Wote lenu moja
 
Umetupa onyo na siri ulizotuahidi hujatupa, basi lipia hata tangazo
 
Miaka kumi iliyopita, nilinunua huawei ngoma dakika 30 inaua 100% betri. Sikutaka kurudi nikaapa sitorudia kununua simu kkoo.
I never did. Once nilimpeleka mtu nikamwambia bora ununue boxed infinix kuliko note 8 samsung ya used kkoo.
 
Hujatoa siri mkuu, waambie mnauza used nyingi ambazo IMEI number zimechezewa..wajue status ya OFFICIAL na CUSTOMIZED.

Waambie kuna samsung mnauza S8 hadi S10, nyingine zina charging port type C na nyingine port type B. Waambie zimepigwa spana sana na ndani unakuta betri ya za simu ndogo kama tecno na itel. Simu ni Samsung S9 lkn ndani unakuta betri la tecno.

Waambie simu mnazouza, circuit zimefanyiwa looping kwa waya kama redio za mwaka 90 na kusababisha kupata moto sana kama pasi. Zimevalishwa body nzuri nje na boksi nzuri zinazotengenezwa na wachina.

Waambie, mkienda dubai mnauziwa kwa mafungu na ndani yake zipo mchanganyiko wa mbovu na nzima...hakuna kuchagua.

Ongezea uhuni mwingine......
 
M Machimbo ya simu za mafungu Dubai ni sehemu gani? Nitapita pale ninavorudi home,nikaangalie...au Deira?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…