BOB LUSE
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 3,738
- 3,199
Kawaida ya Waajiriwa wengi, kuweka Akiba, Saving account kwenye benki zetu, kwaajili ya usalama. Account hizo kuna ledger fee unalipa, huingizi chochote.
Nikushauri, wekeza kwenye masoko ya Hisa, akiba yako itaongezeka Kila mwezi, Kwa riba utakayokuwa unalipwa.
Usipate hasara, kusubiri mpaka ustaafu ndio ufungue Miradi, utafeli, Biashara Zina hatua za kujifunza na kufanikiwa, ambazo zinachukua miaka sio chini ya mitatu n.k.
Amka usingizini. Mungu akubariki.
Nikushauri, wekeza kwenye masoko ya Hisa, akiba yako itaongezeka Kila mwezi, Kwa riba utakayokuwa unalipwa.
Usipate hasara, kusubiri mpaka ustaafu ndio ufungue Miradi, utafeli, Biashara Zina hatua za kujifunza na kufanikiwa, ambazo zinachukua miaka sio chini ya mitatu n.k.
Amka usingizini. Mungu akubariki.