Uchaguzi 2020 Usiyempenda kaja, Mwamba Mbowe achukua fomu ya kugombea Ubunge jimbo la Hai

Uchaguzi 2020 Usiyempenda kaja, Mwamba Mbowe achukua fomu ya kugombea Ubunge jimbo la Hai

MGHWIRA AMTAKA DC SABAYA KUMPA TAARIFA MSAFARA WA LISSU KUSHAMBULIWA
19 Aug 2020
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira, ametoa kauli rasmi ya serikali kuhusiana na vurugu zilizotokea katika mji wa Bomang'ombe wilaya ya Hai wakati mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Tundu Lissu alipofika wilayani humo kutafuta wadhamini.

Katika taarifa hiyo rasmi aliyoitoa leo Agosti 19, 2020, mkuu huyo wa mkoa ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa huo, amemtaka mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, kumpatia taarifa ya maandishi ya namna alivyoshughulikia suala hilo.


useless crisis management initiative.
 
MGHWIRA AMTAKA DC SABAYA KUMPA TAARIFA MSAFARA WA LISSU KUSHAMBULIWA
19 Aug 2020
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira, ametoa kauli rasmi ya serikali kuhusiana na vurugu zilizotokea katika mji wa Bomang'ombe wilaya ya Hai wakati mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Tundu Lissu alipofika wilayani humo kutafuta wadhamini.

Katika taarifa hiyo rasmi aliyoitoa leo Agosti 19, 2020, mkuu huyo wa mkoa ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa huo, amemtaka mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, kumpatia taarifa ya maandishi ya namna alivyoshughulikia suala hilo.


Mama awe makini asije akajikuta kijiweni kama sisi...Dona bamia
 
Mbowe ni jabali , hajawahi kutishwa na mamluki , lingine unalopaswa kutambua ni kwamba 75% ya wakazi wa Hai ni wanachama hai kabisa wa Chadema , nunua wapiga kura usinunue madiwani 18 tu utaliwa hela zako
View attachment 1543249
Usinikimbie , Mkoa wa Kilimanjaro hatutaki kuendelea kuwa njee ya meza kuu, Mikoa mingine kama Geita, Dodoma, Rukwa, Ruvuma Mbeya, Tabora na mikoa mingine ambayo sijaitaja iliyoko tayari chukueni nafasi ya upinzani wa Mkoa wa Kilimanjaro. Hatuna lazima kubaki upinzani.
 
Usinikimbie , Mkoa wa Kilimanjaro hatutaki kuendelea kuwa njee ya meza kuu, Mikoa mingine kama Geita, Dodoma, Rukwa, Ruvuma Mbeya, Tabora na mikoa mingine ambayo sijaitaja iliyoko tayari chukueni nafasi ya upinzani wa Mkoa wa Kilimanjaro. Hatuna lazima kubaki upinzani.
Nakuhakikishia kwamba wewe ndio utakimbia , hakuna mwanaccm anayeweza kumwangusha Mbowe , hata Magufuli hatoweza kupata chochote , huyu Mbowe si mwepesi kama unavyodhani , ama labda humfahamu au labda unategemea uchawi
FB_IMG_1589397986327.jpg
 
Nakuhakikishia kwamba wewe ndio utakimbia , hakuna mwanaccm anayeweza kumwangusha Mbowe , hata Magufuli hatoweza kupata chochote , huyu Mbowe si mwepesi kama unavyodhani , ama labda humfahamu au labda unategemea uchawi View attachment 1543318

Mkuu, uchawi tena ? mambo ya utalii magumu sana mwaka huu, ningekuwa nakuletea unywanywa kila siku kutoka Jimboni Hai.
 
Kumbe anawakubali wasimamizi wa uchaguzi!! Si alitoa waraka kuwa hawawataki Wakurugenzi lazima Katiba ibadirishwe kabla ya uchaguzi kufanyika 2020 kumbe ilikuwa janja tu ya kitoto!
Msimu huu utaimba haleluya kudadeki zako !
 
Back
Top Bottom