Usitumie hela nyingi kupata Ngono

Usitumie hela nyingi kupata Ngono

Punguza ushauri watu tayari wana mipango yao by Joti
Ushauri ni Muhimu pia, yani ni kama elimu vile.

Unapofundishwa ni uamuzi wako kuelewa au kuiachia Dunia ikufundishe.
 
Wewe unayenunua Malaya na wewe Malaya vile vile, Baki kwenye njia kuu.
Kabisa Mkuu.

Kama una mpenzi ni bora kuwa muaminifu, maana malaya hakuna anachojali kwako zaidi ya pesa zako tu.
 
Mkuu unapangia watu matumizi ya pesa zao?
Samahani Mkuu, ila AKILI ni kitu muhimu sana.

Nimeandika kwa herufi kubwa "AKILI".


SIKU ZOTE OMBA MUUMBA ASIKUNYIME AKILI, MAANA NI KITU BORA NA KINACHO TUTOFAUTISHA NA WANYAMA.
 
Tafuteni hela wakuu elf 60 ni posho ya kikao kimoja cha lisaa kimoja na nusu. Tena huchangii hata kwa kugonga meza
Kuwa na pesa haifanyi uishi maisha yasiofaa.


Badilika, maana kuna watu wanapesa na wanajiheshimu.
 
Unachokisema ni kwel.Sio jambo zuri halaf hata hakunaga jipya kwa hawa viumbe zaid ya mikosi na magono nje nje.
Jitu linakuja kipesa zaid, unasikia, nipe kwanza changu[emoji23][emoji23].

Katika harakat hiz a kuuza na kununua ukiwa kama kijana unakumbana na mambo mengi sana na binafsi kuna experience moja nilikuutana nayo NZURI SANA huwa naikumbuka mpaka kesho.

Yule she ukiachana na uzuri wake, she was very friendly.Nilikua Arusha na yule mtoto ni wa chuga. Anatumia jina Luc** kwenye mtando flan hiv wa wajasiriamali wa aina yake. Ila pigo zake utasema sio malaya au ndio labda anajifunza..

Baada ya kumpa location picha linaanza kajaa room akanikuta nasoma bible, akaingia akafunga mlango,akasimama pale kama sekunde kadhaa akaniangalia kwa tabasam kisha akauliza "unasomaga bible?". Nikamwambia "yes ,ni ya hapa hapa hotelin sio ya kwangu but huwa nasoma hata napokua home".

Bas akacheka pale (kidogo sio sana) akaja aka kaa pembeni.
Hakuonekana kuwa na haraka kabisaa, ilikua kama saa 6 mchana na kibarid cha Arusha plus ugeni.[emoji16].

Alipokaa nikamuuliza"umeshangaa mimi kusoma bible au umeshangaa kusomea bible katika mazingira kama haya especially yanahusiana na kukutana kwetu?"

Akasema "hapana. Bas tu, sikutegemea lakin hata mimi huwa nasoma pia, ninayo na kwenye simu".

Akaweka kiswaswadu pembeni, akatoa iphone yake kwenye wallet akanionyesha app ya bible.

Nikasema "safi, ni jambo zuri maana latika maisha haya mengine ni ajali tu ila kuna maisha baada ya haya". Akasema ni kwel.

Tukajikuta tunaingia kwenye stori nyingine tofaautiii .Tukapiga sana stori ,indrectly nikamuuliza maswali ambayo aka reveal yeye ni nani, kazaliwa wapi, wazaz wake baba sio mtanzania na ameish sana kenya.

Na mimi piaa nikamjibu maswal aliokua akiniuliza mengine kwel mengine namdanganya but all in all tulikua na conversation ndefu. She was classic in appearance akanambia anasoma IAA (probably alinidanganya)...

Mwisho wa siku tukamaliza na kilichotukutanisha but she was convincing sana maana akatoa condom akanivalisha baada ya mtanange akanivua kisha baada ya sote kuji swafi akaniuliza "ume enjoy?".

Nikasema "sure, i have". Akasema "okay, next time ukija Arusha just call me".

Nikamlipa chake 30k, akasepa.

Amenikaaga akilini mpaka leo hii japo sikuwah mtafuta mpaka kesho, hata time niko chuga nimekuja jana ila sina plan ya kufanya hivyo.

NB.
She was soo sweet..milio yake ilikua inahamasisha sana plus vinge vingii, "ooohh fu*ck" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Nili enjoy sana.

SINUNUI MALAYA TENA
Huyu lazima utakuja kumrudia tuu, taka usitake
 
Samahani Mkuu, ila AKILI ni kitu muhimu sana.

Nimeandika kwa herufi kubwa "AKILI".


SIKU ZOTE OMBA MUUMBA ASIKUNYIME AKILI, MAANA NI KITU BORA NA KINACHO TUTOFAUTISHA NA WANYAMA.
Ndugu yangu Kuna watu Wana akili lakini hawatafautiani na wanyama, akili lazima itumike ndio itakutofautisha na mnyama vyenginevyo utakuwa na akili na utafanana na mnyama
 
Wakiwapa wazazi hela, Watapata baraka za kupata utelezi bure kabisa? Au nini maana ya thread.
 
Moja ya matumizi ya fedha ni kujiburudisha Mwili.

Nikirejea title ya Uzi haisadiki na content.

Wengine tuna mpenzi mmoja, na hatununui malaya, ingawa tunatumia hela nyingi kumaintain mahusiano, ambayo mwisho wa siku return yake ni Ngono.

Huwezi kula bure bure bila kugharamika.

Then, 100k au 60k mpk 200k ni hela za kawaida mnoo sio za kumshutum mtu kwamba anapoteza pesa.
 
Kuna msemo unasema "Unakula kutokana na urefu wa kamba yako"
Huyo anayehonga laki mbili ndio uwezo wake huo, huyo anayehonga elfu ishirini ndio uwezo wake huo, malaya hadi wa 30,00 wapo, so ni uwezo wako tu.
Sasa tupangiane matumizi ya pesa zetu ili iweje, na aliyekwambia sisi tunaohonga hivyo hatusaidii wazazi au masikini ni nani, au umehisi tu?
Cheza kwa level zako bro, acha kuumiza kichwa kwa life style za watu

Halafu usiseme malaya awe maskini, kwakuwa na wewe naamini una ndugu za kike. Tafsiri ya malaya: Ni mwanamke ambaye ana uhusiano na mwanaume zaidi ya mmoja, je wew ndugu zako wa kike wana mwanaumee mmoja tu au unaongea tu kufurahisha kijiwe?
 
Habari zenu wakuu.

Nimekuwa naona nyuzi tofauti za Wanaume wenzangu wakijisifu kula wanawake fulani huku ndoano yao kubwa kuwavuta hao wanawake ni Pesa. Nikaona kuna wanaume wengine wanasema alitenga 100k, mwengine 200k, mwengine 700k n.k

NIKACHEKA SANA! [emoji23]

Wakuu kwa Dunia yasasa Ngono haipaswi kugharamiwa kiasi hicho HUO NI UZWAZWA

Yani unahangaika kutafuta hela kwa tabu halafu unakuja kununua penzi kwa Laki mbili? HUO NI UZWAZWA

Malaya hapaswi kula hela yako kiasi hicho, Toa pesa wape wazazi, wahitaji n.k na sio kula Malaya ambae unatumia kinga kumlala, anakuachia Laana na hana anachojali kuhusu wewe.


NB: MALAYA WANAPASWA KUISHI KWENYE UMASIKINI, USIWAPE PESA ZAKO KUBADILISHA MAISHA YAO.
Nimependa hii mwishoni
"MALAYA WANAPASWA KUISHI KWENYE UMASIKINI USIWAPE PESA ZAKO KUBADILISHA MAISHA YAO"
 
Back
Top Bottom