Usitumie nguvu nyingi kumuaminisha mtu kuwa unampenda

Usitumie nguvu nyingi kumuaminisha mtu kuwa unampenda

Mwanamke ana akili za kitoto, hana shukrani, kuhongwa na kuhudumiwa huwa anaona kama haki yake ya msingi.
Ulifanya vizuri sana kutomwambia km ungemjengea nyumba, hapo angebadilika na kuwa malaika, ila ungekamilisha nyumba na kumpa. Angekuwa shetani mkuu, ndiyo ingekuwa mwisho wa penzi lenu.
Siku zote mwanaume anayemhudumia mwanamke kwa 99%, kumuonea huruma, kumjali na kumpenda mwanamke, huonekana ni mafala, wajinga na wapuuz maana mwanamke huwa hastahili vyote. Fanya uchunguzi, wanaume wanaoteseka kwenye mapenzi na kwenye ndoa ni wale wenye upendo, na kuwaonea huruma
Uko sahihi sana, Broo Hawa Viumbe hawaeweki na akili zao wanazijua Wenyewe.
 
U
Mwanamke ana akili za kitoto, hana shukrani, kuhongwa na kuhudumiwa huwa anaona kama haki yake ya msingi.
Ulifanya vizuri sana kutomwambia km ungemjengea nyumba, hapo angebadilika na kuwa malaika, ila ungekamilisha nyumba na kumpa. Angekuwa shetani mkuu, ndiyo ingekuwa mwisho wa penzi lenu.
Siku zote mwanaume anayemhudumia mwanamke kwa 99%, kumuonea huruma, kumjali na kumpenda mwanamke, huonekana ni mafala, wajinga na wapuuz maana mwanamke huwa hastahili vyote. Fanya uchunguzi, wanaume wanaoteseka kwenye mapenzi na kwenye ndoa ni wale wenye upendo, na kuwaonea huruma
Uko sahihi, Sana maana Hivi Viumbe sio Poa, tuishi nacho kwa Akili na Tucheze nao kwa Akili Nyingi
 
Kwakweli mwanamke akikosa akili zinazoumia ni sehemu za siri
 
Lengo ilikua kumuoa, ila nikitaka kuandaa baadhi ya mambo kwanza ila ndugu hata wewe kama ni Mwanaume hata siku Moja usije Fanya Ujinga nilioufanya mm
Mkuu kwani yukoje huyo mwanamke mpaka ukapagawa hivyo, ana mak* makubwa ya kufunguka kama compass? Ana nini hasa mkuu.

Unavyoelezea unafanya niwaze kidogojuu ya saikolojia yako. Ulibahatika kulelewa na mama mzazi?
 
Raha ni kwamba malipo ni hapa hapa dunia......
 
Back
Top Bottom