mjenziwakale
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 954
- 1,469
Ahahah hebu poa poa kwanza uzi ukuingie vizuri, inaonekana uzi umefika kwa mlengwa!!! Kwa namna yoyote ile hatakiwi kuwekeza kwa hao alowataja haijalishi ni buku ama ni nn.....Hivyo vya kuwekeza vyenyewe unavyo? Au hizo buku buku za vocha ndio unaona uwekezaji
Ke aina hii ni mmoja kwenye 1000 katika karne hii ya 21.Haya mambo twende nayo TU Kuna saa mwanamke anakupa penzi na furaha hadi hajakuomba umsomeshe ila mwenyewe unatafuta chuo hajakuomba sim janja mwenyewe unaenda china plaza
Yani ni unafanya automatic and feel proud of yourself
Sasa mi naona tuyaache tu maana ndio maisha
Nakupa vyeo vya juu vya ugenerali wa Anti-Simp/Ant-Nice guy..........kwenye mahusiano ni kama trading/gambling............."Never invest amount of money which you are not able to loss it"..........yaani ukiishi hivi,utaishi kwa Raha sana kama wazee wa zamaniKitu pekee ambacho mwanamke anawekeza kwenye mahusiano ni hisia tu, kwa mwanaume yoyote unaetumia akili kufikiri kikamilifu hawezi kuwekeza kwenye hisia kwa sababu hisia zinabadilika au kuisha kabisa muda wowote.
Huu ni ukweli ambao wanaume karibu wote wanaujua lakini bado wanaendelea kufanya ilo kosa. Wakishapigwa na kitu kizito ndio wanaishia kufanya mauaji au kuwapiga matukio wanawake wengine wakifikiri wnapunguza machungu, kumbe wanawaumiza wasiohusika na maumivu yao.
Mwanaume usibebe iyo risk ya kuwekeza kwa mwanamke, iwe ni kumsomesha, kumuhudumia, kumfungulia biashara, kusaidia ndugu zake n.k, abort huo mpango.
Unajua kwanini wanawake wanaongoza kudai talaka?, sio kwamba wamekua strong women, ila ni kwa sababu hawana cha kupoteza, hawajawekeza kwenye iyo ndoa ukilinganisha na alivyowekeza mwanaume.
Usiwekeze kwa mwanamke kiasi ambacho hauwezi kustahimili maumivu ya kukipoteza, kabla ya kuwekeza kwa mwanamke tambua ya kwamba wewe unapata hasara, yeye anapata faida na ana uamuzi wabkusitisha hayo mahusiano bila kukulipa compensation.
I love you, i love you my brother.
Mke ni suala jingine, kuna wanaume wanabeba jukumu la kuwekeza kwa girlfriend mwishoe inakua ubaya ubwela kama Msukuma na Penina kule Gobamimi nitawekeza kwa mke wangu, hata kama sitafaidi mimi kwa sababu labda kwa mabadiliko hayo uliyoyasema bado watoto wangu watafaidi mwanamke hawez kuwatupa watoto wake tofauti na mwanaume
Jiwe gizani,ukisikia yalaaaaah!😀Hivyo vya kuwekeza vyenyewe unavyo? Au hizo buku buku za vocha ndio unaona uwekezaji
Usiwekeze kwa mwanamke kiasi ambacho hauwezi kustahimili maumivu ya kukipotezaHaya mambo twende nayo TU Kuna saa mwanamke anakupa penzi na furaha hadi hajakuomba umsomeshe ila mwenyewe unatafuta chuo hajakuomba sim janja mwenyewe unaenda china plaza
Yani ni unafanya automatic and feel proud of yourself
Sasa mi naona tuyaache tu maana ndio maisha
😀😀😀😀😀 people thinks women are innocents and not cruel.Mwisho wa siku unakuja kugundua watoto wenyewe sio wako,endelea kuwaamini hao viumbe.
Bado Me wanaoweza kuishi na single mothers ila ni kinyume na Ke kuishi na single fathers la sivyo Watoto watajuta kwanini Dingi kawaletea Ke wa kambo.Ni asilimia ngapi tuliweka kwenye mizani tulinganishe na wanaume wanaotekeleza watoto wao?
Pokea maua Yako,mimi nitawekeza kwa mke wangu, hata kama sitafaidi mimi kwa sababu labda kwa mabadiliko hayo uliyoyasema bado watoto wangu watafaidi mwanamke hawez kuwatupa watoto wake tofauti na mwanaume
Watu kama hao nilishawapuuzia ndio maana comments zao naskip tu, they doesn't worthy my concern.Kwa hiyo kama hana ajira ndio ubongo wake haufanyi kazi?
Ukisikia mayowe ujue jiwe lililorushwa gizani limempata mtu.Dada mbona povu jingi sana au hii mada imeletwa kwa ajili yako gold digger?
Hizo ni mbinu zao za kimedani Mkuu ili uingie line akupige na kitu kitu kizito.
Umepigwa kwenye mshono pole sana dada angu hii elimu ni kama muarubaini ni chungu ila ndo inaponyesha.Hivyo vya kuwekeza vyenyewe unavyo? Au hizo buku buku za vocha ndio unaona uwekezaji
anayeweza kwa girlfriend ni mgonjwa akapimeMke ni suala jingine, kuna wanaume wanabeba jukumu la kuwekeza kwa girlfriend mwishoe inakua ubaya ubwela kama Msukuma na Penina kule Goba
Nimezungumza kutelekeza watoto, ni nani anaongoza kati ya mwanamke na mwanaume? kama mwanamke anaweza akabeba majukumu ya watoto kuliko mwanaume, kwa ustawi wa watoto bora kuwekeza kwa mwanamkeBado Me wanaoweza kuishi na single mothers ila ni kinyume na Ke kuishi na single fathers la sivyo Watoto watajuta kwanini Dingi kawaletea Ke wa kambo.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Kuwa makini mzee mwenzangu unaweza ukatumika nyakati ambazo wazazi wapo broke, halafu baba halali wa mtoto akishajipata unaachwa solemba., unaweza ukaona ni rahisi kwa sababu bado haijakukuta.Ilimradi ni watoto na hawana kosa lolote, na wamezaliwa katika himaya yangu, watanishukuru baadaye
Paragraph ya mwisho imemaliza kila kitu...Kitu pekee ambacho mwanamke anawekeza kwenye mahusiano ni hisia tu, kwa mwanaume yoyote unaetumia akili kufikiri kikamilifu hawezi kuwekeza kwenye hisia kwa sababu hisia zinabadilika au kuisha kabisa muda wowote.
Huu ni ukweli ambao wanaume karibu wote wanaujua lakini bado wanaendelea kufanya ilo kosa. Wakishapigwa na kitu kizito ndio wanaishia kufanya mauaji au kuwapiga matukio wanawake wengine wakifikiri wnapunguza machungu, kumbe wanawaumiza wasiohusika na maumivu yao.
Mwanaume usibebe iyo risk ya kuwekeza kwa mwanamke, iwe ni kumsomesha, kumuhudumia, kumfungulia biashara, kusaidia ndugu zake n.k, abort huo mpango.
Unajua kwanini wanawake wanaongoza kudai talaka?, sio kwamba wamekua strong women, ila ni kwa sababu hawana cha kupoteza, hawajawekeza kwenye iyo ndoa ukilinganisha na alivyowekeza mwanaume.
Usiwekeze kwa mwanamke kiasi ambacho hauwezi kustahimili maumivu ya kukipoteza, kabla ya kuwekeza kwa mwanamke tambua ya kwamba wewe unapata hasara, yeye anapata faida na ana uamuzi wabkusitisha hayo mahusiano bila kukulipa compensation.
I love you, i love you my brother.