Usiwekeze kwenye Bitcoin wala crypto currency yoyote, wekeza huku

Usiwekeze kwenye Bitcoin wala crypto currency yoyote, wekeza huku

Sawa
1. Dhahabu - dhahabu kilo moja thamani yake ni zaidi ya shilingi milioni 100 za kitanzania. Dhahabu haiwezi kushuka thamani kwasababu i) haipatikani kiurahisi ii) ina matumizi mengi iii) ipo tangu mwanzo wa ulimwengu kwa hiyo soko lake sio jipya
2. Mafuta na Gesi
 
1. Dhahabu - dhahabu kilo moja thamani yake ni zaidi ya shilingi milioni 100 za kitanzania. Dhahabu haiwezi kushuka thamani kwasababu i) haipatikani kiurahisi ii) ina matumizi mengi iii) ipo tangu mwanzo wa ulimwengu kwa hiyo soko lake sio jipya
2. Mafuta na Gesi
Dunia inaelekea kuachana na matumizi makubwa ya mafuta.
 
1. Dhahabu - dhahabu kilo moja thamani yake ni zaidi ya shilingi milioni 100 za kitanzania. Dhahabu haiwezi kushuka thamani kwasababu i) haipatikani kiurahisi ii) ina matumizi mengi iii) ipo tangu mwanzo wa ulimwengu kwa hiyo soko lake sio jipya
2. Mafuta na Gesi
Wekeza kwa maisha ya umilele..haya ya duniani yaniapita..

Bwana Yesu asifiwe.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ukitaka kifilisika kwa urahisi,ingia kwenye biashara za kununua dhahabu,nafikiri wengi wenu mnalifahamu neno fulani hivi la kiswahili kisicho rasmi,"kanyanga" hili neno linamaanisha kuwa mtu kauziwa dhahabu feki akidanganywa kuwa ni genuine,makufuli ya bronze huwa yanayeyushwa na kutumiwa na walaghai wakiwadanganya watu kuwa ni dhahabu.
 
1. Dhahabu - dhahabu kilo moja thamani yake ni zaidi ya shilingi milioni 100 za kitanzania. Dhahabu haiwezi kushuka thamani kwasababu i) haipatikani kiurahisi ii) ina matumizi mengi iii) ipo tangu mwanzo wa ulimwengu kwa hiyo soko lake sio jipya
2. Mafuta na Gesi
Unawekeza kwenye dhahabu kwa kuipata wapi? Hapo ni sawa na kutunza fedha ila sio kuwekezaz crypto inaweza panda bei na ikawa stable zaidi ya mara 100 ndani ya mwaka mmoja ila dhahabu haiwezi kupanda hata mara mbili ndani ya miaka mitatu ingawa iko stable.

Crypto unanunua hela ndogo unahold baadae unauza kidogo kuirudisha hela yako na faida alafu unaacha zile coin zikae. Yule Mwingereza aliyenunua SHIB za $ 8,000 mwaka jana akaziuza mwaka huu kwenye transactions nne za $ 1, 200,000 kila moja amepata faida mara elfu ngapi sijui. Na bado kuna mamilioni kayaacha kwenye wallet yake. Alikuwa mfanyakazi wa store gani sijui na kwa mwaka asingeweza kupata hata $ 100,000 ila sahivi kastaafu kazi na miaka yake 35.

Sasa kwa dhahabu hilo haliwezekani. Alafu mafuta hayapandi thamani zaidi, kwa sasa yana bei kwa kuwa OPEC walishindwa kukubaliana ila hata yapande vipi hayazidi hapa mara mbili ya bei.
 
Unawekeza kwenye dhahabu kwa kuipata wapi? Hapo ni sawa na kutunza fedha ila sio kuwekezaz crypto inaweza panda bei na ikawa stable zaidi ya mara 100 ndani ya mwaka mmoja ila dhahabu haiwezi kupanda hata mara mbili ndani ya miaka mitatu ingawa iko stable.

Crypto unanunua hela ndogo unahold baadae unauza kidogo kuirudisha hela yako na faida alafu unaacha zile coin zikae. Yule Mwingereza aliyenunua SHIB za $ 8,000 mwaka jana akaziuza mwaka huu kwenye transactions nne za $ 1, 200,000 kila moja amepata faida mara elfu ngapi sijui. Na bado kuna mamilioni kayaacha kwenye wallet yake. Alikuwa mfanyakazi wa store gani sijui na kwa mwaka asingeweza kupata hata $ 100,000 ila sahivi kastaafu kazi na miaka yake 35.

Sasa kwa dhahabu hilo haliwezekani. Alafu mafuta hayapandi thamani zaidi, kwa sasa yana bei kwa kuwa OPEC walishindwa kukubaliana ila hata yapande vipi hayazidi hapa mara mbili ya bei.
Dhahabu Nov 2019 ~ tzs 80,000,000 @1kg
Dhahabu Nov 2021 ~ tzs 120, 000, 000 @1kg
Kuwekeza kwenye dhahabu sio kwakuikumbatia ni kuwekeza kwenye kampuni za dhahabu. Investiment 101. Unawekeza kwenye biashara sio pesa. Kuna crypto ilianzishwa mwezi wa 10 watu wamenunua sasa hivi haina thamani. Watu wa crypto mnavamia discipline ya finance halafu hamna utaalamu nayo. Hutakiwi kuwekeza kwenye thamani ya pesa.
 
1. Dhahabu - dhahabu kilo moja thamani yake ni zaidi ya shilingi milioni 100 za kitanzania. Dhahabu haiwezi kushuka thamani kwasababu i) haipatikani kiurahisi ii) ina matumizi mengi iii) ipo tangu mwanzo wa ulimwengu kwa hiyo soko lake sio jipya
2. Mafuta na Gesi
In GOD we trust.
G- GOLD
O- OIL AND GAS
D- DIAMOND 💎
 
1. Dhahabu - dhahabu kilo moja thamani yake ni zaidi ya shilingi milioni 100 za kitanzania. Dhahabu haiwezi kushuka thamani kwasababu i) haipatikani kiurahisi ii) ina matumizi mengi iii) ipo tangu mwanzo wa ulimwengu kwa hiyo soko lake sio jipya
2. Mafuta na Gesi
Mafuta nakupinga Mana magari soon yanaenda kutumia umeme.
Kwa gold Niko pamoja na wewe na iyo gesi iko poa Sana.
Kuna muda gold ilishuka mpaka 1160$per once naiona Ila saivi iko around 1868.45$ per once Juzi ilifikia hapo as high of the day. Na saivi ninavyoandika hapa inasoma around 1858.*** $ per once
 
Mafuta nakupinga Mana magari soon yanaenda kutumia umeme.
Kwa gold Niko pamoja na wewe na iyo gesi iko poa Sana.
Kuna muda gold ilishuka mpaka 1160$per once naiona Ila saivi iko around 1868.45$ per once Juzi ilifikia hapo as high of the day. Na saivi ninavyoandika hapa inasoma around 1858.*** $ per once
Meli? Ndege? Rocket? Lini nchi za afrika zitazalisha umeme wa kutosha kuendeshea magari? Mafuta ni ya lazima kwa zaidi ya miaka 500 ijayo.
 
Ukitaka kifilisika kwa urahisi,ingia kwenye biashara za kununua dhahabu,nafikiri wengi wenu mnalifahamu neno fulani hivi la kiswahili kisicho rasmi,"kanyanga" hili neno linamaanisha kuwa mtu kauziwa dhahabu feki akidanganywa kuwa ni genuine,makufuli ya bronze huwa yanayeyushwa na kutumiwa na walaghai wakiwadanganya watu kuwa ni dhahabu.
Hujamuelewa jamaa kuwekeza na sio kufanya
 
January nimenunua shiba inu coin million 100 kwa $700 leo sawa na $5,500
Jana nimenunua Dogelon coin million 100 mwakani tutaongea lugha nyengine.
Hapa nasubiri Floki coin na Saitama coin.
Narudi kwa mleta uzi kuna kampuni inayochimba dhahabu Tanzania makao Makuu yake yapo canada najua unaijua kampuni ninayo iongelea. Niliwekeza huko faida na hasara tu hakuna kipya, ushauri sasahivi nenda na meme coin tu.



Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
January nimenunua shiba inu coin million 100 kwa $700 leo sawa na $5,500
Jana nimenunua Dogelon coin million 100 mwakani tutaongea lugha nyengine.
Hapa nasubiri Floki coin na Saitama coin.
Narudi kwa mleta uzi kuna kampuni inayochimba dhahabu Tanzania makao Makuu yake yapo canada najua unaijua kampuni ninayo iongelea. Niliwekeza huko faida na hasara tu hakuna kipya, ushauri sasahivi nenda na meme coin tu.



Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Nigeria wao wameanzisha yao ambayo wanadai ni bora zaidi ya hizo mnazoziongelea.
 
January nimenunua shiba inu coin million 100 kwa $700 leo sawa na $5,500

Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Shiba januari ilikuwa inacheza kwenye $0.000000008 sasa kwa $700 ulitakiwa uwe na coins zaidi ya 70billion. Kwa bei ya sasa ungekuwa na apprx $392,000.
 
January nimenunua shiba inu coin million 100 kwa $700 leo sawa na $5,500
Jana nimenunua Dogelon coin million 100 mwakani tutaongea lugha nyengine.
Hapa nasubiri Floki coin na Saitama coin.
Narudi kwa mleta uzi kuna kampuni inayochimba dhahabu Tanzania makao Makuu yake yapo canada najua unaijua kampuni ninayo iongelea. Niliwekeza huko faida na hasara tu hakuna kipya, ushauri sasahivi nenda na meme coin tu.



Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
ndomana nasema watu wa Crypto mnavamia fani za watu, soma mapato na faida ya kampuni hiyo ya dhahabu uliyowekeza, mwaka jana mapato $$ 12717 millions na ndo kulikua na Covid 19
 
Dhahabu Nov 2019 ~ tzs 80,000,000 @1kg
Dhahabu Nov 2021 ~ tzs 120, 000, 000 @1kg
Kuwekeza kwenye dhahabu sio kwakuikumbatia ni kuwekeza kwenye kampuni za dhahabu. Investiment 101. Unawekeza kwenye biashara sio pesa. Kuna crypto ilianzishwa mwezi wa 10 watu wamenunua sasa hivi haina thamani. Watu wa crypto mnavamia discipline ya finance halafu hamna utaalamu nayo. Hutakiwi kuwekeza kwenye thamani ya pesa.
Hiyo comment uliyoquote sijui umeielewa. Nimesema hakuna mwaka dhahabu itapanda bei mara mbili yake. Crypto hata mara 100 inaweza
 
Back
Top Bottom