Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huyu hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika !Hahaha
Safari hii CCM wanaitaji msaada mkubwa kutoka kwa police kuiba kura nchi nzima
Sent from my G-PADLITE using JamiiForums mobile app
Ujumbe umefikaErythrocyte mwabieni huyo mwamba akamalize tatizo la kibamba na kilombero mbona Kama anakwepa
ile ilikuwa chenga ya mwili
Msipokua makini haya majimbo CCM itapita bila kupingwa kwa uzembe wenuUjumbe umefika
Atakutana na kiboko Yake DC Ole Sabaya.ile ilikuwa chenga ya mwili
Dawa ni Chadema pia wakawahi kuchukua form za ccm jimbo lolote, tujifunze ccm wata solve vipi. Dawa ya moto ni moto.Msipokua makini haya majimbo CCM itapita bila kupingwa kwa uzembe wenu
Sabaya ni mtoto mdogo mno ! bunduki anazo lakini eti anatumia mawe !
Naccm babayenu aliprint form moja tu aisee
Mimi bado msimamo wangu ni ule ule, labda kura ziibiwe huko ambako siwezi kufika,zikiibiwa mbele ya macho yangu sitakufa mpaka niwamalize wahusika!Hahaha
Safari hii CCM wanaitaji msaada mkubwa kutoka kwa police kuiba kura nchi nzima
Sent from my G-PADLITE using JamiiForums mobile app
Kwani sinkila mwaka anagombea??
hapanaKwani sinkila mwaka anagombea??
MGHWIRA AMTAKA DC SABAYA KUMPA TAARIFA MSAFARA WA LISSU KUSHAMBULIWA
Angeenda huko mngesema kapakimbia Hai!. hamjui kutulia.