Usitumie kigezo cha dini katika kuoa au kuolewa

Usitumie kigezo cha dini katika kuoa au kuolewa

Yaani mi sijawahi kabisa kufikilia kuhusu dini katika hayo mambo...
 
Huyo ambae hana dini hajajilea mwenyewe, wazee wetu huko nyuma walikubaliana na mafundisho ya dini na kueneza athari kizazi na kizazi
Na ungana na wewe moja kwa moja mfano mzuri ni kula kwa mkono wa kulia hii iko kidini ndio imeleta utaratibu huu hata wasio na dini waliishi katika utaratibu huwo hata wanapo kuwa wa kubwa na kuamua dini hakuna, mungu hakuna lakini utaratibu wa malezi wa kidini bado uko ndani yao.
huwezi wakuta wameenda chooni waka stanji kwa mkono wa kulia.
 
Na ungana na wewe moja kwa moja mfano mzuri ni kula kwa mkono wa kulia hii iko kidini ndio imeleta utaratibu huu hata wasio na dini waliishi katika utaratibu huwo hata wanapo kuwa wa kubwa na kuamua dini hakuna, mungu hakuna lakini utaratibu wa malezi wa kidini bado uko ndani yao.
huwezi wakuta wameenda chooni waka stanji kwa mkono wa kulia.
Na huu ndo uhalisia.
 
Watu wengi hujikuta wanawaacha wachumba ambao wanawapenda na ambao wanaendana kwa kigezo cha dini.

Dini haina uhusiano wowote na kumfanya MTU kuwa na hofu ya MUNGU, utu hekima wala maarifa.

Jambo kubwa na la msingi unabidi kuangalia MTU Kama mnaendana, kifikra, kimtazamo n.k.

Watu wengi wapo depressed kwa kuikosa ndoa maana wanatumia kigezo cha dini.

Dini na ndoa kipi kilianza au dini na binadamu kipi kilianza?

Ukiwa na FAITH unakuwa tayari unaamini katika yaliyopo na yajayo na Faith ndo huwa tunaitumia ktk Ku-manifest mambo yetu ili yaende na sio belief ambayo hupatikana katika dini.

Ila ukiwa na beliefs akili yako inakuwa imeshikiliwa na beliefs na kukupumbaza kushindwa kuwa open minded.

Unachobidi kuangalia ni kuona huyo MTU uliyenaye anampenda Mungu na sio kuangalia Kama anapenda dini.

Kumbadilisha MTU dini ni kuingilia Uhuru wake na hatobadilika ila atakufatisha tu kwa nje maana beliefs ndo huwa imeishikilia Akili na kumfanya MTU kuamini katika dini na sio rahisi MTU kuiacha beliefs yake.

Kwa kuhitimisha, focus kutafuta MTU na sio dini.
Wewe ni mtoto mdogo Sana bado hujaijuwa dunia.

Iko hivi, kama unampenda mwanamke wa Imani nyingine option ni mbili tu, ya Kwanza mwanamke abadili dini au wewe mwanaume ubadili dini kufuata dini ya mwanamke.

Atakayekwambia kinyume na hili anakudanganya, kama unadate na mtu nje ya Imani yako na una plan za kuishi naye achana naye na hayo mahusiano hakuna future nzuri.

Tunaandika haya ili kuweka kumbukumbu Sawa atakayedhani yeye anajuwa Sana na ni wa kisasa basi avae huo mkenge lakini maandishi yapo hapa yatamsuta.
 
Back
Top Bottom