MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Hii biashara inabidi uwe na cash ya kutosha kupambana na changamoto zake. Ukiwa na hela za mawazo ni biashara ya kukupa stress
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kampuni gani mtengenezaji wa simu ana official store Tanzania na anakupa hizo options, hayupo.Hujatoa siri mkuu, waambie mnauza used nyingi ambazo IMEI number zimechezewa..wajue status ya OFFICIAL na CUSTOMIZED.
Hakuna used Samsung S8 au S10 yenye port ya type B, originally hizo simu zinakuja na type C sasa unaanzaje kufanya disassembly uweke type B?Waambie kuna samsung mnauza S8 hadi S10, nyingine zina charging port type C na nyingine port type B. Waambie zimepigwa spana sana na ndani unakuta betri ya za simu ndogo kama tecno na itel. Simu ni Samsung S9 lkn ndani unakuta betri la tecno.
Unawekaje waya kwenye simu. Simu ina hata space ya kuweka waya, au unanunua maredio njiani unaambiwa simu?Waambie simu mnazouza, circuit zimefanyiwa looping kwa waya kama redio za mwaka 90 na kusababisha kupata moto sana kama pasi. Zimevalishwa body nzuri nje na boksi nzuri zinazotengenezwa na wachina.
Anayenunua simu za mafungu ni jamaa mmoja ametajwa humu. Na sababu wabongo ni wapumbavu, mbumbumbu na vilaza bado watanunua simu kwake.Waambie, mkienda dubai mnauziwa kwa mafungu na ndani yake zipo mchanganyiko wa mbovu na nzima...hakuna kuchagua.
Ongezea uhuni mwingine......
Ilikuwa simu ganiNili nunua simu refab line 2...baada ya mwezi slot ya simcard moja ikafa. Inasema emergency call tu. Bhas nikarudisha simu maana warranty ilikuwa mwaka mmoja. Jamaa wakazingua... Nikaona gharama ya urahisi.
Specs.Mpya laki5,used laki5,Kisa Cha kununua used!
Ilikuwa simu gani
Mkuu Samsung ni brand name sio simu. Samsung model gani ulinunuaSamsung chief
A25 mkuu.Mkuu Samsung ni brand name sio simu. Samsung model gani ulinunua
A25 mpya zipo nyingi na sijaona refurb yake bongo hapa sasa ukiuziwa refurb ya A25 ni mshangao. Ungenunua refurb ya S22 au Note 20 sawa maana mpya hamna.A25 mkuu.
A25 mpya zipo nyingi na sijaona refurb yake bongo hapa sasa ukiuziwa refurb ya A25 ni mshangao. Ungenunua refurb ya S22 au Note 20 sawa maana mpya hamna.
A25 itakuwa uliuziwa used bongo hapahapa.