Usiwekeze kwa mwanamke

Usiwekeze kwa mwanamke

Haya mambo twende nayo TU Kuna saa mwanamke anakupa penzi na furaha hadi hajakuomba umsomeshe ila mwenyewe unatafuta chuo hajakuomba sim janja mwenyewe unaenda china plaza
Yani ni unafanya automatic and feel proud of yourself
Sasa mi naona tuyaache tu maana ndio maisha
Ke aina hii ni mmoja kwenye 1000 katika karne hii ya 21.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Kitu pekee ambacho mwanamke anawekeza kwenye mahusiano ni hisia tu, kwa mwanaume yoyote unaetumia akili kufikiri kikamilifu hawezi kuwekeza kwenye hisia kwa sababu hisia zinabadilika au kuisha kabisa muda wowote.

Huu ni ukweli ambao wanaume karibu wote wanaujua lakini bado wanaendelea kufanya ilo kosa. Wakishapigwa na kitu kizito ndio wanaishia kufanya mauaji au kuwapiga matukio wanawake wengine wakifikiri wnapunguza machungu, kumbe wanawaumiza wasiohusika na maumivu yao.

Mwanaume usibebe iyo risk ya kuwekeza kwa mwanamke, iwe ni kumsomesha, kumuhudumia, kumfungulia biashara, kusaidia ndugu zake n.k, abort huo mpango.

Unajua kwanini wanawake wanaongoza kudai talaka?, sio kwamba wamekua strong women, ila ni kwa sababu hawana cha kupoteza, hawajawekeza kwenye iyo ndoa ukilinganisha na alivyowekeza mwanaume.

Usiwekeze kwa mwanamke kiasi ambacho hauwezi kustahimili maumivu ya kukipoteza, kabla ya kuwekeza kwa mwanamke tambua ya kwamba wewe unapata hasara, yeye anapata faida na ana uamuzi wabkusitisha hayo mahusiano bila kukulipa compensation.

I love you, i love you my brother.
Nakupa vyeo vya juu vya ugenerali wa Anti-Simp/Ant-Nice guy..........kwenye mahusiano ni kama trading/gambling............."Never invest amount of money which you are not able to loss it"..........yaani ukiishi hivi,utaishi kwa Raha sana kama wazee wa zamani
 
mimi nitawekeza kwa mke wangu, hata kama sitafaidi mimi kwa sababu labda kwa mabadiliko hayo uliyoyasema bado watoto wangu watafaidi mwanamke hawez kuwatupa watoto wake tofauti na mwanaume
Mke ni suala jingine, kuna wanaume wanabeba jukumu la kuwekeza kwa girlfriend mwishoe inakua ubaya ubwela kama Msukuma na Penina kule Goba
 
Haya mambo twende nayo TU Kuna saa mwanamke anakupa penzi na furaha hadi hajakuomba umsomeshe ila mwenyewe unatafuta chuo hajakuomba sim janja mwenyewe unaenda china plaza
Yani ni unafanya automatic and feel proud of yourself
Sasa mi naona tuyaache tu maana ndio maisha
Usiwekeze kwa mwanamke kiasi ambacho hauwezi kustahimili maumivu ya kukipoteza
 
Ni asilimia ngapi tuliweka kwenye mizani tulinganishe na wanaume wanaotekeleza watoto wao?
Bado Me wanaoweza kuishi na single mothers ila ni kinyume na Ke kuishi na single fathers la sivyo Watoto watajuta kwanini Dingi kawaletea Ke wa kambo.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
mimi nitawekeza kwa mke wangu, hata kama sitafaidi mimi kwa sababu labda kwa mabadiliko hayo uliyoyasema bado watoto wangu watafaidi mwanamke hawez kuwatupa watoto wake tofauti na mwanaume
Pokea maua Yako,
Hongera Kwa kulijua hili,
Uzi ufutwe tu, hili ndio jibu
 
that's true my brother, as a man be strategic, if you are dating any woman be clear of what she is bringing to the table, so that you can measure what you are also going to contribute. Don't venture in parasitic relationship.
Hizo ni mbinu zao za kimedani Mkuu ili uingie line akupige na kitu kitu kizito.
 
Bado Me wanaoweza kuishi na single mothers ila ni kinyume na Ke kuishi na single fathers la sivyo Watoto watajuta kwanini Dingi kawaletea Ke wa kambo.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Nimezungumza kutelekeza watoto, ni nani anaongoza kati ya mwanamke na mwanaume? kama mwanamke anaweza akabeba majukumu ya watoto kuliko mwanaume, kwa ustawi wa watoto bora kuwekeza kwa mwanamke
 
Hii nafikiri ni special kwa sisi Hali ya chini..
Hivi wenzetu kule wenye Ma-B na ma-B hua wanahofu kuwekeza kwa mwanamke? Coz hata Mwanamke akispend 5B si chochote..

Just Imagine 1Bdollar.. 😀😀
 
Ilimradi ni watoto na hawana kosa lolote, na wamezaliwa katika himaya yangu, watanishukuru baadaye
Kuwa makini mzee mwenzangu unaweza ukatumika nyakati ambazo wazazi wapo broke, halafu baba halali wa mtoto akishajipata unaachwa solemba., unaweza ukaona ni rahisi kwa sababu bado haijakukuta.
 
Kitu pekee ambacho mwanamke anawekeza kwenye mahusiano ni hisia tu, kwa mwanaume yoyote unaetumia akili kufikiri kikamilifu hawezi kuwekeza kwenye hisia kwa sababu hisia zinabadilika au kuisha kabisa muda wowote.

Huu ni ukweli ambao wanaume karibu wote wanaujua lakini bado wanaendelea kufanya ilo kosa. Wakishapigwa na kitu kizito ndio wanaishia kufanya mauaji au kuwapiga matukio wanawake wengine wakifikiri wnapunguza machungu, kumbe wanawaumiza wasiohusika na maumivu yao.

Mwanaume usibebe iyo risk ya kuwekeza kwa mwanamke, iwe ni kumsomesha, kumuhudumia, kumfungulia biashara, kusaidia ndugu zake n.k, abort huo mpango.

Unajua kwanini wanawake wanaongoza kudai talaka?, sio kwamba wamekua strong women, ila ni kwa sababu hawana cha kupoteza, hawajawekeza kwenye iyo ndoa ukilinganisha na alivyowekeza mwanaume.

Usiwekeze kwa mwanamke kiasi ambacho hauwezi kustahimili maumivu ya kukipoteza, kabla ya kuwekeza kwa mwanamke tambua ya kwamba wewe unapata hasara, yeye anapata faida na ana uamuzi wabkusitisha hayo mahusiano bila kukulipa compensation.

I love you, i love you my brother.
Paragraph ya mwisho imemaliza kila kitu...
 
Back
Top Bottom