Mwamba na kakofia ka ki-spy anatisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwamba na kakofia ka ki-spy anatisha.
Tunakutakia heri na mafanikio. Mungu akulinde.
MGHWIRA AMTAKA DC SABAYA KUMPA TAARIFA MSAFARA WA LISSU KUSHAMBULIWA
19 Aug 2020
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira, ametoa kauli rasmi ya serikali kuhusiana na vurugu zilizotokea katika mji wa Bomang'ombe wilaya ya Hai wakati mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Tundu Lissu alipofika wilayani humo kutafuta wadhamini.
Katika taarifa hiyo rasmi aliyoitoa leo Agosti 19, 2020, mkuu huyo wa mkoa ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa huo, amemtaka mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, kumpatia taarifa ya maandishi ya namna alivyoshughulikia suala hilo.
Tunahitaji watu 100 kama wewe kwa kuwa una sababu billion za kufanya hivyo.Mimi bado msimamo wangu ni ule ule, labda kura ziibiwe huko ambako siwezi kufika,zikiibiwa mbele ya macho yangu sitakufa mpaka niwamalize wahusika!
Hao polisi wenyewe wameshachoka kutumiwa kiboyaHahaha
Safari hii CCM wanaitaji msaada mkubwa kutoka kwa police kuiba kura nchi nzima
Sent from my G-PADLITE using JamiiForums mobile app
Ndiyo CCM waliprint fomu moja tu ili tundu Lissu ashinde mapemaa urais. Hiyo ni faida kwenu October muingie ikulu ya ufipa.Naccm babayenu aliprint form moja tu aisee
😂😂😂😂😂😂😂😂Mimi bado msimamo wangu ni ule ule, labda kura ziibiwe huko ambako siwezi kufika,zikiibiwa mbele ya macho yangu sitakufa mpaka niwamalize wahusika!
Kwa list iliyotoka Leo ya wagombea ubunge wa ccm, upinzani unaenda kufa rasmi kifo cha mende.Hahaha
Safari hii CCM wanaitaji msaada mkubwa kutoka kwa police kuiba kura nchi nzima
Sent from my G-PADLITE using JamiiForums mobile app
Mikwara ya kwenye keyboard tu hiyo, sisi tutaiba kura kama kawaida na hamna la kutufanya.Mimi bado msimamo wangu ni ule ule, labda kura ziibiwe huko ambako siwezi kufika,zikiibiwa mbele ya macho yangu sitakufa mpaka niwamalize wahusika!
Kwa list iliyotoka Leo ya wagombea ubunge wa ccm, upinzani unaenda kufa rasmi kifo cha mende.
Magufuli oyeeeeee
Miaka mitano inatosha.
Saaa 2 asubuhi Gwajima ashachukua ushindi kwa mitutu ya bunduki
ile ilikuwa chenga ya mwili
[emoji848]
Saaa 2 asubuhi Gwajima ashachukua ushindi kwa mitutu ya bunduki
Mbowe ni jabali , hajawahi kutishwa na mamluki , lingine unalopaswa kutambua ni kwamba 75% ya wakazi wa Hai ni wanachama hai kabisa wa Chadema , nunua wapiga kura usinunue madiwani 18 tu utaliwa hela zakoSubiri aibu, usikimbie hapa jukwa la JF, Madiwani 18 waliokuwa wanachama na Madiwani kupitia Chadema jimbo la Hai wamerudishwa. Wanagombea kupitia CCM.
The entire administration structure ya Jimbo la Hai , Kutoka Mjumbe wa Nyumba Kumi, Viongozi wa Kata Wote, Vitongoji, Tarafa mpaka Wilaya. Wote wanaelekeza bunduki zao Chadema .
Mwaka huu kazi kweli kweli. Uwezo wa kisiasa na kioganisation wa Mbowe tutauona mwaka huu. Miaka yote huku huwa haji hata kura huhesabiwa yeye akiwa hayupo.
Na Watanzania wengi hawajui hili: Mbowe hajawahi kushinda Ubunge kwa tofauti ya kura 5000. Kazi kweli kweli mwaka huu.
Mambo yanafanyika underground mkuuErythrocyte mwabieni huyo mwamba akamalize tatizo la kibamba na kilombero mbona Kama anakwepa
huyu mama atakuwa amerogwaMambo yanafanyika underground mkuu
View attachment 1543258
Nani atakeyekupa?Leo kwenye PB ya Clouds waliulizana hilo swali "Hivi inawezekana mtu akachukue fomu kwa jina la CCM?"Mmoja aliishia kusema "thubutu" huku mwingine akicheka!Huwezi kumshika Simba shurubu!Dawa ni Chadema pia wakawahi kuchukua form za ccm jimbo lolote, tujifunze ccm wata solve vipi. Dawa ya moto ni moto.