Usiue huyu mdudu Kwa mikono yako

Usiue huyu mdudu Kwa mikono yako

Anaitwa Nairobi fly,

View attachment 3242615

Anazalisha kemikali yenye sumu ambayo ikikutana na ngozi ya binadamu, basi ngozi inaungua na kuacha blisters.

View attachment 3242616

Hii kemikali inaitwa pederin. Unapomuua huyu mdudu wa vidole vyako basi hii kemikali hubaki kwenye vidole vyako popote utakaposhika kwenye mwili wako basi pata ungua ndani ya saa 24,
Vipele vyenye mchanganyiko wa maji maji na usaha vitajitokeza ndani ya saa 24,
Mdudu huyu Kwa kawaida hukaa mashambani chakula chake ni crop pests ila huja kwenye mazingira ya binadamu Kwa kuvutiwa na mwanga wa taa.
Huzaliana zaidi nyakati za mvua.

Pederin
Kwa sasa tafiti zinaonyesha kemikali hii ni muhimu Kwa kupunguza makali ya saratani na huenda ikatumika kutengeneza dawa Kwa magonjwa ya saratani.

Experience
Nilikutana na visanga vya huyu mdudu huko Arusha, wapo wengi sana, nilishuhudia mwanafunzi aliyemsaga huyu mdudu Kwa peni then akajisahau Ile peni akapeleka mdomoni, kilichomtokea kesho yake ni huruma tupu.
Tupe experience yako!!!

Reference
Narquizian R, Kocienski PJ (2000). "In The Role of Natural Products in Drug Discovery"
Juzi sokoni nachagua maembe mara kitu kikaningata mithili ya siafu mgongoni dah nikavumilia kidogo tena nikangatwa mfululizo aisee nilitoka nduki hadi ofisini bahati nzuri nikaribu na soko fasta nikavua nguo za juu ghafla nika mwona yani kwa hasira nilimsigina na kidole gumba akabaki unga bahati nzuri hakuna kilichotokea ila maumivu yake usiombe aisee ni kama nyigu
 
Anaitwa Nairobi fly,

View attachment 3242615

Anazalisha kemikali yenye sumu ambayo ikikutana na ngozi ya binadamu, basi ngozi inaungua na kuacha blisters.

View attachment 3242616

Hii kemikali inaitwa pederin. Unapomuua huyu mdudu wa vidole vyako basi hii kemikali hubaki kwenye vidole vyako popote utakaposhika kwenye mwili wako basi pata ungua ndani ya saa 24,
Vipele vyenye mchanganyiko wa maji maji na usaha vitajitokeza ndani ya saa 24,
Mdudu huyu Kwa kawaida hukaa mashambani chakula chake ni crop pests ila huja kwenye mazingira ya binadamu Kwa kuvutiwa na mwanga wa taa.
Huzaliana zaidi nyakati za mvua.

Pederin
Kwa sasa tafiti zinaonyesha kemikali hii ni muhimu Kwa kupunguza makali ya saratani na huenda ikatumika kutengeneza dawa Kwa magonjwa ya saratani.

Experience
Nilikutana na visanga vya huyu mdudu huko Arusha, wapo wengi sana, nilishuhudia mwanafunzi aliyemsaga huyu mdudu Kwa peni then akajisahau Ile peni akapeleka mdomoni, kilichomtokea kesho yake ni huruma tupu.
Tupe experience yako!!!

Reference
Narquizian R, Kocienski PJ (2000). "In The Role of Natural Products in Drug Discovery"
Tumezoea kumuita Nairobi fly 🙃🙃
 
Juzi sokoni nachagua maembe mara kitu kikaningata mithili ya siafu mgongoni dah nikavumilia kidogo tena nikangatwa mfululizo aisee nilitoka nduki hadi ofisini bahati nzuri nikaribu na soko fasta nikavua nguo za juu ghafla nika mwona yani kwa hasira nilimsigina na kidole gumba akabaki unga bahati nzuri hakuna kilichotokea ila maumivu yake usiombe aisee ni kama nyigu
Hahaha nyigu hana shoo mbovu.
 
Walipewa hilo jina kulingana na kufanana rangi na bendera ya kenya, lkn jina lake ni kama lilivyoandikwa na wadau hapo.

Kwa dar ni nadra sana kuwaona lkn wanapenda maeneo yenye uoto wa asili zaidi.
 
Baadhi yetu tuna Immunity strong, wadudu hao tumeishi nao na tumetamba nao
 
Kenya kuna mwaka walitanda Nairobi nzima kama siafu vile hawajakaa vizuri wakaja Nzige Kenya sijui walimfanya nini muumba mwaka ule
 
Kipindi niko bodini shule za huko
upareni walikuwa wengi sana ila cha ajabu mimi walikuwa waknitembelea mwilini hata sibabuki, ila wenzangu walikuwa watia huruma .
 
Anaitwa Nairobi fly,

View attachment 3242615

Anazalisha kemikali yenye sumu ambayo ikikutana na ngozi ya binadamu, basi ngozi inaungua na kuacha blisters.

View attachment 3242616

Hii kemikali inaitwa pederin. Unapomuua huyu mdudu wa vidole vyako basi hii kemikali hubaki kwenye vidole vyako popote utakaposhika kwenye mwili wako basi pata ungua ndani ya saa 24,
Vipele vyenye mchanganyiko wa maji maji na usaha vitajitokeza ndani ya saa 24,
Mdudu huyu Kwa kawaida hukaa mashambani chakula chake ni crop pests ila huja kwenye mazingira ya binadamu Kwa kuvutiwa na mwanga wa taa.
Huzaliana zaidi nyakati za mvua.

Pederin
Kwa sasa tafiti zinaonyesha kemikali hii ni muhimu Kwa kupunguza makali ya saratani na huenda ikatumika kutengeneza dawa Kwa magonjwa ya saratani.

Experience
Nilikutana na visanga vya huyu mdudu huko Arusha, wapo wengi sana, nilishuhudia mwanafunzi aliyemsaga huyu mdudu Kwa peni then akajisahau Ile peni akapeleka mdomoni, kilichomtokea kesho yake ni huruma tupu.
Tupe experience yako!!!

Reference
Narquizian R, Kocienski PJ (2000). "In The Role of Natural Products in Drug Discovery"
sio nairob fly ni narrow bee fly
 
Back
Top Bottom