Unachokisema ni kwel.Sio jambo zuri halaf hata hakunaga jipya kwa hawa viumbe zaid ya mikosi na magono nje nje.
Jitu linakuja kipesa zaid, unasikia, nipe kwanza changu[emoji23][emoji23].
Katika harakat hiz a kuuza na kununua ukiwa kama kijana unakumbana na mambo mengi sana na binafsi kuna experience moja nilikuutana nayo NZURI SANA huwa naikumbuka mpaka kesho.
Yule she ukiachana na uzuri wake, she was very friendly.Nilikua Arusha na yule mtoto ni wa chuga. Anatumia jina Luc** kwenye mtando flan hiv wa wajasiriamali wa aina yake. Ila pigo zake utasema sio malaya au ndio labda anajifunza..
Baada ya kumpa location picha linaanza kajaa room akanikuta nasoma bible, akaingia akafunga mlango,akasimama pale kama sekunde kadhaa akaniangalia kwa tabasam kisha akauliza "unasomaga bible?". Nikamwambia "yes ,ni ya hapa hapa hotelin sio ya kwangu but huwa nasoma hata napokua home".
Bas akacheka pale (kidogo sio sana) akaja aka kaa pembeni.
Hakuonekana kuwa na haraka kabisaa, ilikua kama saa 6 mchana na kibarid cha Arusha plus ugeni.[emoji16].
Alipokaa nikamuuliza"umeshangaa mimi kusoma bible au umeshangaa kusomea bible katika mazingira kama haya especially yanahusiana na kukutana kwetu?"
Akasema "hapana. Bas tu, sikutegemea lakin hata mimi huwa nasoma pia, ninayo na kwenye simu".
Akaweka kiswaswadu pembeni, akatoa iphone yake kwenye wallet akanionyesha app ya bible.
Nikasema "safi, ni jambo zuri maana latika maisha haya mengine ni ajali tu ila kuna maisha baada ya haya". Akasema ni kwel.
Tukajikuta tunaingia kwenye stori nyingine tofaautiii .Tukapiga sana stori ,indrectly nikamuuliza maswali ambayo aka reveal yeye ni nani, kazaliwa wapi, wazaz wake baba sio mtanzania na ameish sana kenya.
Na mimi piaa nikamjibu maswal aliokua akiniuliza mengine kwel mengine namdanganya but all in all tulikua na conversation ndefu. She was classic in appearance akanambia anasoma IAA (probably alinidanganya)...
Mwisho wa siku tukamaliza na kilichotukutanisha but she was convincing sana maana akatoa condom akanivalisha baada ya mtanange akanivua kisha baada ya sote kuji swafi akaniuliza "ume enjoy?".
Nikasema "sure, i have". Akasema "okay, next time ukija Arusha just call me".
Nikamlipa chake 30k, akasepa.
Amenikaaga akilini mpaka leo hii japo sikuwah mtafuta mpaka kesho, hata time niko chuga nimekuja jana ila sina plan ya kufanya hivyo.
NB.
She was soo sweet..milio yake ilikua inahamasisha sana plus vinge vingii, "ooohh fu*ck" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Nili enjoy sana.
SINUNUI MALAYA TENA