Usiufate Moyo sana hasa linapokuja swala la Biashara na Utafutaji

Nakushukuru Sana, maana pia umenipa idea nzuri Sana ngoja nione nafanyaje. Mungu akubariki Sana.
 
Maana nilikuwa hata sielewi nashona nguo zenye ubora hasa mashati ya kiume lakini sipati wateja. Au kwa sababu nimebase kwenye mashati ya vitenge na batiki? Labda pia nianze kuchanganya.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Je wat
Je wateja waliokuzunguka wanataka vijora? Kama ndio basi shona uuze huku pia ukiendelea na kushona hizo za bei ghali
 
Hii ni rule no 1 unapoingia katika soko lolote! Wasome wateja wanata nini kwanza!

Kwa Tanzania watu wengi huangalia kwanza bei kuliko chochote kile!! The cheaper the price, the higher your sales and profit.

Once i mastered this rule, my journey became easy.
 
Ila umeongea point muhimu sana. nina ndugu yangu yeye tangu makuzi yake alikua anapenda sana simu, yaani S ngapi itoke hata kama hana hela atanunua hata ya wizi tu ilimradi awe nayo.
Sasa kapata goli kinondoni kalitengeneza ile haswaa push door na vitu kama hivyo.
Kutokana na mapenzi yake na simu akajiingiza direct na biashara ya simu na vitu vyake. Japokua kwa mazingira yale na biashara hiyo haviendani hata kidogo. Jamaa karidhika na analipa kodi kubwa ukimtembelea ukimuulizia biashara inaendaje Daah utamuonea huruma. lakini still bado ana moyo mambo yatakua sawa. Ila akilini unawaza kabisa huyu hili goli angefanyia biashara nyingine mfano vyakula angeuza sana kutokana na mazingira haya yaliyopo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…