Nyamsusa JB
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 567
- 1,564
Habari Wanajanvi na Poleni na Msiba Mkubwa uliolikumba Taifa letu.
Tumekua tukiamini kila ukiona Mtu au Mnyama anatokwa na Machozi basi kaumizwa au ana huzuni.
Tunasahau sana kua kuna vitu viwili tu viwezavyo kumfanya Mtu au Mnyama Kutokwa na Machozi ama Kulia navyo ni Utamu au Uchungu.
Kwenye hili la Uchungu lipo wazi kua mtu anapopatwa na Uchungu na Huzuni basi huweza kulia na Kutokwa na Machozi.
Kwenye hili la Utamu na Furaha huwa halielewekieleweki kua kama ni jambo pia linaweza kumfanya Mtu au Mnyama Akalia na Kutokwa na Machozi.
Sasa basi napenda kumtambulisha kwako Mnyama Mamba na Machozi yake.
Ukimuona Mamba Analia/Anatoa Machozi basi tambua ana Jambo lake.
Ukimuona Mamba Analia/Anatoa Machozi ujue kuna Utamu anaupata.
Ukimuona Mamba Analia/Anatoa Machozi Ujue hayo sio Machozi ya Kweli bali ni ya Kutafuta Huruma ya Kinafiki.
Ukimuona Mamba Analia/Anatoa Machozi Ujue anaweka kilainishi Machoni Pake ili Aweza kuona Vizuri Kitoweo chake.
Ukimuona Mamba Analia/Anatoa Machozi Usidhanie ana huzuni, na Huruma huu ndio wakati anatafuna Kichwa cha Kitoweo chake
Huyu ndie Mamba ni Mjanja mjanja sana na Hutumia Machozi na Huzuni isiyo ya Kweli Kuahadaa Ulimwengu.
Kimtoacho Mtu Machozi sio Uchungu na Huzuni tu bali Hata Utamu na Furaha vyaweza Pia.
Tuwe Makini.
Tumekua tukiamini kila ukiona Mtu au Mnyama anatokwa na Machozi basi kaumizwa au ana huzuni.
Tunasahau sana kua kuna vitu viwili tu viwezavyo kumfanya Mtu au Mnyama Kutokwa na Machozi ama Kulia navyo ni Utamu au Uchungu.
Kwenye hili la Uchungu lipo wazi kua mtu anapopatwa na Uchungu na Huzuni basi huweza kulia na Kutokwa na Machozi.
Kwenye hili la Utamu na Furaha huwa halielewekieleweki kua kama ni jambo pia linaweza kumfanya Mtu au Mnyama Akalia na Kutokwa na Machozi.
Sasa basi napenda kumtambulisha kwako Mnyama Mamba na Machozi yake.
Ukimuona Mamba Analia/Anatoa Machozi basi tambua ana Jambo lake.
Ukimuona Mamba Analia/Anatoa Machozi ujue kuna Utamu anaupata.
Ukimuona Mamba Analia/Anatoa Machozi Ujue hayo sio Machozi ya Kweli bali ni ya Kutafuta Huruma ya Kinafiki.
Ukimuona Mamba Analia/Anatoa Machozi Ujue anaweka kilainishi Machoni Pake ili Aweza kuona Vizuri Kitoweo chake.
Ukimuona Mamba Analia/Anatoa Machozi Usidhanie ana huzuni, na Huruma huu ndio wakati anatafuna Kichwa cha Kitoweo chake
Huyu ndie Mamba ni Mjanja mjanja sana na Hutumia Machozi na Huzuni isiyo ya Kweli Kuahadaa Ulimwengu.
Kimtoacho Mtu Machozi sio Uchungu na Huzuni tu bali Hata Utamu na Furaha vyaweza Pia.
Tuwe Makini.