Usitumie kigezo cha dini katika kuoa au kuolewa

Usitumie kigezo cha dini katika kuoa au kuolewa

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Watu wengi hujikuta wanawaacha wachumba ambao wanawapenda na ambao wanaendana kwa kigezo cha dini.

Dini haina uhusiano wowote na kumfanya MTU kuwa na hofu ya MUNGU, utu hekima wala maarifa.

Jambo kubwa na la msingi unabidi kuangalia MTU Kama mnaendana, kifikra, kimtazamo n.k.

Watu wengi wapo depressed kwa kuikosa ndoa maana wanatumia kigezo cha dini.

Dini na ndoa kipi kilianza au dini na binadamu kipi kilianza?

Ukiwa na FAITH unakuwa tayari unaamini katika yaliyopo na yajayo na Faith ndo huwa tunaitumia ktk Ku-manifest mambo yetu ili yaende na sio belief ambayo hupatikana katika dini.

Ila ukiwa na beliefs akili yako inakuwa imeshikiliwa na beliefs na kukupumbaza kushindwa kuwa open minded.

Unachobidi kuangalia ni kuona huyo MTU uliyenaye anampenda Mungu na sio kuangalia Kama anapenda dini.

Kumbadilisha MTU dini ni kuingilia Uhuru wake na hatobadilika ila atakufatisha tu kwa nje maana beliefs ndo huwa imeishikilia Akili na kumfanya MTU kuamini katika dini na sio rahisi MTU kuiacha beliefs yake.

Kwa kuhitimisha, focus kutafuta MTU na sio dini.
 
Tatizo la ndoa zetu hizi mpaka ndugu na wazazi wakubali, mambo yanakuwa na mlolongo mrefu wakati ni makubaliano ya watu wawili tu.

Mara dini! Mara makabila !! Tabu tupu.


Upo sahihi.

Ndo maana hapo nimeweka belief na faith

Wazazi wetu wana belief Ila hawana faith

Belief huwa inaishikilia akili na kuona dini yako ndo sahihi na dini ngingine zote sio sahihi yaani unamkuta MTU dini anaipenda kuliko Mungu.

Mwisho unamuacha mwanamke wako mzuri kwa kufatisha hoja za watu wenye mawazo duni.


Mimi babu yangu alioa Christian na wakaishi vizuri Sana bila shida na kwa mafanikio na kila MTU alikuwa anasali sehemu yake .
 
Upo sahihi.

Ndo maana hapo nimeweka belief na faith

Wazazi wetu wana belief Ila hawana faith

Belief huwa inaishikilia akili na kuona dini yako ndo sahihi na dini ngingine zote sio sahihi yaani unamkuta MTU dini anaipenda kuliko Mungu.

Mwisho unamuacha mwanamke wako mzuri kwa kufatisha hoja za watu wenye mawazo duni.


Mimi babu yangu alioa Christian na wakaishi vizuri Sana bila shida na kwa mafanikio na kila MTU alikuwa anasali sehemu yake .
Mwanamke akiwa na dini haijalishi ni ipi, wanafanana labda wale pretenders. Hakuna dini wala mila inaruhusu wanawake kukaa uchi.
 
Watu wengi hujikuta wanawaacha wachumba ambao wanawapenda na ambao wanaendana kwa kigezo cha dini.

Dini haina uhusiano wowote na kumfanya MTU kuwa na hofu ya MUNGU, utu hekima wala maarifa.

Jambo kubwa na la msingi unabidi kuangalia MTU Kama mnaendana, kifikra, kimtazamo n.k

Watu wengi wapo depressed kwa kuikosa ndoa maana wanatumia kigezo cha dini.

Dini na ndoa kipi kilianza au dini na binadamu kipi kilianza.?

Ukiwa na FAITH unakuwa tayari unaamini katika yaliyopo na yajayo na Faith ndo huwa tunaitumia ktk Ku-manifest mambo yetu ili yaende na sio belief ambayo hupatikana ktk dini.

Ila ukiwa na beliefs akili yako inakuwa imeshikiliwa na beliefs na kukupumbaza kushindwa kuwa open minded.

Unachobidi kuangalia ni kuona huyo MTU uliyenaye anampenda Mungu na sio kuangalia Kama anapenda dini.

Kumbadilisha MTU dini ni kuingilia Uhuru wake na hatobadilika Ila atakufatisha tu kwa nje maana beliefs ndo huwa imeishikilia Akili na kumfanya MTU kuamini ktk dini na sio rahisi MTU kuiacha beliefs yake.

Kwa kuhitimisha, focus kutafuta MTU na sio dini.
Jidanganye wajinga watakusikiliza
 
Upo sahihi.

Ndo maana hapo nimeweka belief na faith

Wazazi wetu wana belief Ila hawana faith

Belief huwa inaishikilia akili na kuona dini yako ndo sahihi na dini ngingine zote sio sahihi yaani unamkuta MTU dini anaipenda kuliko Mungu.

Mwisho unamuacha mwanamke wako mzuri kwa kufatisha hoja za watu wenye mawazo duni.


Mimi babu yangu alioa Christian na wakaishi vizuri Sana bila shida na kwa mafanikio na kila MTU alikuwa anasali sehemu yake .
Ndoa za sasa hazina formula ni sawa na kubett tu
 
Watu wengi hujikuta wanawaacha wachumba ambao wanawapenda na ambao wanaendana kwa kigezo cha dini.

Dini haina uhusiano wowote na kumfanya MTU kuwa na hofu ya MUNGU, utu hekima wala maarifa.

Jambo kubwa na la msingi unabidi kuangalia MTU Kama mnaendana, kifikra, kimtazamo n.k

Watu wengi wapo depressed kwa kuikosa ndoa maana wanatumia kigezo cha dini.

Dini na ndoa kipi kilianza au dini na binadamu kipi kilianza.?

Ukiwa na FAITH unakuwa tayari unaamini katika yaliyopo na yajayo na Faith ndo huwa tunaitumia ktk Ku-manifest mambo yetu ili yaende na sio belief ambayo hupatikana ktk dini.

Ila ukiwa na beliefs akili yako inakuwa imeshikiliwa na beliefs na kukupumbaza kushindwa kuwa open minded.

Unachobidi kuangalia ni kuona huyo MTU uliyenaye anampenda Mungu na sio kuangalia Kama anapenda dini.

Kumbadilisha MTU dini ni kuingilia Uhuru wake na hatobadilika Ila atakufatisha tu kwa nje maana beliefs ndo huwa imeishikilia Akili na kumfanya MTU kuamini ktk dini na sio rahisi MTU kuiacha beliefs yake.

Kwa kuhitimisha, focus kutafuta MTU na sio dini.
Dini ni kigezo kinachoanza na muhimu sana katika kuchagua mwenza wa maisha.

Ila kwa maisha ya sasa wengi tumekuwa tukipuuza mafundisho tunayopatiwa na kuikosa ladha halisi ya imani ya dini husika.

Tukirudi kwenye swala la mahusiano na ndoa mapenzi na huruma vimekosekana.

Namaanisha kwamba ndoa na mahusiano mengi ya sasa hakuna mapenzi ya kweli hivyo inalazimika kumpenda mtu kwa sababu ya kitu fulani.

Katika ndoa na mahusiano mengi hivi sasa huruma imekosekana kiasi kwamba hatuwezi vumiliana kwenye madhaifu yetu tuliyonayo.

Muhimu: Nina uhakika na nilichosema.
 
Dini ni kigezo kikubwa hasa kwenye familia zetu za kiafrica
Wanandoa mnahitaji muda wa kukaa pamoja na kuomba Mungu, kuwalea watoto kwenye misingi ya dini


Wewe ukiwa Christian na mme wako Muslim mkiona

Unadhani mtashindwa kumuomba Mungu?

Kufanya ibada au kumuomba Mungu dini sio lazima .

Pia hata ukiolewa Unaweza kubaki na Dini yako na ukaendelea kufanya ibada vizuri.

Hoja yangu IPO katika kumuacha MTU unayempenda na mwenye sifa za ndani Kama , hekima, utu, n.k kwa kutumia kigezo cha dini. Ambacho hupatikana nje.
 
Dini ni kigezo kinachoanza na muhimu sana katika kuchagua mwenza wa maisha.

Ila kwa maisha ya sasa wengi tumekuwa tukipuuza mafundisho tunayopatiwa na kuikosa ladha halisi ya imani ya dini husika.

Tukirudi kwenye swala la mahusiano na ndoa mapenzi na huruma vimekosekana.

Namaanisha kwamba ndoa na mahusiano mengi ya sasa hakuna mapenzi ya kweli hivyo inalazimika kumpenda mtu kwa sababu ya kitu fulani.

Katika ndoa na mahusiano mengi hivi sasa huruma imekosekana kiasi kwamba hatuwezi vumiliana kwenye madhaifu yetu tuliyonayo.

Muhimu: Nina uhakika na nilichosema.


Vigezo Kama

Compassion -huruma
Generous -
Humbleness
Kindness -ukarimu
Wisdoms -hekima
Affection -Upendo.

Hivi vyote kuwa navyo sio lazima uwe na dini kuna watu wengi wameifikia hii hatua bila kuwa na dini.


Then hoja yangu hamjaielewa nimemaanisha wewe kuwa Christian haikuzuii kuoa muislamu

Unaweza kuoa Muslim akaendelea kusali msikitini na wewe ukabaki kanisani.
 
Vigezo Kama

Compassion -huruma
Generous -
Humbleness
Kindness -ukarimu
Wisdoms -hekima
Affection -Upendo.

Hivi vyote kuwa navyo sio lazima uwe na dini kuna watu wengi wameifikia hii hatua bila kuwa na dini.


Then hoja yangu hamjaielewa nimemaanisha wewe kuwa Christian haikuzuii kuoa muislamu

Unaweza kuoa Muslim akaendelea kusali msikitini na wewe ukabaki kanisani.
Huyo ambae hana dini hajajilea mwenyewe, wazee wetu huko nyuma walikubaliana na mafundisho ya dini na kueneza athari kizazi na kizazi.

Yaweza kuwa huna dini lakini umelelewa na kukulia kwenye mazingira ya kidini.

Kuoa na kuolewa na mwenza wa imani ya dini yako kunastawisha swala zima la mahusiano baina ya wanandoa wenyewe, familia na jamii kwa ujumla.

Kuwa na dini au kutokuwa nayo hiyo ni imani na maamuzi ya mtu hivyo hata unapoamua kutafuta mwenza tafuta ambae utaendana nae kiimani huku ukiangalia yale ambayo yataimarisha ndoa na mahusiano yenu.

Muhimu: Imani ya dini husika inamjenga mtu kutokea ndani.
 
Watu wengi hujikuta wanawaacha wachumba ambao wanawapenda na ambao wanaendana kwa kigezo cha dini.

Dini haina uhusiano wowote na kumfanya MTU kuwa na hofu ya MUNGU, utu hekima wala maarifa.

Jambo kubwa na la msingi unabidi kuangalia MTU Kama mnaendana, kifikra, kimtazamo n.k

Watu wengi wapo depressed kwa kuikosa ndoa maana wanatumia kigezo cha dini.

Dini na ndoa kipi kilianza au dini na binadamu kipi kilianza.?

Ukiwa na FAITH unakuwa tayari unaamini katika yaliyopo na yajayo na Faith ndo huwa tunaitumia ktk Ku-manifest mambo yetu ili yaende na sio belief ambayo hupatikana ktk dini.

Ila ukiwa na beliefs akili yako inakuwa imeshikiliwa na beliefs na kukupumbaza kushindwa kuwa open minded.

Unachobidi kuangalia ni kuona huyo MTU uliyenaye anampenda Mungu na sio kuangalia Kama anapenda dini.

Kumbadilisha MTU dini ni kuingilia Uhuru wake na hatobadilika Ila atakufatisha tu kwa nje maana beliefs ndo huwa imeishikilia Akili na kumfanya MTU kuamini ktk dini na sio rahisi MTU kuiacha beliefs yake.

Kwa kuhitimisha, focus kutafuta MTU na sio dini.
Huu ujinga ndio niliukataa mapema sana. Mimi mwanamke na consider kichwa chake zaidi sio dini wala kabila
 
Watu wengi hujikuta wanawaacha wachumba ambao wanawapenda na ambao wanaendana kwa kigezo cha dini.

Dini haina uhusiano wowote na kumfanya MTU kuwa na hofu ya MUNGU, utu hekima wala maarifa.

Jambo kubwa na la msingi unabidi kuangalia MTU Kama mnaendana, kifikra, kimtazamo n.k.

Watu wengi wapo depressed kwa kuikosa ndoa maana wanatumia kigezo cha dini.

Dini na ndoa kipi kilianza au dini na binadamu kipi kilianza?

Ukiwa na FAITH unakuwa tayari unaamini katika yaliyopo na yajayo na Faith ndo huwa tunaitumia ktk Ku-manifest mambo yetu ili yaende na sio belief ambayo hupatikana katika dini.

Ila ukiwa na beliefs akili yako inakuwa imeshikiliwa na beliefs na kukupumbaza kushindwa kuwa open minded.

Unachobidi kuangalia ni kuona huyo MTU uliyenaye anampenda Mungu na sio kuangalia Kama anapenda dini.

Kumbadilisha MTU dini ni kuingilia Uhuru wake na hatobadilika ila atakufatisha tu kwa nje maana beliefs ndo huwa imeishikilia Akili na kumfanya MTU kuamini katika dini na sio rahisi MTU kuiacha beliefs yake.

Kwa kuhitimisha, focus kutafuta MTU na sio dini.
Kweli
 
Back
Top Bottom