Usiwekeze kwenye Bitcoin wala crypto currency yoyote, wekeza huku

Usiwekeze kwenye Bitcoin wala crypto currency yoyote, wekeza huku

Dhahabu Nov 2019 ~ tzs 80,000,000 @1kg
Dhahabu Nov 2021 ~ tzs 120, 000, 000 @1kg
Kuwekeza kwenye dhahabu sio kwakuikumbatia ni kuwekeza kwenye kampuni za dhahabu. Investiment 101. Unawekeza kwenye biashara sio pesa. Kuna crypto ilianzishwa mwezi wa 10 watu wamenunua sasa hivi haina thamani. Watu wa crypto mnavamia discipline ya finance halafu hamna utaalamu nayo. Hutakiwi kuwekeza kwenye thamani ya pesa.
Kampuni zipi za gold?

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
January nimenunua shiba inu coin million 100 kwa $700 leo sawa na $5,500
Jana nimenunua Dogelon coin million 100 mwakani tutaongea lugha nyengine.
Hapa nasubiri Floki coin na Saitama coin.
Narudi kwa mleta uzi kuna kampuni inayochimba dhahabu Tanzania makao Makuu yake yapo canada najua unaijua kampuni ninayo iongelea. Niliwekeza huko faida na hasara tu hakuna kipya, ushauri sasahivi nenda na meme coin tu.



Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Hongera sana. Ni uwekezaji mzuri sana unaolipa.
 
1. Dhahabu - dhahabu kilo moja thamani yake ni zaidi ya shilingi milioni 100 za kitanzania. Dhahabu haiwezi kushuka thamani kwasababu i) haipatikani kiurahisi ii) ina matumizi mengi iii) ipo tangu mwanzo wa ulimwengu kwa hiyo soko lake sio jipya
2. Mafuta na Gesi
Upo sahihi mkuu, mostly GOLD movement ipo projected World Gold Council.. Tofauti na crypto pamoja na currencies ambayo supply na demand yake ni ngumu kuijua.
 
Hii trend ya Bitcoin inashuka kwa Kasi sana changamoto Iko WAP?
 
Unanunua dhahabu za milioni 100 mara unasikia kuna kirusi kinazalishwa na dhahabu hivyo imeshuka bei kwa 50% 😁

Unaishia kupata hasara,

Haya maisha hayana formula.
 
January nimenunua shiba inu coin million 100 kwa $700 leo sawa na $5,500
Jana nimenunua Dogelon coin million 100 mwakani tutaongea lugha nyengine.
Hapa nasubiri Floki coin na Saitama coin.
Narudi kwa mleta uzi kuna kampuni inayochimba dhahabu Tanzania makao Makuu yake yapo canada najua unaijua kampuni ninayo iongelea. Niliwekeza huko faida na hasara tu hakuna kipya, ushauri sasahivi nenda na meme coin tu.



Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Doge imekupa ngapi tuambie🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom