa wa hivyo wako wengi basi wakikusanya senti 10 kwa watu 3,000,000 kila wiki kila mwezi na kila mwaka kwa miaka 20 wako mbali. Kaka jambo kubwa kwako ni uzito wa imani yako kwenye kila jambo. Imani yako kwa Mungu ikiwa kubwa ni sawa na kuwa Antena nzuri ya dish inayonasa mavimbi mengi na kupata sauti na picha angavu (crystal clear) lakini ukiwa na imani legelege ni sawa na kuwa na antena ya chadema inayonasa mawimbi hafifu ya sauti na picha na kupata chenga nyingi wakati wenzako wakifurahia matangazo. Juhudi, maarifa na Imani yako ndio itakayo kukutanisha na mungu, kukuponya na kukutendea miujiza kwenye maisha sio sadaka. Hata hiyo sadaka utaiona inafanyakazi kama juhudi, maarifa na imani yako ni kubwa na thabidi. Yaani kutoa sadaka ni "confounding factor" kwenye kupata mema. Haiwezekani utoe sadaka na kwenda kulala halafu usubiri kupata mazao mengi yaliyoletwa na sadaka.

Imani kubwa aliyonayo mtoto kwa wazazi wake ndiyo iliyosababisha anyonyeshwe, alishwe, atawazwe akijichafua, avalishwe, atibiwe na kusomeshwa bure na wazazi wake bila hata ya kuwaomba. Mtoto aliamini kuwa yule ndiye baba na mama yake na kuwakataa watu wengine hata kama wanafanana na baba na mama yake, hata kama walikuwa matajiri kuliko wazazi wake, hata kama walikuwa na nyumba nzuri kuliko ya wazazi wake. Mtoto aliamini na kukubali kuwa hawa ndio wazazi wangu sio wale, hapa ndio kwetu sio kule kwa wale. Hivyo, baada ya imani kubwa hii ya mtoto kwa wazazi wake, na wazazi walimpa vitu bure kabika bila kuomba. Wazazi wakajitwisha jukumu wao wenyewe la kumlea mtoto wao bila ya mtoto kuwaomba wamlee wala kumnunulia nguo ya sikuu, na mtoto kazi yake ni kusema asante baba, asante mama, asante kaka, asante..... Imani kubwa kwa Mungu ndivyo inavyofanyakazi pia, kazi yako kubwa ni kutumia uwezo aliokupa Mungu kwa 100%, kumshukuru na kumwamini Mungu tu baaaaaaasi!!! hakuna sadaka kwaajili ya Mungu, bali kuna sadaka kwaajili ya binadamu wenzako na viumbe wengine wenye uhitaji.
 
Nakaribia kukuelewa kumbe biblia huikubali, Kama huiamini itanisaidia namna ya kujadiliana, nilidhani naongea na mkristo asiyejua umuhimu wa kupelekea sadaka madhabahuni
 
Kama ungeamini biblia inasema wahashimu baba na mama yako update heri, uishi siku nyingi Duniani, hizi ni baraka za kimwili kwa yeyote atakayefanya awe mwabudu Shetani mchawi atazipata.

Yesu akaongeza: wapeni watu vitu na ninyi mtapewa na watu vitu vya kujazwa na kushindiliwa na kusukwasukwa. Hizi ni baraka kwa kila atakaewasaidia watu na yeye atasaidiwa na watu naam zaidi ya msaada aliotoa

Lakini kutoa madhabahuni Anasema: na sadaka yako ilipo ndipo itakapokuwepo na roho yako, ukitoa kwenye mashabahu ya kweli unatakaswa na ukifa roho yako itakwenda huko, ukitoa kwenye mashabahu ya majini, mizimu, masanamu nk roho yako itakwenda hukohuko utakapokufa

Kwa hio kuwasaidia wazazi, ndugu jamaa, marafiki na mtu yeyote mwenye shida kunakupa baraka, heri za hapa Duniani, hazikupeleki mbinguni, lakini kwenye madhabahu unamtolea Mungu mwenyewe, anabariki mwili na roho yako
 
Nakaribia kukuelewa kumbe biblia huikubali, Kama huiamini itanisaidia namna ya kujadiliana, nilidhani naongea na mkristo asiyejua umuhimu wa kupelekea sadaka madhabahuni

Nakaribia kukuelewa kumbe biblia huikubali, Kama huiamini itanisaidia namna ya kujadiliana, nilidhani naongea na mkristo asiyejua umuhimu wa kupelekea sadaka madhabahuni
kwenye uzi huu sikusudii kupinga vitabu vya dini, lakini siwezi kuacha kusema kuwa kwenye vitabu hivi kuna ukweli ambao umechanganywa na uongo kwa maslahi ya kundi fulani, lakini kuna ukweli ambao unahubiriwa vibaya kwa maslahi ya kundi fulani na kuna ukweli ambao unatumiwa vibaya kwa maslahi ya watu fulani. Lakini ni kweli pia kuwa Mungu ni mkubwa sana na mambo yake ni mengi saaana kuweza kuandikwa yote na mtu au kundi la watu yakaisha na kuwekwa kwenye kitabu kimoja tu ambacho unaweza kukibebea kwapani kama ukipenda.

Ukweli wote kuhusu Mungu haujulikani na hakuna awezae kuujua na kuuandika, bali ukubwa wa Mungu utauona, kuusikia, kuuonja, kuunusa, kuupapasa na kuu feel tu unapojiangalia, jisikia, kujigusa na ku ji feel wewe mwenyewe, viumbe wengine, anga na ardhi. Kilichoandikwa kuhusu Mungu ni kidogo sana kuliko mbegu ya haladali. Kuna watu wapumbavu wanaosema eti wanautafuta uso wa Mungu, wapuzi sana hawa ambao wanakimbia hata mende, mijumsi, nyoka, simba, na nge. kama unamkimbia jongoo unawezaje kusimama mbele ya uso wa Mungu aliyeviumba viumbe vyote wakiwemo mende, nyoka, panya, papa, tembo na mamba? Waache upuuzi wa kuutafuta uso wa Mungu.

Kifupi, Mungu yupo hata bila vitabu ambavyo hakuviandika yeye. Kuna siku nilimuona mtu anatumia kitabu cha Mungu kuagulia watu nyota zao!!! nikasema, heeee ni hivi vimo?
 
kama Yesu alikuwa anaipokea sadaka ya pesa basi alikuwa anaipokea kama msaada kutoka kwa wanaomuamini yeye na kile anachokisema, kihubiri. Lakini kile alichokuwa anakihubiri Kulikuwa na watu walikiamini bila kutoa sadaka na Kuna waliokiwa wanatoa sadaka lakini hawakiamini. Hivyo sadaka ni malipo kwa mhubiri sio kwaajili ya Mungu, Yaani mhubiri apate kula, apate kuvaa, pate kusafiri, apate kusomesha,apate kula na kusaza. Na unaweza kutoa sadaka kubwa TU kama fahari, mbwembwe, kujionyesha, kusafisha uharamia wako TU basi lakini sio kwamba unatoa kwaajili ya Mungu. Mungu na sadaka sio kitu kimoja bro.
 
Wengi wanakuja inbox kuuliza dalili za mtu aliyebarikiwa, Iko hivi. Watu waliobarikiwa wanazaliwa wakiwa wameshabarikiwa, wameumwa na Mungu wakiwa wmebarikiwa tayari. Ni muda ukifika watu wataziona alama na dalili za kubarikiwa kwake. Kubarikiwa hakutegemei sadaka na Wala sakada haisababishi mtu kubarikiwa, mwisho wa sadaka ni wewe pia kupokea sadaka kwa watu wengine ukiwa na uhitaji wa msaada. Ukitoa sana kwa wezakako na wewe utapokea sana kutoka kwa wenzako, sio kutoka kwa Mungu, maana Mungu alishamalizana na wewe kitambo, anachosubiri kwako ni kumshukuru na kumwamini,

Alama kuu za kubarikiwa ni wingi (quantity) na thamani (quality) kuliko wengine au kama wengine waliobarikiwa. Mtu aliyebarikiwa hawazei kuwa na vitu vichache au kukosa kabisa, na mtu aliye barikiwa hawezi kupewa vitu dhaifu hata kidogo.

Mali kuu mbele za Mungu ni watu, mifugo, mazao na busara (hekima). Hivyo, mwanaume aliyebarikiwa ana

1. wanawake na watoto wengi. Au mke mmoja lakini aliyezaa watoto wengi, zaidi 6 na kuendelea,
2. Watoto wema wasikivu, wenye afyav ya mwili na akili na wanaorithi tabia na kazi za baba na mama Yao. Like father like son. Mtu aliyebarikiwa hawezi kuwa na mtoto 1 au 2.
3. Mifugo mingi, inayozaa sana na isiyopatwa na maradhi mara kwa Bara. Mtu aliyebarikiwa hawezi kuwa na kondoo 4.
3. Mavuno mengi sana hata kwa eneo dogo TU la shamba, kame aliyebarikiwa hawezi kuvuna debe 3 kwenye Eka moja ya Mahindi.
4. Hakosi riziki pamoja na kuwa na wake, watoto na Ndugu wengi wanaomtegemea. Watakula na kusaza na ada ya shule hawatakisa.
Hekima na busara kubwa. Ni tegemeo kwa wanajamii katika kutatua mashauuri Yao mbalimbali kwa weledi na watu kuridhika na maamuzi na ushauri wake. Ni kimbilio la wengine pahala pa kazi au mtaani kwake.
 
Sadaka ya Ujenzi, chukua Kadi ya Ujenzi ujenge nyumba ya Bwana Mungu wako...
"Huu Ujenzi tunaufanya kwa ajili yenu na ya vizazi vyenu nyie waumini, watoto wenu ndo watakuwa kisali hapa, hili siyo jengo langu, kanisa siyo la mtu mmoja"... alinukuliwa nabii mmoja.

Sasa nabii mbona akaunti na hata hati ya hilo eneo la kanisa zina majina yako binafsi na si hilo Kanisa??? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hii ni biashara ya Ukoo, TB Joshua kakata ringi mkewe kashika hatamu (Mungu anapendelea kweli πŸ˜‚πŸ˜‚ yaani MKE na MUME wote ni mitume).
Mama naye akikata ringi mtoto ataridhi UTUME 🀣🀣🀣... Yaani kama UFALME na UMALKIA wa Uingereza aiseeee.
Wacha tuendelee kuwa wateja wenu haina jinsi maana MAFUTA na MAJI yenu yanatufanyia UPAKO wa ajabu kwakweli...
Japo katika watu elf 20 tunaokanyaga Mafuta wanaopokea hawafiki 10 lakini unatutangazia kuwa wote tukija tutafunguliwa wewe una nguvu za Mungu wa kweli,, Tukiuliza mbona siye wengine tumekuja mara kibao hatupati UPONYAJI mnasema hatuna IMANI πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Sasa hizo nguvu unazojinadi nazo ni zipi tena???πŸ€“πŸ€“
 
Hata misikiti pia iko hivyohivyo, ina wenyewe. Mama Rwakatare pale mlima wa moto ni pake, Mwingira ni pake, mzee wa upako ni pake, nk. sadaka zote ni zao na mambo yao. Wajinga hawatakwisha usiyachome manyoya yako. Hebu fikiria mwenye tangu Yesu afe hadi leo zaidi ya miaka 2000 lakini wajinga tupo hadi leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…