Uchaguzi 2020 Usiyempenda kaja, Mwamba Mbowe achukua fomu ya kugombea Ubunge jimbo la Hai

Uchaguzi 2020 Usiyempenda kaja, Mwamba Mbowe achukua fomu ya kugombea Ubunge jimbo la Hai

MGHWIRA AMTAKA DC SABAYA KUMPA TAARIFA MSAFARA WA LISSU KUSHAMBULIWA
19 Aug 2020
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira, ametoa kauli rasmi ya serikali kuhusiana na vurugu zilizotokea katika mji wa Bomang'ombe wilaya ya Hai wakati mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Tundu Lissu alipofika wilayani humo kutafuta wadhamini.

Katika taarifa hiyo rasmi aliyoitoa leo Agosti 19, 2020, mkuu huyo wa mkoa ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa huo, amemtaka mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, kumpatia taarifa ya maandishi ya namna alivyoshughulikia suala hilo.


asante mkuu
 
Mimi bado msimamo wangu ni ule ule, labda kura ziibiwe huko ambako siwezi kufika,zikiibiwa mbele ya macho yangu sitakufa mpaka niwamalize wahusika!
Mikwara ya kwenye keyboard tu hiyo, sisi tutaiba kura kama kawaida na hamna la kutufanya.
 
Chadema mwaka huu, imejitahidi Sana, itaingiza wabunge bungeni Kati ya 6 Hadi 8, hapo imejitahidi mno

Mwenye uhakika zaidi hapo ni Yule wa Tunduma basi, wengine mioyo Yao inadunda kama kitenesi, labda na M/kiti wa Chama, hao kidoogo wanakauhakika

Sasa wanaobaki, mamaaaaa!!! Sjui mtamfunga nini Gwajima ili asiweze kuongea kivile???😄
 
ile ilikuwa chenga ya mwili

Subiri aibu, usikimbie hapa jukwa la JF, Madiwani 18 waliokuwa wanachama na Madiwani kupitia Chadema jimbo la Hai wamerudishwa. Wanagombea kupitia CCM.

The entire administration structure ya Jimbo la Hai , Kutoka Mjumbe wa Nyumba Kumi, Viongozi wa Kata Wote, Vitongoji, Tarafa mpaka Wilaya. Wote wanaelekeza bunduki zao Chadema .

Mwaka huu kazi kweli kweli. Uwezo wa kisiasa na kioganisation wa Mbowe tutauona mwaka huu. Miaka yote huku huwa haji hata kura huhesabiwa yeye akiwa hayupo.

Na Watanzania wengi hawajui hili: Mbowe hajawahi kushinda Ubunge kwa tofauti ya kura 5000. Kazi kweli kweli mwaka huu.
 
Subiri aibu, usikimbie hapa jukwa la JF, Madiwani 18 waliokuwa wanachama na Madiwani kupitia Chadema jimbo la Hai wamerudishwa. Wanagombea kupitia CCM.

The entire administration structure ya Jimbo la Hai , Kutoka Mjumbe wa Nyumba Kumi, Viongozi wa Kata Wote, Vitongoji, Tarafa mpaka Wilaya. Wote wanaelekeza bunduki zao Chadema .

Mwaka huu kazi kweli kweli. Uwezo wa kisiasa na kioganisation wa Mbowe tutauona mwaka huu. Miaka yote huku huwa haji hata kura huhesabiwa yeye akiwa hayupo.

Na Watanzania wengi hawajui hili: Mbowe hajawahi kushinda Ubunge kwa tofauti ya kura 5000. Kazi kweli kweli mwaka huu.
Mbowe ni jabali , hajawahi kutishwa na mamluki , lingine unalopaswa kutambua ni kwamba 75% ya wakazi wa Hai ni wanachama hai kabisa wa Chadema , nunua wapiga kura usinunue madiwani 18 tu utaliwa hela zako
FB_IMG_1595009729173.jpg
 
Dawa ni Chadema pia wakawahi kuchukua form za ccm jimbo lolote, tujifunze ccm wata solve vipi. Dawa ya moto ni moto.
Nani atakeyekupa?Leo kwenye PB ya Clouds waliulizana hilo swali "Hivi inawezekana mtu akachukue fomu kwa jina la CCM?"Mmoja aliishia kusema "thubutu" huku mwingine akicheka!Huwezi kumshika Simba shurubu!
 
Back
Top Bottom