BestOfMyKind
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 1,350
- 1,464
- Thread starter
- #21
RP-1 ni petrol inatumiwa na Space X specifically kwenye Merlin, Russia, China, India n.kRocket gani inaendeshwa kwa mafuta? Itaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RP-1 ni petrol inatumiwa na Space X specifically kwenye Merlin, Russia, China, India n.kRocket gani inaendeshwa kwa mafuta? Itaje
Sijawahi sikia rocket inayoendeshwa na petrol au diesel. Kerosene ndio inatumika sana na chemical compounds nyingine. Hata hivyo huwezi ambia watu wanunue oil kwenye market kisa kuna rockets. Kwa mwaka hizo roketi zinatumia mafuta ambayo ni pungufu ya yanayotumiwa na Dar kwa mweziRP-1 ni petrol inatumiwa na Space X specifically kwenye Merlin, Russia, China, India n.k
Wekeza kwa maisha ya umilele..haya ya duniani yaniapita..
Bwana Yesu asifiwe.
#MaendeleoHayanaChama
kerosene ni refined petrol, ni mafuta yale yale. Endelea na Crypto kijana., it seems you have chosen a hill die onSijawahi sikia rocket inayoendeshwa na petrol au diesel. Kerosene ndio inatumika sana na chemical compounds nyingine. Hata hivyo huwezi ambia watu wanunue oil kwenye market kisa kuna rockets. Kwa mwaka hizo roketi zinatumia mafuta ambayo ni pungufu ya yanayotumiwa na Dar kwa mwezi
Nigeria wao wameanzisha yao ambayo wanadai ni bora zaidi ya hizo mnazoziongelea.
Na wako vizuri kwenye kukutekaMkuu,ndo umemaliza hapo???
Unaona wale jamaa wa crypto wanavuoshushaga nondo??
Hawa watu hawajui wanachokisema.Hiyo comment uliyoquote sijui umeielewa. Nimesema hakuna mwaka dhahabu itapanda bei mara mbili yake. Crypto hata mara 100 inaweza
Sasa ndio uwekeze kwenye mafuta kisa kuna rockets? Hivi unadhani kuna siku pipa la mafuta litakuwa na bei mara mbili ya bei ya sasa au litafika $ 200 ndani ya hii miaka kumi ijayo. Wakati kuna crypto zinakua mara elfu ndani ya mwakakerosene ni refined petrol, ni mafuta yale yale. Endelea na Crypto kijana., it seems you have chosen a hill die on
Nifafanulie kama SI kununuaHujamuelewa jamaa kuwekeza na sio kufanya
Mkuu tupon pamoja mm pia naiwinda saitanaJanuary nimenunua shiba inu coin million 100 kwa $700 leo sawa na $5,500
Jana nimenunua Dogelon coin million 100 mwakani tutaongea lugha nyengine.
Hapa nasubiri Floki coin na Saitama coin.
Narudi kwa mleta uzi kuna kampuni inayochimba dhahabu Tanzania makao Makuu yake yapo canada najua unaijua kampuni ninayo iongelea. Niliwekeza huko faida na hasara tu hakuna kipya, ushauri sasahivi nenda na meme coin tu.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
ona mwingine huyu....hiv inakuwaje watu mnampa likes mtu anae reply senseless point kama hii ya maisha ya umilele ambayo kiuhalisia hayapo na hayatowai kuwepo...Wekeza kwa maisha ya umilele..haya ya duniani yaniapita..
Bwana Yesu asifiwe.
#MaendeleoHayanaChama
Mfano kesho nataka ninunue USDT za $300 kisha ninunue SHIB, DOGE, ADA, XRP, TRON, BTT, BAT, Stellar na Vechain.
Mafuta gan kwanza ya mgando au ya kupikia.....??1. Dhahabu - dhahabu kilo moja thamani yake ni zaidi ya shilingi milioni 100 za kitanzania. Dhahabu haiwezi kushuka thamani kwasababu i) haipatikani kiurahisi ii) ina matumizi mengi iii) ipo tangu mwanzo wa ulimwengu kwa hiyo soko lake sio jipya
2. Mafuta na Gesi
Katika kila squid game moja kuna tokens nyingine 10 ambazo siyo scam.
[emoji23][emoji23][emoji23]kerosene ni refined petrol, ni mafuta yale yale. Endelea na Crypto kijana., it seems you have chosen a hill die on
Ni scammers walifanya rug pull tuu, ni kawaida kwenye crypto, its part of the game. Cha muhimu ni kuwa makini tuu.View attachment 2009652
Washington post inasema haina thamani hata kidogo.